Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Halafu kunawakati alikuwa analipuka sana. Hatahivyo walimvumilia sana
 
Hakika

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu soma vizuri uelewe, nimeongea mbona kwamba kila alipo teleza aliitwa akaonywa ila akitoka huko anakuja kanisani kurusha vijembe
Hakuna sehemu aliyo onewa sema ni kiburi chake tu kimemuondoa
 
Mother one....Alisha semakuwa mchungaji alionywa Mara nyingi na haku sikia kbsa na ilionekana ana kiburi Sana

SAS wee unasema habar za wazeee wa kanisa wakt Ni was kbsa jamaaa kuwa ana kiburi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jamaa naon ni wale wenye mahaba na kimaro kila maelezo haelewi yeye anataka kusikia mambo ya kumsifia kimaro tu
 
Kwamba wahaya na wachagga ni Tisa na kumi?
 
🤣🤣🤣🤣 sawa tutamleta huko niambie uko usharika gani tumtupie huko!
 
Nilijua ipo siku KKKT watamfyatua out aidha kwa figisufigisu ili akimbie mwenyewe.

KKKT haipendagi mtu alinyooka ktk ukweli, sasa jamaa huwa yupo straight forward huwa hapindipindi hata kidogo, so kwa Lutheran hiyo ni kasoro...
Swala sio kuwa kichwa au kuwa straight foward.

Kama kuna mahali amekosea amekosa tu.

Kwa kiapo chake nilazima atumie akili zake kwa manufaa ya kanisa
 
Babu unaongea nn jitahidi uwe na imani achana na kufungua makanisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

ukileta za kuleta wanakususpend au ban na hakuna hata anayejua na wala wa kulalamika.
Ila kuna wale mapadri waliopatikana kwenye matenki ya maji, mwingine akaokotwa mtaroni huko Mbeya

Kimaro anajituma sana anastahili kuwa juu na hayo matamshi yalikua ni mambo madogo tu ya kurekebishana.. yule ni binadamu anaeituma sana... iust imagine huamka toka Kimara hadi kanisani kwake saa 10 alfajiri kwa ajili ya morning glory
Lakini si ndio maana ya utumishi?? Unamuonaje huruma mtu kwa kazi yake? Yaani utamuonea huruma mzibua vyoo, utamuonea huruma fundi wa umeme anayebembea nguzo moja mpaka nyingine kwa waya (zile za gridi ya Taifa)..hizo ndio kazi zao, huenda wenyewe wakasikitika kuona unawaonea huruma, ni kama unasema kuwa wanataabika kwa kazi zao

Nilikuja kujua Askofu Malasusa amebadilisha katiba ili awe askofu milele nilichoka sana... Niligundua huyu askofu ni mroho na yupo kikaz sio kiroho
Makanisa ni ya Kimafia sana, ila ni taasisi binafsi za watu, kwa hiyo ni sahihi wenye taasisi kujipangia watakavyo, hawalazimishi muwe waumini wao

Hizo siku sitini wamezitoa wapi. Wakati likizo normal ni siku 28-30?!
Wanataka ajipeleke CMA halafu wambane kuwa mambo yao yanatakiwa kusuluhishwa ndani ya kanisa kwa mujibu wa katiba yao
 
Kweli mkuu
 
Hatujaambiwa sababu ya mchungaji Kuchukuliwa hizo hatua. Mbona tunalaumu tuuuu
 
Asante kwa mawazo yako. Hatuna ushahidi wa hayo unayoyasema ila ni haki yako
 
Leo mchungaji Kimaro amepata mamia wa kumpambania kuwa ameonewa, kawaida ya watanzania ni kujadili jambo kwa siku lilipotokea. Kuanzia kesho Kimaro atajiona yupo alone na siku zifuatazo atakuwa alone kabisa, yeye na familia yake tu. Ajipange kupambana asitake huruma za watu mitandaoni, watanzania sio wa kuwaamini, wanakwenda na matukio.

Nimeona post zake instagram, replies zilikuwa chache isipokuwa ile aliyopost kuwa Mungu akimwinua mtu basi hakuna wa kumfuta, inawezekana uchache wa post ukawa ni muelekeo wa wafuasi wanaomsapoti, huenda akawa anaamini ana nyomi ya watu kumbe sivyo, atathmini na hilo kabla ya kufanya maamuzi ya kufungua kanisa (kama ana mpango huo)
 
Na anahitaji kijitafakari haswa. Ndo maana ameondoka kwa upole. Anajua alipojikwa. Watoa maoni humu wanaangalia alipoangukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…