Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Hawa KKKT , ANGELICAN na MORAVIAN viongozi wake wanaipenda Sana Migogoro
 
Maombi yake siku anatangaza kupewa likizo na kuhamishwa yalikuwa ya kupandikiza uasi ndani ya kanisa. Ni hekima ya hao viongozi wake tu,anatakiwa avuliwe uchungaji.

Mtu anahamishwa na anaacha mchungaji mwenzake hapo kanisani lakini anafanya kama huyo mchungaji mwenzake sio kitu au sio mchungaji.

Kiburi cha umaarufu ni kibaya sana.
 
Sawa tuko pamoja mkuu
 
Yaelekea wewe hujui mchungaji/padre/Askofu nae ni mtu anahitaji kupumzika au unadhani nao wanafanya kazi ndogo? Ndio huenda likizo
Sasa ndio umlazimishe aende likizo?yani unamlazimisha mtumishi kupumzika wakati yupo na ratiba zake,kwa nini wasingesubiri amalize hio semina wiki 2,ndio wamlazimishe likizo
Waumini mnachezeshwa kwata tu

Haya makanisa ni ujinga na utapeli tu
 
Hivi views huwa zinapungua je? Kuna siku ilielekea 70k mara paaap ikawa nusu yake
 
Askofu Bagonza ni hatari weka mbili huyu mtu
 
Inafikirisha
 
Mkuu umeongea ukweli kuhusu Nkya yaani hata harambee kuhusu kanisa na kuhusu mambo mengine mtu unatoa kiroho safi yaani tunamkumbuka sanaaa sanaaaa na tunampenda
YAAANI KANISA LA UBUNGO LIMEPATA SIFA KUTOKANA KIJANA WA USHARIKA CHINI YA MCHUNGAJI NKYA!!!!!! KINA KIPINDI WAZEE WALIJARIBU KUMLETEA FIGISU FIGISU LAKINI WALIKWAMA!!!!!!!!
 

Yule alijitengeneza na akajua hawezi ondolewa , maana kashapata jina.
 
Sasa ndio umlazimishe aende likizo?yani unamlazimisha mtumishi kupumzika wakati yupo na ratiba zake,kwa nini wasingesubiri amalize hio semina wiki 2,ndio wamlazimishe likizo
Waumini mnachezeshwa kwata tu

Haya makanisa ni ujinga na utapeli tu

Hajalazimishwa. Walifanya kikao kwanza kwenye ofisi ya Msaidizi wa Askofu DMP. Wakakubaliana. Yeye ndio kajiona yupo juu kuja kuwalilia washirika na kuchochea wafausi. Yule afukuzwe moja kwa moja miasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…