Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa..
Nanyi mnamatatizo sana, mlichosahau tu ni kuwa yeye pia ni Binadamu anaweza kuwa na mapungufu yake lakini anakpawa cha ufundishaji na kanisa limestawi.

Hayo mapungufu uliyoyaongea ni madogo sana sio sawa kumsimamisha kazi ya uchungaji
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake
Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa
Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati karenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii,

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazo imba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akaubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyo paswa. Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanyq kanisani siyo wa kkkt ila najua wachache sana wataelewa hili.
Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti,
Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka
Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa kujitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Na hao wachungaji wawili ndio wanaojaza wahumini kkkt angalau kunaonekana kuna waumini maana wanajua kuenenda na mahitaji ya sasa ya waumini nyie endeleeni kuwakera waumini tu.
 
We jamaa mbona unaonekana kilaza sana???????

KKKT IMEKUWA na wachungaji wa kike tangu na Tangu.
Hao wachungaji wa Kike huwa wananyanyaswa sana na maaskofu wao.

Mwenye kumfahamu mchungaji ambaye mwanamke ambaye ni askofu au mkuu wa Jimbo aweke jina lake hapa.

Issue ya jinsia Huku KKKT ni tatizo kubwa
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake
Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa
Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati karenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii,

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazo imba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akaubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyo paswa. Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanyq kanisani siyo wa kkkt ila najua wachache sana wataelewa hili.
Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti,
Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka
Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa kujitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Huyu mastah mmeshamshindwa na hamtomuweza,tatzo lenu hampend ukweli kuna video moja nlimuona kimaro akiwasifia mapadre wa kikatoliki nadhani hii pia imewauma,
 
Huo usharika una mapato makubwa,pesa ndio tatizo,Huyu mchungaji,umaarufu umezidi kuzidi wakubwa wake,amengaa sana kuliko viongozi wa kanisa,Tatizo la Lutheran,ukiwa kwenye usharika wenye pesa ndefu,na wewe unanufaika zaidi,Gari,nyumba,miradi,kandarasi.
Mchungaji kwenye usharika mdogo,aina ya gari na nyumba itategemea mapato ya usharika,kama ni madogo,atanunuliwa hata bodaboda,ukiwa kwenye usharika wenye pesa,hapo V8,Prado,nk,
Kingine KKKT Kuna ukabila sana,mchungaji akiwa mchaga,kandarasi zote zitaenda kwa wachaga,wahaya,nk.
Bill kuwasahau wanyakyusa ,anayeliongoza kanisa Ni malasusa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba si mtii si kweli, hata kusimamishwa ametii hadharani na ame address viongozi wake kwa heshima zote. Hapo naona umetoa allegations nyingi za uongo ingawa mimi si muumini wa Lutheran!

Kusema hafati ratiba ya Kanisa si kweli, sema huwa anakuwa na ratiba za ibada ya huduma yake nje ya litrujia ya kawaida mfano mafungo maalum.

Huyu mchungaji ana kundi kubwa la watu ambao hata si walutheri, hiyo pekee ni huduma na Kanisa lingepaswa kumsaidia kumlea ili aweze kuhudumia hao. Hata Mwakasege ambaye ni Mlutheri injili yake haina mipaka ndio maana pamoja na kutii ibada ya Kanisa lake lakini ana huduma yake.

Nafikiri Mchungaji Kimaro hajapata Askofu wa kuelewa huduma yake, wanataka awe kawaida afanye huduma kama kila mchungaji.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Nimeishia kusoma hapo si muumini wa Lutheran


Sasa unakaza shingo kwa usiyojua ili iweje
Mi nikajua unakuja na facts
 
1. AKIWA siku zake itakuwaje?

2. akipata mimba alafu mshirika ndio gyno wake, yaani mshirika anapitisha mikono huko chini kuangalia kama "K" imefunguka vizuri itakuwaje?

3. Jumapili asubuhi mume wake ukute ana ugwadu na kuna kabaridi kakunjwa kisawasawa na akashindwa kuamka itakuwaje?
Haya maswali majibu yake atajibu Mkuu wa Kanisa hilo Dr Fredrick Shoo
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara...
Napenda kufahamu pia kuhusu Rev. Daniel Mgogo kama bado yupo KKKT?

Waamini wanapaswa kuijua kweli nakumtafuta Mungu maana tumepewa akili na hekima ya kung'amua lililo jema.
 
Mmmm we mtu bila kkkt ungemjua kimaro? Tena kijitonyama
Kwan alianzia pale uchungaji? La hasha waza upya
Kkkt ni platform, yeye ana kipaji, sasa tuue kipaji kwasababu za wivu? Shetani amewazidi uwerevu?

Kwani huyo mchungaji ana hubiri Quran? Si vitabu vya kikristu? Amehubiri mambo ya kumpinga kristu? Shida yenu ni nini? Kukubalika kwake, kupendwa kwake?kipaji chake?
 
Back
Top Bottom