Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

Hii hapa chini ni video hiyo ambayo imezua taharuki mitandaoni kuhusu baadhi ya mafundisho ambayo watumishi wa Mungu wanafundisha siku hizi hasa katika suala zima la muunganiko wa mume na mke kuanzisha familia.
Hiyo video ipo wapi?
 
😂😂😂mbona mkishapandwa na hamu na hamna uhakika wa kupewa huwa mnabembeleza tuishike kidogo.
Kiumbe anaieitwa mwanamke hana uwezo wa kuninyima kama naitaka. I have my tricks utatoa tu bila kujua😅 hayo mambo ya sheria mkononi siwezi omba anifanyie.
 
Ushauri mzuri ila ni mbaya pia.
Inatakiwa iishie labda kwenye kupapasa na kuona inasimama kweli na inakaza😂😂. Ila kwenye kusex hapana ni ushauri mbaya

Hapo kwenye kupapasana....

Mashine inaweza ikawa inasimama lakini mwanaume anatoa risasi za plastiki...

Hebu mtu mmoja ampigie pastor simu, amwambie aongeze ushauri wa kuchapana mimba kabisa kabla 😆
 
Nimekaa hapa najiuliza komando Evelyn Salt yuko wapi na kwanini hajatia maguu hadi sasa, yani uzi wa hivi unaenda page ya 3 komando hajachangia chochote? Hapana niitieni komando Eve.... kwanza nikague tena hajapita kabisa hapa ata ku like? Aaargh kwani komando yuko wapiiii??? Nahitaji kujua msimamo wake juu ya hili Asap.

tenor.gif
 
Nimekaa hapa najiuliza komando Evelyn Salt yuko wapi na kwanini hajatia maguu hadi sasa, yani uzi wa hivi unaenda page ya 3 komando hajachangia chochote? Hapana niitieni komando Eve.... kwanza nikague tena hajapita kabisa hapa ata ku like? Aaargh kwani komando yuko wapiiii??? Nahitaji kujua msimamo wake juu ya hili Asap.

View attachment 2944536
Karibu futari wewe....😹
 
Nikajua ni yule dada yetu aliyewaambia wapendwa anamvalia mume wake bikini.

Ila mchungaji ana kitu azingatiwe
 
Back
Top Bottom