Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu. Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Hili la majigambo hâta mie nliona kitambo tu, na lilikuwa linanishangaza sana!!
 
Kwa hili suala mimi ni Mluther ila penye ukweli ni sawa kusema ili watu wapone..
Imagine mtu amefanya kazi na projects za maendeleo na vijana wake kanisani ila anakuta kila siku wanamliza tu.
Je aendelee kuwa mnafiki na kuwalisha upepo? Au atuambie ukweli wakristo wenzie tubadilike? Kwenye maeneo tunayoish ukikutana na mwislamu ambae hajajichanganya sana mara nyingi wànakua waaminifu kuliko sisi wakristo hebu fikiria nàmna wakati mwingine tunavyowaamini sana Wapemba, Kumbuka pia Uarabuni wana sheria za kiislamu kali, nazo zinawafanya asilimia kubwa wanakua na uaminifu kwa kiwango kikubwa..
Hivi tushawaza kuhusu Wajapan Wabudha mbona wanatuzid Wakristo kwa uaminifu? Kuna sehem tunafeli haswa kwenye msisitizo wa maadili. Tumewasisitiza zaid watoto shule ila somo la kusisitiza maadili hatuna muda nalo..
Kuhusu kusifia RC yupo sahihi pia na ni ukweli usiopinda kuwa taasisi za kikatoliki zimekua stict sana na sheria walizojiwekea kuliko madhehebu mengine mfano mashule na hata uandaaji wake wa viongozi.
Taasis za kkkt zimejaa ubinafs na undugu kwa viongoz wa kanisa limejaa ubabaishaji sasa Kimaro asiseme? Amezungumza tu ya moyoni na kuna mengi mazur ya kujifunza kutoka sehemu alizo ongelea na nadhani ni haki yake kuwa na maoni tofaut japo hauwez kuwa ndio msimamo wa kanisa.
Ndugu, unazungumziaje makosa yake yanayosemwa kuhusu kuwa kinyume na taratibu za kimisa za kilutheri..? Naona jamaa (uongozi KKKT) wanaweza kushikia bango hapo.
 
Niseme tu, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Kilichokuwa kinatakiwa kufanyika ni kum demolish Kimaro tangu akiwa Usharika wa Kariakoo.

Kwa miaka mingi tumefanya mbinu na njama mbalimbali kumuondoa lakini hazikuwq na matokeo tuliyo yatarajia. Hivyo tukajaribu mbinu nyingine na nyingine tena, hatimaye leo mbuyu haujaanguka ila umemwagika.

Mara ya kwanza tulipofanya yetu akiwa pale Kariakoo alikimbia usharika na kwenda kujificha kwa Mapadre, na mapadre ndio waliofanya jitihada hadi akarudi tena usharikani, ila hii ya sasa harudi, na akirudi basi itakuwa zamu yetu kusalimu amri.

Kimaro alipokuwa Kariakoo, sio kwamba aliharibu taratibu za ibada hapana, hii ni cover tu, tunayoitumia.

Kimaro alipokuwa Kariakoo aliharibu biashara za wengi kwenye ulimwengu wa roho.

Watu walikuwa na madhabahu zao kubwa ambazo ziliprovide ulinzi wa pesa na mali, pia zikikuwa zikivuta mali kutoka kwa maboya wengine.

Alipofika Kimaro, wale ambao tulikuwa tukizivuta mali zao, wakaanza kumiminika kule kila alfajiri, ulinzi wa mali zao ukaanza kuongezeka, na zile biashara zao ambazo tulizifanya zisionekane na wateja zikaanza kuonekana, na taratibu taratibu wakaanza kukua na kutupora wateja wetu.

Kwa msio na ufahamu wa biashara, hamna biashara isiyo na madhabahu (iwe ya asili au hizo kama za Kimaro), hamna biashara isiye na kuhani, na wala hamna biashara isiyotolewa sadaka/kafara.

Watu wakaanza kufundishwa kutoa sadaka za maneneo na manuizi kwa ajili ya biashara zao, tukapata upinzani sana.

Kwa kushirikiana na wenzetu ndani ya kanisa, tukaanza figisu. Ibada hizo mpya zifutwe na ikiwezekana Kimaro ahamishwe Kariakoo.

