Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya...
Huyo MASAI tena ni nani mbona sijawahi kumsikia mkuu? Lakini KKT nanyi mna mambo ya ajabu sana. Mnafanya ibada zenu kama Kanisa Katoliki.

Ibada hadi zinakuwa na ratiba ya mwaka mzima na hamtaki mtu ahubiri nje ya ratiba. Sasa mtu kama ana kipaji cha kwenda hadi nje ya ratiba hamuoni kwamba mnakuwa mnafunga kipaji chake?

Namshauri Kimaro afungue kanisa lake kama Mwingira apige pesa za kutosha. Unajua hata Mwingira alikuwa KKT lakini akafanyiwa mizengwe akaamua kauzisha kanisa lake mwenyewe.

Unaona sasa anavyopiga pesa ndefu?
 
Kufuatia semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT KIJITONYAMA ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo...
Mchungaji Kimaro yupo sahihi 100%. Nawashangaa sana uongozi wa KKT unavyomuwekea mizengwe bila sababu za msingi. Bora tu afungue kanisa lake sisi tuhamie huko.
 
Achana na Hilo wazo mkuu Ni Bora umshauri awe na utiii tu na kufata misingi ya kanisa la kkkt ,na mambo ya mahubiri yake yako vzr

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
hata yesu alikuja kwaajili ya wenye kiu hapo ni wazi wameshashiba na kukinai let him move akaokoe nafsi zinazoangamia.
 
Ugomvi wa Mastai korogwe ni zaidi ya Ibada
Ni mambo ya sadaka
Asante kwa taarifa lakini mimi si muumini wa hapo, mambo ya Sadaka ni ngumu kujua, nilichogundua kwa haraka ni ibada kuwa tofauti kabisa na ibada za kilutheri nilizozoea.
 
Mchungaji Kimaro yupo sahihi 100%. Nawashangaa sana uongozi wa KKT unavyomuwekea mizengwe bila sababu za msingi. Bora tu afungue kanisa lake sisi tuhamie huko.
Hata kuandika KKKT huwezi ndugu yangu,wewe sio muumini wa kanisa hili...mchungaji wako yupo likizo,na wewe nenda nae likizo usisali.
 
wenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu...
wazee wa kanisa uchwara naona mmeanza kuja!

tena nyie ndio waharibufu wakubwa wa KKKT!

Wangeondoa hiki cheo cha wazee wa kanisa kila kitu kingetulia!
 
Sina shida na mafundisho yake ila utii na kujikweza Ni mbaya Sana

Mara kadhaa namuona akaiwasifia RC Eti kkkt haiwezi kutoa kiti Cha urais wa nnchi hi yeye kimaro aliyasema mbele ya Dr mwigulu nchemba madelo..
Kaongea ukweli wake na wewe sema ukweli wako baas.
 
Siku wakimng'oa huyo jamaa wa Kimara Korogwe ndo nitaona wako serious, maana pale kashajimilikisha usharika.
 
.....na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake.

Labda hii ndio sababu ya kukaidi maonyo ya mara kwa mara maana alishajiona amekuwa maarufu na kuwa na uhakika wa kujipatia waumini wa kutosha watakao kidhi mahitaji yake.
 
Well said
 
.....na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake..... Labda hii ndio sababu ya kukaidi maonyo ya mara kwa mara maana alishajiona amekuwa maarufu na kuwa na uhakika wa kujipatia waumini wa kutosha watakao kidhi mahitaji yake.
Hata CDM ilizaliwa baada ya kuteswa na chama kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…