Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Dr. ameshapitia presentation nyingi
Hii anatoboa Asubuhi ngoja uone
 
Mbona Kama mnahangaika nae sana? Yaani ni Kama mmefungua ID kadhaa kwa ajili ya Kimaro

Yeye mwenyewe Yupo kimya

Je mnajaribu kuprove kwa nani?

Why KKKT mambo ya kanisa mnataka yajadiliwe na wasio wa kanisa

Aaarrfghh tumewachoka
 
Ww jamaa ni Shemasi kweli. Au Shemasi jina!?
 
Mchumia tumbo yule
Alafu unajiita shemasi ?? Kwani mchungaji kimaro Kuna alichokisema ni uongo?? Je , hakuna wachungaji matapeli ? Je, hakuna waumuni matapeli?? ... Kwahiyo kusema kwake ukweli imekuwa ni kujivisha kiburi Cha mafanikio?? Ficheni ujinga na utapeli wenu bhana...jisahihisheni nyie mnaojiita wachungaji na maaskofu ...mkiendelea kuandika andika ujinga wenu huku ni kuendelea kumpa credit mwenzenu ...ameongea ukweli mtupu na kamaliza kila kitu ... Kaeni kimya na mjitathimini upya na hizo huduma zenu kama ziko sahihi ???
 
Mimi najua Mashemasi huwezi wakuta kwenye social media huku.
wito wetu kama watumishi ni kuokoa kilichopotea hivyo, nilazima utafte jinsi ya kuwapata mahala walipo. Yesu hakuja kwa walio wakamilifu, ndio maana alikaa na makahaba, walevi n.k
batikiwa sana ndugu. tunaweza kujifunza zaidi ikiwa utakua tayari
 
Wachungaji sawa lkn. Mashemasi hasa wa RC sidhani labda kama kuna mashemasi kwenye madhehebu mengine
ndugu daraja la ushemasi lipo kwenye biblia na unaeza kusoma sifa za mtu anayeitwa shemasi katika 1tim 3:7-12. sio cheo cha kanisa fulani, bali ni nafasi ya utumishi inayopaswa kuonekana katika utumishi wa kanisa la kristo
 
Hv hayo mavazi yaliyozuiliwa ni suruali ama ? Mana kuna suruali za kike na za kiume , sijaona sehemu yyte kuwa suruali ni vazi la kiume tuu....
 
Wakati dini inaingia Afrika, hizo nguo hata hazikuwepo
 
Hv hayo mavazi yaliyozuiliwa ni suruali ama ? Mana kuna suruali za kike na za kiume , sijaona sehemu yyte kuwa suruali ni vazi la kiume tuu...
maandiko yanazuia kuvaa vazi limpasalo mwanaume kuvaa. hakuna suruali ya mwanamke, wala hakuna sketi ya mwanaume, wala hakuna blauzi ya mwanaume. mambo hayo yanafanywa na shetani ili kupoteza wateule wa Mungu. ukienda UHAMIAJI hapo kurasini utaona waliovaa suruali za kubana wanazuiwa kuingia. ebu niambie heima hiyo wanaitoa wapi afu watu wa Mungu tukaikosa
 
Tumpumzishe huyu mtumishi wa Mungu acheni kujitetea fanyeni kazi zitaonekana
 
Kanisa lisiingie kwenye "MTEGO" wao, hapo mwanzo tuliamini makundi yapo siasani, kumbe hata kwenye imani yamekuwepo pia, Kama kanisa likitii matakwa yao hao waandamanaji, wachache nini kitatakea?! kanisa litapoteza udhibiti.. wengine nao watatumia mbinu hiyo hiyo pale Kanisa linapochukua maamuzi, kwanza tujiulize?-: hawa watu wanawakilisha K.nyama yote, jibu liko wazi, si kweli ni kikundi kile kile kama cha Dr. Mwikali kisicho jua KKKT ni taasisi na wachungaji ni waajiriwa...., taarifa niliyo nayo baba Askofu katoa tamko la utulivu, basi nimuombe, kama ulivyomzuia Mwikali kuligawa Kanisa nawengine usiwaonee haya, waliuo msimamisha wanamjua kuliko wengine wote.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…