Tukafanya Kimaro apitie magumu, tukakausha kabisa hali ya utoaji wa sadaka hadi kanisa likashindwa kulipia umeme na maji, tukahakikisha wanapitia kwenye hali ya ugumu kweli kweli.

Baadae Kimaro anajua alichokifanya, akapindua meza, hali ya uchumi wa kanisa ikaimarika sana, likawa pigo lingine kwetu.

Kipindi kile mkuu wa kanisa alikuwa yule jamaa wa Mbeya, tukafanya kila liwezekanalo ahamishwe. Ndipo akapelekwa Kijitonyama.

Zama zile Kijitonyama alikuwepo dogo mmoja anaitwa Kinyaha, hayo mambo ya ibada za asubuhi yalikuwa hayapo au yamekufa kabisa.

Ibada ilikuwa ikihudhuriwa na vizee vienne, wakizidi sana sita. Sasa alipokuja Kimaro sijajua alikuja na mguu upi, akaleta ibada za asubuhi na usiku.

Watu wakaanza kufurika, akaanza kununua nyumba za watu wetu na kuzifanya kuwa za kanisa. Kijitonyama yote ilikuwa ni ngome yetu.

Kata ya Kijitonyama ndio kata ina vijiji viwili mjini kati Dar es Salaam. Kijiji cha Mwenge na Kijiji cha Makumbusho. Jina na asili Kijitonyama sitaki kulielezea leo, lakini kaa ukijua kuwa ile ni ngome yetu na sehemu yetu ya kulia nyama na vitu vyetu vya kutuongezea nguvu. Kijitonyama ndiko kwenye madhabahu ya kuteketeza, ndio maana hata Wahindi miili yao huchomewa Kijitonyama.

Pale tulijaribu mbinu za kishushu, kuna kipindi tulitaka kumfitinisha na serikali kwa kupitia kijana aliyejinyonga kwa madeni aliyokuwa nayo, lakini alikwepa vihunzi kwa namna ya ajabu kabisa.

Kwetu sisi ni furaha, watu waharibifu aina ya KIMARO hawafai, wakakae huko vyuoni wafundishe. Na tutammaliza kwa njia hiyo.
Hahahahahah sema mlimkamia sana wazee... Kwahio sahizi bahari itatulia sasa
 
Niseme tu, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Kilichokuwa kinatakiwa kufanyika ni kum demolish Kimaro tangu akiwa Usharika wa Kariakoo.

Kwa miaka mingi tumefanya mbinu na njama mbalimbali kumuondoa lakini hazikuwq na matokeo tuliyo yatarajia. Hivyo tukajaribu mbinu nyingine na nyingine tena, hatimaye leo mbuyu haujaanguka ila umemwagika.

Mara ya kwanza tulipofanya yetu akiwa pale Kariakoo alikimbia usharika na kwenda kujificha kwa Mapadre, na mapadre ndio waliofanya jitihada hadi akarudi tena usharikani, ila hii ya sasa harudi, na akirudi basi itakuwa zamu yetu kusalimu amri.

Kimaro alipokuwa Kariakoo, sio kwamba aliharibu taratibu za ibada hapana, hii ni cover tu, tunayoitumia.

Kimaro alipokuwa Kariakoo aliharibu biashara za wengi kwenye ulimwengu wa roho.

Watu walikuwa na madhabahu zao kubwa ambazo ziliprovide ulinzi wa pesa na mali, pia zikikuwa zikivuta mali kutoka kwa maboya wengine.

Alipofika Kimaro, wale ambao tulikuwa tukizivuta mali zao, wakaanza kumiminika kule kila alfajiri, ulinzi wa mali zao ukaanza kuongezeka, na zile biashara zao ambazo tulizifanya zisionekane na wateja zikaanza kuonekana, na taratibu taratibu wakaanza kukua na kutupora wateja wetu.

Kwa msio na ufahamu wa biashara, hamna biashara isiyo na madhabahu (iwe ya asili au hizo kama za Kimaro), hamna biashara isiye na kuhani, na wala hamna biashara isiyotolewa sadaka/kafara.

Watu wakaanza kufundishwa kutoa sadaka za maneneo na manuizi kwa ajili ya biashara zao, tukapata upinzani sana.

