Farey_King
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 461
- 838
Man unazingua kwa hii kauli,,,,,,asa hapa umetaka ushauri au umetaka kutuambia hitimisho lakongoja nijichange nilipie mahari ilobaki ili awe wangu rasmi.......afu tuone kama atanguana na mm mlinzi wa motuary.