Edon 666
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 417
- 1,056
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee ni nani uione Barua isiyo yako?Juu Utamaduni wa kuendeleza mijadala isiyo na ushahidi thabiti ni lazima tuutafakari kwa upya.
Kwani Katibu wa KKKT DMP ametoa Taarifa yoyote inayohusu Ajira au Utendaji wa Mchungaji Kimaro?
Nasubiri mrejesho.
Sina share ila acheni unafiki mumuache baba wa watu hakuna mkamilifuNimekuuliza wewe una share kwenye ukoo wa Yesu?
Good!na yeye anawapenda waislam.Mimi ni muislamu lakini nasema huyu Pastor Kimaro ni bonge la Pastor na waliomfanyia hizo figisu hawana roho wa Mungu ndani yao.
# Baba Kimaro kama unasoma UJUMBE huu please tunaomba tunaomba ufungue kanisa lako.
Siku 60 ni nyingi sana.
😭😭😭😭😭😭
Wameundaa Group waumini eti wanahamasishana wasiende kanisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sadaka wamtumie kimaro au watume kwa yatima...! Yani sijui wataishia wapi ila mpaka hapo wameshafail.
Kwani walio anza walianzaje?hana huo ubavu
aanzishe uone wangap watamfuata kutoka kkkt, labda wale wahuni wachache waliobeba mchango kanisaniKwani walio anza walianzaje?
Hizo Durex Kama Ni fungu la kumi mbona hawazigawi bure?na Ni one among expensive condomkwenye Biblia yako ya MAKABAYO,ila kwa sisi tunaosoma vitabu 66 , lipo:
wewe hapo umevaa sketi ya mtumba ambayo wazungu wametoa fungu la kumi, umevaa pedi ambapo ni msaada wenzio wametoa fungu la kumi, leo asubuhi umefanya tendo la ndoa[morning glory] na mume wako kwa kutumia Durex condom toka marekani ambapo ni fungu la kumi la wazungu kwa nchi maskini, acha mkono na roho korosho, lipa zaka.
Kwani mashehe wanajipigia azanaa au wanajitangazia idd muda wanaotaka?? Shehe akitaka hubiri kula kitomoto wamuache tu ???Kwa hio wachungaji wanapangiwa mpk jinsi ya kuhubiri,ukiongea ongea mshahara huna
Inabidi uwalambe viatu wakuu wako 🤣🤣
Mimi msema kweli, si majungu. BAADA YA KUSIMAMISHWA ETI akapost"FROM BITTER TO BETTER" na ka picha ka uchokozi.Huyu ni mchungaji au ni mission town Tu?Vijembe kwa kwenda mbele mfyuuuuuuu.We mama nae kumbe mtu wa Majungu hivi loh
Unajiunga vipi?Just for curiosity nikajiunge nione walivyo wapumbavu.Wameundaa Group waumini eti wanahamasishana wasiende kanisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sadaka wamtumie kimaro au watume kwa yatima...! Yani sijui wataishia wapi ila mpaka hapo wameshafail.
Ni mshauri wa masuala ya uchumi world bank,imf🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha.
Mwakasege si Mchungaji.
Mwakasege ni Mwalimu.
Hajasoma uchungaji, anakipaji Cha kuijua Biblia, kufundisha, na ni mshauri wa maswala ya uchumi wordd Bank, imf.
Yeye ni MANA
Kuzunguka Dunia Nzima kupiga injili
Msakatonge😁Mimi msema kweli, si majungu. BAADA YA KUSIMAMISHWA ETI akapost"FROM BITTER TO BETTER" na ka picha ka uchokozi.Huyu ni mchungaji au ni mission town Tu?Vijembe kwa kwenda mbele mfyuuuuuuu.