tehe tehe tehe uwiiiiii nimeona jina la shangazi yake mdogo mjomba wa bibi
I guess ana matokeo kama haya
kuvipata ni kazi rahisi sana, Gwajima si mtu mdogo atiiiiii ni ukizingatia humo ndani kwenyewe kuna bonge la kutoelewanaKwamba Msigwa na Getrude (wachungaji) walijidemote! Na mchungaji Jesse Jackson (US) alitaka kujidemote! Fweza nazo zinalewesha!
====
Mkuu Paskalli, naomba umuulize (Gwajima) utaratibu alioutumia kupata vyeti vya Makonda, wakati tunajua vyeti vyote vya viongozi wa serikali nakala ziliwasilishwa 'serikalini ' na original vilibaki kwa wamiliki halali wa vyeti hivyo.
Na pia kwa sababu ametumia mwavuli wa madawa ku deal na personal issues zakeNawe umerudia yaleyale ya Gwajima, umehukumu. Tafiti, yawezekana Gwajima yupo sahihi. Dunia hii ina jambo moja la ajabu ambalo wengi wetu tunapopanda kimadaraka au kupata fedha tunasahau kwamba kama tunavyowajua wengine ndivyo na wao wanavyotujua. Tulizaliwa na kulelewa huko vijijini na watu wanatujua. Yawezekana madai ya Gwajima yasiwe na mashiko kwa sasa, lakini Paschal, elimu yetu Tanzania hasa hasa kati ya miaka ya 70 na 90 ilijaa magumashi tu, na hili la kutumia majina ya wanafunzi wengine lilikuwa jambo la kawaida. Leo hii ukizungumzia mwenye jina lake halisi kwa waliosoma kipindi hicho utachekwa sana kwa sababu kuchukua majina ya wanafunzi wengine lilikuwa jambo la kawaida, kwa hivyo sishangai kuyasikia haya maana ndo ulikuwa mtindo wakati huo--kukariri madarasa kwa majina ya wanafunzi watoro, wagonjwa nk. Kwa hiyo hili la Makonda kama ni kweli mimi sishangai, na watu wa aina hii wapo wengi tu, iwe serikalini au sekta binafsi. La Makonda linakuzwa tu kwa vile kagusa madawa ya kulevya!!
Haiwezekani amuite Mkuu wa Mkoa kiumbe...ni kosa kubwa sana
Ha..haa....Paskali bhana,hatari
Msimsome juu juu bali kati ya mistari ndio utaelewa ana maana gani
Sioni sababu ya wewe kutoka jasho kuandika utetezi huu wakati mhusika mwenyewe yupo! Mh. Aajitokeze aweke documents zake chini tuanze episode nyingine.kimoja
AmenizidiSasa wewe na Gwajima yupi kamzidi mwenzie kwa unafiki na uzandiki?
Kwani yeye alisema ivo ana hoja gani tuanze hapoPinga Kwa hoja...
Hicho ndicho cha kujiuliza .......... hivi kweli huko Kolomije wakati akiitwa Daudi hakuna kijana aliyesoma na Makonda na leo ni mwanachama wa JF!!watu hawa msingizii asee kwa kuwa kamwaga ugali sasa watu wameamua kumwaga mboga.hivi kwn mnadhani hakuna watu waliosoma na makonda tangu awali.au wamekufa woote??vipi kitaani aliokuwa anaishi nao wamekufa woote??
acheni ulofa watu wanamjua vzr tuu.huwez kuwafanyia vbya watu wakakuangalia tuu.tanzania ya leo sio ya jana watu wameenda shule mpk kero
Kuna "video clip" ya Mzee Makonda na mke wake, wazazi wake RC Makonda, vipi hilo jina baba mtu nalo ni 'fake'.Hayo majina jamani mnampakazia muheshimiwa naona mazito daudi Albert bashite khaa! Mleta mada we unawezaje mtambua mtumishi wa Mungu wa kweli?