Kwa kushirikiana na wenzetu ndani ya kanisa, tukaanza figisu. Ibada hizo mpya zifutwe na ikiwezekana Kimaro ahamishwe Kariakoo.

Tukafanya Kimaro apitie magumu, tukakausha kabisa hali ya utoaji wa sadaka hadi kanisa likashindwa kulipia umeme na maji, tukahakikisha wanapitia kwenye hali ya ugumu kweli kweli.

Baadae Kimaro anajua alichokifanya, akapindua meza, hali ya uchumi wa kanisa ikaimarika sana, likawa pigo lingine kwetu.

Kipindi kile mkuu wa kanisa alikuwa yule jamaa wa Mbeya, tukafanya kila liwezekanalo ahamishwe. Ndipo akapelekwa Kijitonyama.

Zama zile Kijitonyama alikuwepo dogo mmoja anaitwa Kinyaha, hayo mambo ya ibada za asubuhi yalikuwa hayapo au yamekufa kabisa.

Ibada ilikuwa ikihudhuriwa na vizee vienne, wakizidi sana sita. Sasa alipokuja Kimaro sijajua alikuja na mguu upi, akaleta ibada za asubuhi na usiku.

Watu wakaanza kufurika, akaanza kununua nyumba za watu wetu na kuzifanya kuwa za kanisa. Kijitonyama yote ilikuwa ni ngome yetu.

Kata ya Kijitonyama ndio kata ina vijiji viwili mjini kati Dar es Salaam. Kijiji cha Mwenge na Kijiji cha Makumbusho. Jina na asili Kijitonyama sitaki kulielezea leo, lakini kaa ukijua kuwa ile ni ngome yetu na sehemu yetu ya kulia nyama na vitu vyetu vya kutuongezea nguvu. Kijitonyama ndiko kwenye madhabahu ya kuteketeza, ndio maana hata Wahindi miili yao huchomewa Kijitonyama.

Pale tulijaribu mbinu za kishushu, kuna kipindi tulitaka kumfitinisha na serikali kwa kupitia kijana aliyejinyonga kwa madeni aliyokuwa nayo, lakini alikwepa vihunzi kwa namna ya ajabu kabisa.

Kwetu sisi ni furaha, watu waharibifu aina ya KIMARO hawafai, wakakae huko vyuoni wafundishe. Na tutammaliza kwa njia hiyo.
Tumelijua hilo, ndio maana wengine tumazamia ktk maombi, ila mjue hata mkimtoa hapo... Bado uharibifu utaendelea tu maana Mungu kawekeza tayari😁😁
 
Niseme tu, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Kilichokuwa kinatakiwa kufanyika ni kum demolish Kimaro tangu akiwa Usharika wa Kariakoo.

Kwa miaka mingi tumefanya mbinu na njama mbalimbali kumuondoa lakini hazikuwq na matokeo tuliyo yatarajia. Hivyo tukajaribu mbinu nyingine na nyingine tena, hatimaye leo mbuyu haujaanguka ila umemwagika.

Mara ya kwanza tulipofanya yetu akiwa pale Kariakoo alikimbia usharika na kwenda kujificha kwa Mapadre, na mapadre ndio waliofanya jitihada hadi akarudi tena usharikani, ila hii ya sasa harudi, na akirudi basi itakuwa zamu yetu kusalimu amri.

Kimaro alipokuwa Kariakoo, sio kwamba aliharibu taratibu za ibada hapana, hii ni cover tu, tunayoitumia.

Kimaro alipokuwa Kariakoo aliharibu biashara za wengi kwenye ulimwengu wa roho.

Watu walikuwa na madhabahu zao kubwa ambazo ziliprovide ulinzi wa pesa na mali, pia zikikuwa zikivuta mali kutoka kwa maboya wengine.

Alipofika Kimaro, wale ambao tulikuwa tukizivuta mali zao, wakaanza kumiminika kule kila alfajiri, ulinzi wa mali zao ukaanza kuongezeka, na zile biashara zao ambazo tulizifanya zisionekane na wateja zikaanza kuonekana, na taratibu taratibu wakaanza kukua na kutupora wateja wetu.

Kwa msio na ufahamu wa biashara, hamna biashara isiyo na madhabahu (iwe ya asili au hizo kama za Kimaro), hamna biashara isiye na kuhani, na wala hamna biashara isiyotolewa sadaka/kafara.

