dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Unamfundisha nn yule anapayuka payuka tu na kuwakebehi waimba kwayaMchungaji Daniel Mgogo yupo ushirika gani aisee? Jamaa anafurahisha sana katika mafundisho yake
Ni upuuzi tu mkuu1. AKIWA siku zake itakuwaje?
2. akipata mimba alafu mshirika ndio gyno wake, yaani mshirika anapitisha mikono huko chini kuangalia kama "K" imefunguka vizuri itakuwaje?
3. Jumapili asubuhi mume wake ukute ana ugwadu na kuna kabaridi kakunjwa kisawasawa na akashindwa kuamka itakuwaje?
Ndo naulizwa kwann haguswi mastai anaguswa eliona??Anaitwa Mastai.
Hawa jamaa wanaogopeka sana.
Alikuwa Richard Hanaja.
Eliona kimaro.
Na MASTAI.
Hawa jamaa Wana uwezo mkubwa lakini wapo chini ya kanisa. Shida wanaota mapembe.
Sikio linataka kuzidi Kichwa.
Mwakasege hayupo katika mfumo wa kichungaji
Waache laana inakuja nyuma yao, Maaskofu walioacha alama ya kutukuka niTena wengine uongozi wanaupata kwa njia za kishirikina na makafala, imagine kiongozi wa hivyo atafurahia kazi anayoifanya Pastor Kimario?
Wewe ndiye umefunga mjadala.
Asante kwa taarifa nzuri
Ndo naulizwa kwann haguswi mastai anaguswa eliona??
Kama PETRO aligombana na PAULO itakuwa hawa wa kuja?Migogoro katika kanisa imeanza muda mrefu enzi za waanzilishi wa kanisa.
Kati ya wale wanafunzi wa yesu ambao ndio mwanzo wa kanisa ulianzia kwao nao walikuwa na mafarakano baina yao dhidi ya waamini .
Mwingine aliona yeye ni bora kuliko yule na yule alijiona ni bora kuliko huyo , waathirika wakubwa .
Baadhi ya taasisi za makanisa wamekua na mfumo mzuri wa kutatua migogoro yao bila waumini kuathirika, lakini taasisi nyingine athari zimekua kubwa mno na kupelekea kugawanyika kwa waamini .
Yote ya yote ni maslahi ya kidunia na wala sio maslahi ya kiimani.
Nimesikitika sana,lakini wakati mwingine ni vizuri kufuata taratibu za Kanisa na utii kwa viongozi wako ni muhimu sana.
Kama haya uliyosema yana ukweli basi huyo Pastor wenu Kimaro ni moumbavu na anatakiwa kushikidhwa adabu ila Kwa wajinga wale cheap mind wataona anaonewa gere.Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu...
Kama unayoongea ndiyo basi waumini wengi sana wataondoka KKKT.Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake
Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa
Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati karenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii,
Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazo imba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akaubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyo paswa. Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanyq kanisani siyo wa kkkt ila najua wachache sana wataelewa hili.
Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti,
Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa
Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka
Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa kujitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.
Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.
ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Aaah wapi nguvu ya Huyu Bwana inatoka juu na hakuna wa kuzuia sababu ni majira yake!Nguvu ya mamba kumayi,nje ya kkkt hana nguvu
Kusifu na kuabudu Ni Jambo jema kwani tunamsifu mungu na siyo kimaroKwa hili nakuunga mkono Sana ila hata huyu aliyeanzisha kusifu na kuabudu kwenye ibada, ashughulikiwe. Kimaro alijaa majivuno, na niliwahi kusema humu ndani nikapingwa vibaya Hadi matusi.
Huyo Mch Anna inaonekana ndo alikuwa anamchongea sana achukue hiyo nafasiKuna kipindi dayosisi haikua na katibu mkuu, kwa hiyo pastor wa kimara MASAI alipewa ukatibu mkuu kwa mda ili dayosisi ijipange kutafuta katibu mkuu
Sasa kumbe wakati Masai amewekwa pale akakuta kuna mashtaka yanayo mhusu KIMARO kumbuka masai na kimaro ni pete na kidole, ikabidi jamaa avujishe siri kwa kimaro, sasa kwa sababu friji haigandishi ya kimaro akaja kanisani akasimanga akajisahau mpaka akamtaja mchungaji Anna, hapo ndipo siri ilipofichuka na kuonekana kuna kitu hakipo sawa kanisani
Na baada ya ibada ile nahisi wakubwa waliona jamaa amevuka mipaka sasa wakaamua wamle kichwa, alipokua anaelekea alikua anataka kujiona Mungu.
Ume hitimisha vizuri sana hapo mwishoni.Migogoro katika kanisa imeanza muda mrefu enzi za waanzilishi wa kanisa.
Kati ya wale wanafunzi wa yesu ambao ndio mwanzo wa kanisa ulianzia kwao nao walikuwa na mafarakano baina yao dhidi ya waamini...
Ugomvi wa Rostam na Sitta pale KKKT Kinondoni ulitoa somo kubwa sana hapo LutheranWeka nyama ikawaje sasa
Kwa hili nakuunga mkono Sana ila hata huyu aliyeanzisha kusifu na kuabudu kwenye ibada, ashughulikiwe. Kimaro alijaa majivuno, na niliwahi kusema humu ndani nikapingwa vibaya Hadi matusi.