Mchumba wangu kaniambia "Mimi ni mzuri bwana nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari juu"

Mchumba wangu kaniambia "Mimi ni mzuri bwana nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari juu"

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo wanaweza kufanya utatuzi?

Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa

Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana, anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga, maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake

Mahari simalizi tena kwasababu nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
 
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumkwaba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitoke ugua tatizo wanaweza akutatazu?

Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa

Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana,anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga,maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake


Mahari simalizi tena kwasabau nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
Achana nae_ huyo ata ukifosi kukaa nae utakuja pata kesi kama ile ya magunia mawili kule Kigamboni... anaringia Uzuri wake😂. Huyu mpaka limkute la kumkuta ndo ataelewa ukweli kwa sasa atakusumbuwa sana.
 
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumkwaba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitoke ugua tatizo wanaweza akutatazu?

Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa

Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana,anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga,maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake


Mahari simalizi tena kwasabau nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
ngoja nijichange nilipie mahari ilobaki ili awe wangu rasmi.......afu tuone kama atanguana na mm mlinzi wa motuary.
 
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumkwaba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitoke ugua tatizo wanaweza akutatazu?

Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa

Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana,anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga,maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake


Mahari simalizi tena kwasabau nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
Hili ni Shairi la mtindo wa kisasa ama?
ahsante ndugu Mshairi/Muandishi
 
Back
Top Bottom