Watu wakaanza kufundishwa kutoa sadaka za maneneo na manuizi kwa ajili ya biashara zao, tukapata upinzani sana.

Kwa kushirikiana na wenzetu ndani ya kanisa, tukaanza figisu. Ibada hizo mpya zifutwe na ikiwezekana Kimaro ahamishwe Kariakoo.

Tukafanya Kimaro apitie magumu, tukakausha kabisa hali ya utoaji wa sadaka hadi kanisa likashindwa kulipia umeme na maji, tukahakikisha wanapitia kwenye hali ya ugumu kweli kweli.

Baadae Kimaro anajua alichokifanya, akapindua meza, hali ya uchumi wa kanisa ikaimarika sana, likawa pigo lingine kwetu.

Kipindi kile mkuu wa kanisa alikuwa yule jamaa wa Mbeya, tukafanya kila liwezekanalo ahamishwe. Ndipo akapelekwa Kijitonyama.

Zama zile Kijitonyama alikuwepo dogo mmoja anaitwa Kinyaha, hayo mambo ya ibada za asubuhi yalikuwa hayapo au yamekufa kabisa.

Ibada ilikuwa ikihudhuriwa na vizee vienne, wakizidi sana sita. Sasa alipokuja Kimaro sijajua alikuja na mguu upi, akaleta ibada za asubuhi na usiku.

Watu wakaanza kufurika, akaanza kununua nyumba za watu wetu na kuzifanya kuwa za kanisa. Kijitonyama yote ilikuwa ni ngome yetu.

Kata ya Kijitonyama ndio kata ina vijiji viwili mjini kati Dar es Salaam. Kijiji cha Mwenge na Kijiji cha Makumbusho. Jina na asili Kijitonyama sitaki kulielezea leo, lakini kaa ukijua kuwa ile ni ngome yetu na sehemu yetu ya kulia nyama na vitu vyetu vya kutuongezea nguvu. Kijitonyama ndiko kwenye madhabahu ya kuteketeza, ndio maana hata Wahindi miili yao huchomewa Kijitonyama.

Pale tulijaribu mbinu za kishushu, kuna kipindi tulitaka kumfitinisha na serikali kwa kupitia kijana aliyejinyonga kwa madeni aliyokuwa nayo, lakini alikwepa vihunzi kwa namna ya ajabu kabisa.

Kwetu sisi ni furaha, watu waharibifu aina ya KIMARO hawafai, wakakae huko vyuoni wafundishe. Na tutammaliza kwa njia hiyo.
Daaaaa[emoji15][emoji15]..
Hv n kweliiii....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kkkt ni platform, yeye ana kipaji, sasa tuue kipaji kwasababu za wivu? Shetani amewazidi uwerevu?

Kwani huyo mchungaji ana hubiri Quran? Si vitabu vya kikristu? Amehubiri mambo ya kumpinga kristu? Shida yenu ni nini? Kukubalika kwake, kupendwa kwake?kipaji chake?
Hapo tatizo ni lile lile tu la ngozi nyeusi, wivu, majungu na fitina. Jamaa nyota yake imewaka na anakubalika sana na ukishakubalika na jamii hela lazma upate nyingi tu kupitia hao hao unaowahudumia. Sasa naona wamejaribu kumbana bana wamemshindwa wameona anafaidi sana bora wamuondoe kisiasa.
 
Aanzishe ministry yake tu huwezi ukawa perfect na ukategemea kusurvive kwenye haya makanisa ya kimchongo.
Sio kanisani tu popote pale nchini, ukiwa na balls jiandae kuishi kama tai maana kila mahali watakuwa wanakuona mkorofi. Watanzania tumezoeshwa ukondoo toka nchi hii inaasisiwa.

1.Shuleni ufanyiwe uonevu ukae kimya, ukikaza unaonekana mtukutu. Utahamishwa tu.

2.Kazini ukiwa mshapu na mtoaji ideas utaitwa kiherehere tayari watu wanakuchukia. Huwezi toboa.

3. Uraiani ukitoa views zako kuhusu hali ya maisha nchini. Mchochezi. Hapo hapo una haki ya kutoa mawazo yako. Ila unaitwa mchochezi.

