Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hawa KKKT , ANGELICAN na MORAVIAN viongozi wake wanaipenda Sana Migogoroyaani kwa kimaro anahuburi mambo ya kimungu? ile ni motivation speech na anatafuta umaarufu kwa watu, sio kwa Mungu. ndio maana nasema kwanza aokoke na atafute hekima. kama wewe unaona waumini wanataka kusambaratika halafu hatoi tamko, anaacha tu wampiganie?