Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama kweli unamtaja Mungu aliye mbinguni Aliyetuumba basi, inakupasa uweke akiba ya Maneno kama unamtaja miungu basi upo sahihiHahaha, utasikia kaenda mbinguni.
Washika dini mtakufa na itakua mwisho wenu huku hamkufanya lolote la maana zaidi ya kuomba kiumbe ambacho hakipo. Huyu naona mungu wake hakumsikia mtakuja na explanation kua "ni mapenzi ya mungu" au "siku zake zimefika" hahaha nyooooko.
Huyo mungu wenu ka yupo basi covid imemshinda vibaya mno, sawa na magonjwa mengine yote, vita, natural disasters zote, amekaa anacheki tu hana la kufanya.
Kama kweli unamtaja Mungu aliye mbinguni Aliyetuumba basi, inakupasa uweke akiba ya Maneno kama unamtaja miungu basi upo sahihi
Kumbuka Mungu aliyeziumba Mbingu na nnchi hafanyiwi dhihaka ipo siku atathibitisha kwako kuwa yeye ni nani. sasa usitake Mungu akuonyeshe yeye ni nani hapo itapata tabu sana inaweza kukugharimu
Na isitoshe mtu katengeneza ugojwa, ila Mungu ameamua kuruhusu ili watu tujifuze kitu, na ni majanga mengi yalitokea yaliwachukua mpaka watumishi wa Mungu, suluhisho ni kutubu a sio kumdhihaki Mungu.
Sawa acha niwe mjinga, nafuraia ujinga huoHaha maneno matupu hayo, mnaogopa kitu ambacho hakipo. Huo uoga hata mimi nilikua nao enzi hizo naomba daily, baada ya kugundua vyote fix tupu nawashangaa sana mnaoogopa ujinga.
Hahaha, utasikia kaenda mbinguni.
Washika dini mtakufa na itakua mwisho wenu huku hamkufanya lolote la maana zaidi ya kuomba kiumbe ambacho hakipo. Huyu naona mungu wake hakumsikia mtakuja na explanation kua "ni mapenzi ya mungu" au "siku zake zimefika" hahaha nyooooko.
Huyo mungu wenu ka yupo basi covid imemshinda vibaya mno, sawa na magonjwa mengine yote, vita, natural disasters zote, amekaa anacheki tu hana la kufanya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na waziri wa afya wa israel aliyenukuliwa mwezi uliopita akisema corona ni pigo kutoka kwa mungu dhidi ya homesexual amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona huku ikidaiwa kua ameambukizwa na mkewe
Kujitetea kwingiiii,mara vitisho, what the hell is that?Umekosea sana!! Bado COVID -19 ni kagonjwa kadogo sana mbele ya Mungu. COVID -19 ni ugonjwa mkubwa sana mbele ya wanadamu lakini si mbele ya Mungu.
Bado hatujaelewa sana, yawezekana kabisa covid-19 ikawa ni pigo toka kwa Mungu kwa ajili ya uovu uliopo duniani. Ndio maana Rais wetu Mheshimiwa sana Dr Magufuli alinukuu maandiko akasema " Ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu wakijinyenyekesha na kutubu dhambi zao ........".
Hapo Mungu ameweka masharti: Lazima kujinyenyekesha na kutubu!! Chini ys hapo pigo lipo pale pale!! Kwa hiyo jambo la kwanza ni kujinyenyekesha na kutubu kisha kukiri ukuu wa Mungu juu ya pigo hili kuwa kakorona ni kadogo sana kwa Mungu.
Tatizo watu hawataki kutubu! Katika mazingira hayo ni kujidaganya kudhani kuwa Mungu ataonyesha ukuu wake katika shida zako.
Mahali pengine kwenye Biblia panasema: "Mkono wa Mungu si mfupi hata asiweze kuokoa bali MAOVU yenu yamewafarakanisha na Mungu wenu"
Umefanya kosa kubwa sana la kumchokoza Mungu kwa kujaribu kutoa picha kwamba kwa kuwa huyo mchungaji smefariki basi kcovid-19 ni kubwa au ina nguvu kuliko Mungu.
Ushauri wangu: Tubu kwa dhati na Mungu atakusamehe. Vinginevyo utajua mwenyewe!!!
Kabla ya kuja hao walioileta hiyo Bible mbona mababu zetu waliishi miaka mingi sana?. Wachina huko wanaishi miaka mingi sana hata hiyo Bible yako hawaijui.Acha kujitia ujinga.Well said Brother. Ukuu wa Mungu hauna maswali. Unyenyekevu wetu ni muhimu sana. Katika masual ya elimu ya Mungu, nimejifunza kuwa kuna vitu viwili vinachangia watu kufa kabla ya wakati, vitu hivyo ni upumbavu na uovu. Ili ukae sawa na Mungu yakupasa kuacha uovu/kutubu pamoja na kuacha upumbavu.
Bible inatufundisha kuwa kama vile uovu unavyoweza kuchangia mtu kufa kabla ya wakati upumbavu pia huchangia. Epuka uovu, pia epuka upumbavu
17 Usiwe mwovu kupita kiasi; Wala usiwe mpumbavu; Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Mhubiri 7:17
Hekima ni ulinzi nayo humhifadhi aliyenayo.
11 Hekima ni njema, mfano wa urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionao jua.
Mhubiri 7:11
12 Kwa maana hekima ni ulinzi, kama vile fedha ilivyo ulinzi; na ubora wa maarifa ni ya kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.
Mhubiri 7:12
3 Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Mithali 22:3
Epuka kuwa na imani inayoambatana na upumbavu.
Alichemka vibaya.
Anaponya kitu gani? Mbona magonjwa kibao yapo na hajawahi kuyaponya?Ukweli ni kwamba MUNGU NI Mkuu juu ya yote, haijalishi atakuponya au laa! Yeye atadumu kuwa Mkuu na wakuaminiwa.
Mungu hawi mkuu tu lwa vile amekuponya laa!
Yeye ni Mkuu, mponyaji, Mwokozi na atadumu kuwa hivyo milele yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya mungu ni mambo ya kitapeli. Hakuna kitu kama hicho.Haha maneno matupu hayo, mnaogopa kitu ambacho hakipo. Huo uoga hata mimi nilikua nao enzi hizo naomba daily, baada ya kugundua vyote fix tupu nawashangaa sana mnaoogopa ujinga.