Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Yes, nakubaliana na wewe Mch. Lusekelo...

Hawa watawala walevi wa madaraka sasa wameanza kuingia mahali pasipo...

Wameanza kuingia mpaka ndani ya makanisa na misikitini eti kwa kisingizio cha kudhibiti watu...

They are unknowingly designing their own burial ceremony....!!
 
Huyu Mtumishi wa Mungu huwa ana hekima sana. Hapa amesema point moja ya msingi sana kwamba

"....akitokea kiongozi mmoja wa dini huko anafanya chokochoko, mumushughulikie yeye, tena ni rahisi tu kumzunguka, kwa kutumia viongozi wenzake wale wale wa dini!
 
Kuna vitu vingi muhimu aneongea mkuu
 
Upumbavu wako utakuisha lini? Lusekelo ana haki yake binafsi ya kutoa maoni na siyo lazima apitishe maoni yake katika kikundi cho chote!
 
Fahamu kuwa hapo hoja inaungwa mkono na siyo mtu! Watu wanasema hata saa mbovu huwa sahihi angalau mara moja ndani ya saa 24.
 
Hadi mzee wa upako ameonya kweli hali ni tete. Huenda nchi yetu ikawa kama sudani sasa.
Iko hivi, Mzee wa Upako anaweza kuwa ni mmojawapo kati ya viongozi watano (5) wa kiroho wanaoongoza kwa kuwa na hekima na nia njema sana, nchini kwetu. Huyu mtu mimi siku zote huwa ninamkubali sana
 
Naye aambiwe aache kuwaonea na kuwanyonya ndondocha.
Anzisha uzi wako sasa hapa tunajadili alichokisema ni kweli au uongo? Nakukumbusha tuu kwamba kuanzia kesho ukinunua umeme wa buku 5 hapo ulipo hata kama ni kibanda cha kuchajia simu na kuuza pipi unakatwa buku ya kodi ya pango... mama ameupiga mwingi weeee sasa anabutua na kupiga minazi [emoji12][emoji12]
 
Hawa wezi wa sadaka waliojipachika majina ya viongozi wa dini wanajifanya wao hawagusiki.
 
Mzee Antony Lusekelo anapaswa akemewe kwa matamko yake ambayo kimsingi yana lengo la kuchochea uvurugaji wa amani ya nchi.
Leo ktamka yeye hatujui ni kwa masilahi ya nani!
kesho akitamka Padri kesho kutwa akitamka Sheki, n.k watawavuruga Watanzania na matokeo yake sisi sote tutazama.
Inapo fikia suala la mtu kuchezea Amani ya Nchi yetu kamwe tusioneane aibu wala tusimchekee mtu lazima akemewe Vikali, lazima atambue kuwa Yeye LUSEKELO hayupo juu ya MANI YA NCHI YETU.
Kamwe asijaribu kuleta uchochezi halafu anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Amani ya nchi yetu ina thamani zaidi kuliko yeye.
Aache mara moja kauli za kufitinisha watanzania na Serikali yao, aache mara moja kutoa kauli za mifarakano, aache mara moja kauli zisizo na tija kwa taifa.
nashauri tena huyu mchungaji akemewe vikali na waziri wa Mambo ya ndani lkn pia Akemewe vikali na Kamati ya Amani.
 
Wewe eume neemeka kipindi kipi maana kila mtu na wakati wake, najua na wewe nafasi hiyo unayao au uliwahi kuipata
 
Mzee Antony Lusekelo anapaswa akemewe kwa matamko yake ambayo kimsingi yana lengo la kuchochea uvurugaji wa amani ya nchi.
Leo ktamka yeye hatujui ni kwa masilahi ya nani!
kesho akitamka Padri kesho kutwa akitamka Sheki, n.k watawavuruga Watanzania na matokeo yake sisi sote tutazama.
Inapo fikia suala la mtu kuchezea Amani ya Nchi yetu kamwe tusioneane aibu wala tusimchekee mtu lazima akemewe Vikali, lazima atambue kuwa Yeye LUSEKELO hayupo juu ya MANI YA NCHI YETU.
Kamwe asijaribu kuleta uchochezi halafu anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Amani ya nchi yetu ina thamani zaidi kuliko yeye.
Aache mara moja kauli za kufitinisha watanzania na Serikali yao, aache mara moja kutoa kauli za mifarakano, aache mara moja kauli zisizo na tija kwa taifa.
nashauri tena huyu mchungaji akemewe vikali na waziri wa Mambo ya ndani lkn pia Akemewe vikali na Kamati ya Amani.
 
Hivi una akili kweli?
Mtu anatahadharisha unataka akemewe?
Ccm nyie ni wagonjwa sana
 
Tutayaachia makanisa tu ambayo maaskofu wake wana degree za theology - hawa wengine wanawayumbisha wananchi.

Hii ndiyo hofu aliyonayo kamanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…