Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Baada ya kkkt inafata Moravian, ibada za liturgia zinaenda kupotea
 
Ni sawa, asingekua anajibu hoja kwa vijembe
 
Ahsante shemasi.. umemaliza kabisa
 
Akiongea kimaro ameongea wengine wakimpinga inakua nongwa
 
Unayajua mavazi ya kiume yaliyokuwa yanavaliwa nyakati hizo..!?
 
USIHUKUMU USIJE KUHUKUMIWA the Bible says

Tofautisha kuhukumu na kukosoa ama kuonya. Hukumu ni pale unaposema Fulani una dhambi itaenda motoni happy ndio unahukumu yani unafanya kazi ya Mungu. Haya mambo ya usihikumu ndio yalioekea msanii maarufu kufunga ndoa na mimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…