Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mungu ana njia zake
Mimi nimezaliwa katika familia ya KKKT anakubatizawa , kupata kipaimara ndani ya KkKT, Kama kuna kitu huwa sikubaliani ni hili suala la kalenda, Mungu anatoa jumbe tofauti,kwa watu wake on his own will kupitia hao watumishi wake wachungaji ,naona kama ile kalenda ina limit that will of God kwa siku husika kwa watu wake ....
 

Umepiga Kwenye Mshono
 
.

Hata Mwakasege ambaye ni Mlutheri injili yake haina mipaka ndio maana pamoja na kutii ibada ya Kanisa lake lakini ana huduma yake.

.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Sasa Huyu Aliweka Huduma Yake Katika Huduma Ya Kilutheri Amabalo ni Kosa Tayari, Mwakasege Anahuduma Yake Ambayo Haiwezi kuichanganya na Huduma Ya KKKT japo Na Yeye Ni M-KKKT (Mlutheri)
Alipaswa Kutii Mamlaka Iliyomuweka Pale
 
Nilikuwa najiuliza ni nini kimempata sasa nimejua,asante sana kwa ufafanuzi huo makini
 
Umeongea jambo kubwa kwa ufupi mnooo.

Kitu hiko hupelekea mapokeo na kusababisha kuwa na KAWAIDA ya ibada badala ya kuongozwa n Roho Mtakatifu
 
Kam Kama ile kauli ya kibaguzi ndo kaitamka kwa kinywa chake kuhusu vijana wa kiislamu na ki kristo sina cha kumtetea due ni kama amespoil image za watu ambao aidha kazin na wanaosaka mkate wao wa kila siku
 
Tafuta kanisa lisilo na utaratibu huo,
 
Sasa we tafuta kanisa lolote lisilo na utaratibu wowote ule wa kuendesha mambo yake uingie humo...

Kwa masanja mkandamizaji (feel free church) may be...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…