Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Masai anafuata lini na yeye kupewa notice ya siku 60? Tunakupa siku 60 ukajitafakari kisha uamue uje ofisini makao makuu tuyamalize tukupeleke ukahudumu uko Kilwa Masoko kwenye Misikiti 99 au unakomaa na jiji unaanzisha kanisa lako?

Waislam ni wema sana kuliko Wakristu, baba Askofu huyu mchungaji apelekwe Kilwa patamfaa sana, namaanisha Kimaro sio Masai
 
Sikujuaga km Kuna wakristoo wana chuki Kali hivi na wanamchukia Kimaro hivii Tena live live daah...kweli Dunia Ina wanafiki wengi sana
Anyway hayanihusu lakini ila kupitia Kimaro nimejifunza kitu
 
Kuna kipindi dayosisi haikuwa na katibu mkuu, kwa hiyo pastor wa kimara MASAI alipewa ukatibu mkuu kwa mda ili dayosisi ijipange kutafuta katibu mkuu.

Sasa kumbe wakati Masai amewekwa pale akakuta kuna mashtaka yanayo mhusu KIMARO kumbuka masai na kimaro ni pete na kidole, ikabidi jamaa avujishe siri kwa kimaro, sasa kwa sababu friji haigandishi ya kimaro akaja kanisani akasimanga akajisahau mpaka akamtaja mchungaji Anna, hapo ndipo siri ilipofichuka na kuonekana kuna kitu hakipo sawa kanisani.

Na baada ya ibada ile nahisi wakubwa waliona jamaa amevuka mipaka sasa wakaamua wamle kichwa, alipokua anaelekea alikua anataka kujiona Mungu.
Unajua kusimulia vizuri sana aisee, mwaga mchele mwaga mchele
 
Sikujuaga km Kuna wakristoo wana chuki Kali hivi na wanamchukia Kimaro hivii Tena live live daah...kweli Dunia Ina wanafiki wengi sana
Anyway hayanihusu lakini ila kupitia Kimaro nimejifunza kitu
Hivi umeziangalia zile clip?
 
Sikujuaga km Kuna wakristoo wana chuki Kali hivi na wanamchukia Kimaro hivii Tena live live daah...kweli Dunia Ina wanafiki wengi sana
Anyway hayanihusu lakini ila kupitia Kimaro nimejifunza kitu
Mimi ni Mkristo haswa lkn niwe mkweli.
Kuna majungu, chuki sana kanisani.
Watu wema ni wachache sana.

Wakristo wanaoijua kweli ni wachache sana.
Mimi sio kkkt but ninamtambua Kimaro kama mtumishi wa Mungu wa kweli.
Hata kosa mapungufu lkn haiondoi ukweli kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu
 
Mimi ni Mkristo haswa lkn niwe mkweli.
Kuna majungu, chuki sana kanisani.
Watu wema ni wachache sana.

Wakristo wanaoijua kweli ni wachache sana.
Mimi sio kkkt but ninamtambua Kimaro kama mtumishi wa Mungu wa kweli.
Hata kosa mapungufu lkn haiondoi ukweli kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu
Aseehh...inasikitisha sana Tena humu nadhani Kuna watu Toka kanisani kwake na baadhi ya viongozi wenziwe na itakua wamefurahi mnooo mnakuja kumponda live humu
Daahh...wanadamu wanafiki sana tunajifanya watu wa Mungu kumbe tuna wivu mtupu,sadaka tunatoa kinafiki Kisha tunalalamika kwenye nyumba za ibada tunajifanya wapole Kuna hakuna lolote
 
Aseehh...inasikitisha sana Tena humu nadhani Kuna watu Toka kanisani kwake na baadhi ya viongozi wenziwe na itakua wamefurahi mnooo mnakuja kumponda live humu
Daahh...wanadamu wanafiki sana tunajifanya watu wa Mungu kumbe tuna wivu mtupu,sadaka tunatoa kinafiki Kisha tunalalamika kwenye nyumba za ibada tunajifanya wapole Kuna hakuna lolote
Nchi ngumu hii.
Hakuna cha imani wala dini ni unafiki mtupu.
Tunapoteza muda nyumba za ibada bure
 
Mimi ni Mkristo haswa lkn niwe mkweli.
Kuna majungu, chuki sana kanisani.
Watu wema ni wachache sana.

