Mchungaji apigwa na wananchi wa Kigoma kwa kuzuia waganga wa kienyeji "Kamchape" wasiingie eneo la kanisa kutafuta uchawi

Huuo mkoa nduo maan umedu a kiuchumi na kimaendeo
 
R.I.P LOWASSA! Ulisema elimu! elimu! elimu! madhara ya kutopata elimu ndio haya! bado mtu na utu uzima wake anaamini uchawi! upumbavu sana huu!!
 
Kigoma, Katavi na Rukwa ina watu wengi wenye akili za kipumbavu sana. Hao Kamchape waliingia hadi maeneo ya Zambia ambako serikali ya huko iliwafurusha na wengine wakakamatwa na kufunguliwa mashtaka.
 
Ficha upumbavu wako
Mkuu,
Sijaona ulazima was ku comment kwa lugha ngumu..

Kwanza mama Samia hanaga lugha Kama hii..leo hii nimemsikia mama akiongea yupo very humble down to the earth na sio mtu was kujikweza....Ni kwenye huruma,mpole,mkarimu, mnyenyekevu..

😊😊😊😊
 
Nawakubali sana kamchape, ikibidi wake na Dar es salaam maana ili jiji limejaa vgagura
 
Sijatumia lugha ngumu. Nimetumia lugha anayoelewa kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…