4.Kanisani kama hivyo, una kipaji cha neno na watu wanakupenda unasimamia ukweli. Unaambiwa unakiuka taratibu.

Hii ndio Tanzania, ukiwa na misimamo yako binafsi basi hakikisha hufungamani na taasisi yeyote.
 
Sina shida na mafundisho yake ila utii na kujikweza Ni mbaya Sana

Mara kadhaa namuona akaiwasifia RC Eti kkkt haiwezi kutoa kiti Cha urais wa nnchi hi yeye kimaro aliyasema mbele ya Dr mwigulu nchemba madelo

Sijapendezwa na kauli zake za kusema kuwa kkkt haitaweza kumtoa mtu kuwa rais

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndio ukweli wenyewe hata kama hautaki, its either uwe RC ama Muislamu ndio dini zinazotambulika kitaifa. Official religions of the nation.
 
Watu hawafati umaarufu bro umewaza kitoto sana watu wanafata mafundisho. Ukiangalia wote wanaotajwa ni watu wamafundisho ss ukiwa unapiga mondo mno lazima wakubwa wajisikie vibaya. Never outshine your master. Ss unafikir ni uongo vijana wengi wa kikristo sio waaminifu katika biashara. Nenda kariakoo 80% ya maduka utakuja na akina Amiii, Asha, Shabani so asichukuliwe vibaya alilosema ni kweli tubadilike tu.

Kimaro hakuwa specific yeye ali generalize kitu ambacho mimi naona siyo kweli huwezi ukasema wakristo wote ni wezi,basi hata magereza nafikiri yangejaaa Christian tuu
 
Ukisoma uliyoandika hakika wewe unaweza ukawa ni sehemu ya hayo majungu

Ungeainisha ni sheria na taratibu zipi za kanisa jamaa kakiuka, naona hapa upo mgogoro mnaupika

Muda ni mwalimu mzuri kabisa,kama wewe uliona Mchungaji anakosea ulichukua jitihada gani, kanisani si kuna wazee, mlijaribu hata kumuita mkamuonya,,naamini angewasikiliza

Inaelekea na wewe ni miongoni mwa wale mliokuwa mnampigia makofi na kumshangilia akijeuka nyuma mnaanza kumnanga..

maisha ya bidadamu ni mafupi, tupendane, tusahihishane,tukosoane kwa staha,,badala ya kujenga jamii ya wanafiki.. kwani KKT DSm makanisa yapo mangapi kwanini waumini wengi wanene mara nyingi kuhusu KIJITONYAMA na KIMARA TU

Wakati mnamnanga tambueni YEYE NI MUANzILISHI WA IBADA zA ASUBUHI NA MASIFU YA JIONI KWA KKKT PIA NI MTU WA KWANzA KUANzISHA TV KABLA HATA YA UPENDO RADIO NA TV...
Kiufupi huyu Kimaro ameamua ku Mordenize kanisa la KKKT kutoka kwenye old and boring formula ya liturujia tu. Watu sikuhizi wanafocus zaidi kwenye vibe. Vizazi vimebadilika sana vijana wengi wanaohudhuria hizo ibada ni uzao wa kuanzia mwaka 2000.
Mindset zipo tofauti na wazazi wao sio watu wa miaka ya 60 au 70 kama baba zetu.
 
UMEZUNGUMZIA UTARATIBU WA WAKUBWA. HAPO HAPO TU ULISHAMALIZA KILA KITU. KILA TAASISI INA UTARATIBU WAKE. USIPOFUATA UTAONA UNAONEWA.
Ni kweli tumeona hata EFM yule mtangazaji amefukuzwa kazi kwa kutoa maoni yake tu dhidi ya hali ya nchi inavyokwenda.

Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na haija specify sehemu gani exactly mtu atoe hayo maoni. Ingeandika maoni yatolewe chooni kwako au chumbani kwako ingekuwa rahisi kumhukumu yule mtu.

Hio ndio hali ya Tanzania ilipofikia halafu tunakazi ya kulaumu kwanini watu wengi wamekuwa na tabia ya unafiki. Misingi ya maisha imejikita kwenye unafiki leo hii huwezi kusema ukweli wako wazi ila lazma uangalie huo ukweli unamwambia nani. This is not how its supposed to be.
 
Back
Top Bottom