Wakristo wanaoijua kweli ni wachache sana.
Mimi sio kkkt but ninamtambua Kimaro kama mtumishi wa Mungu wa kweli.
Hata kosa mapungufu lkn haiondoi ukweli kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu
Vijana wakristu ni wezi na matapeli tofauti na vijana wa kiislamu, vijana wa kiislamu wanakuzwa kwenye malezi mazuri, sijasema Mimi kasema Kimaro
 
Aseehh...inasikitisha sana Tena humu nadhani Kuna watu Toka kanisani kwake na baadhi ya viongozi wenziwe na itakua wamefurahi mnooo mnakuja kumponda live humu
Daahh...wanadamu wanafiki sana tunajifanya watu wa Mungu kumbe tuna wivu mtupu,sadaka tunatoa kinafiki Kisha tunalalamika kwenye nyumba za ibada tunajifanya wapole Kuna hakuna lolote
Mzee wewe una share kwenye ukoo wa Yesu? Mboni unajifanya Mesia? Kimaro amevuna alichopanda, ngoja niweke nikuta hapa nisije nikaonekana naongea sana na mimi wakanidyatua
 
Kwa hili suala mimi ni Mluther ila penye ukweli ni sawa kusema ili watu wapone..
Imagine mtu amefanya kazi na projects za maendeleo na vijana wake kanisani ila anakuta kila siku wanamliza tu.
Je aendelee kuwa mnafiki na kuwalisha upepo? Au atuambie ukweli wakristo wenzie tubadilike? Kwenye maeneo tunayoish ukikutana na mwislamu ambae hajajichanganya sana mara nyingi wànakua waaminifu kuliko sisi wakristo hebu fikiria nàmna wakati mwingine tunavyowaamini sana Wapemba, Kumbuka pia Uarabuni wana sheria za kiislamu kali, nazo zinawafanya asilimia kubwa wanakua na uaminifu kwa kiwango kikubwa..
Hivi tushawaza kuhusu Wajapan Wabudha mbona wanatuzid Wakristo kwa uaminifu? Kuna sehem tunafeli haswa kwenye msisitizo wa maadili. Tumewasisitiza zaid watoto shule ila somo la kusisitiza maadili hatuna muda nalo..
Kuhusu kusifia RC yupo sahihi pia na ni ukweli usiopinda kuwa taasisi za kikatoliki zimekua stict sana na sheria walizojiwekea kuliko madhehebu mengine mfano mashule na hata uandaaji wake wa viongozi.
Taasis za kkkt zimejaa ubinafs na undugu kwa viongoz wa kanisa limejaa ubabaishaji sasa Kimaro asiseme? Amezungumza tu ya moyoni na kuna mengi mazur ya kujifunza kutoka sehemu alizo ongelea na nadhani ni haki yake kuwa na maoni tofaut japo hauwez kuwa ndio msimamo wa kanisa.
Bongo hutakiwi kuwa na maoni yako na ukaya raise. Automatically utaonekana unajikweza ama kujifanya mjuaji.
 
Migogoro katika kanisa imeanza muda mrefu enzi za waanzilishi wa kanisa.
Kati ya wale wanafunzi wa yesu ambao ndio mwanzo wa kanisa ulianzia kwao nao walikuwa na mafarakano baina yao dhidi ya waamini .
Mwingine aliona yeye ni bora kuliko yule na yule alijiona ni bora kuliko huyo , waathirika wakubwa .

Baadhi ya taasisi za makanisa wamekua na mfumo mzuri wa kutatua migogoro yao bila waumini kuathirika, lakini taasisi nyingine athari zimekua kubwa mno na kupelekea kugawanyika kwa waamini .

Yote ya yote ni maslahi ya kidunia na wala sio maslahi ya kiimani.
Yuda escalioti sijui alifeli wapi angeanzisha kanisa nae
 
Atoke akaanzishe kanisa lake mwenyewe, Makanisa nayo yana likizo, yaani mchungaji unakuwa umeajiriwa?kwani ni kampuni hiyo?uchungaji ni wito sio ajira,mtafanya watu wa act kua wachungaji ili waajiriwe nyie,jua ni kali sana mtaani 😂😂

ndio maana nilienda zangu mashahidi wa jehova
Lutheran pamoja na wito ila ni ajira pia unauwezo wa kuwapeleka mahakamani
 
Hata bila kuanzisha kwan sadaka anakosa?
Yaan mnawazA sadaka tu kwan mliambiwa kanisa ni mahala pa uchuuzi? Mpaka mliungana na mwendakuzimu ili mpige pesa!! kama shida yenu pesa Si mkauze nyanya huko kariakoo shimoni!!
Wanajisahau kwamba huyu jamaa ni mtoto wa Kilimanjaro. Ataungwa mkono na hao hao waumini wa Kijitonyama kufanya kitu kikubwa tu.
 
Nilishamwambia huyo jamaa kwamba mchungaji Kimaro ana advantage kubwa 2. Kwanza ni mchagga halafu pili ana upepo wa kichungaji. Anaweza akasepa na kijiji kabisa na hawata amini macho yao.
Mwambie huyo aisee!

Tena waumini wanasubiri atulie na kuisikilizia sauti na ridhaa ya Roho Mtakatifu akisema aanzishe huduma Au kanisa waumini watajitolea harambee na kukodi ukumbi au watu watatoa Kama kwa Bwana mahali temporary pa kuabudu hadi mipango ya badae.
 
Back
Top Bottom