Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mimbara ni sehemu takatifu, sio jukwaa la kutolea mipasho. Gwajima kama mlezi wa kiroho alitakiwa kumwita Makonda na kuongea naye kama alihisi alimkosea na sio kutumia mimbara kumkamshifu kondoo wake.
Jmabo jingine kwa kweli wafuasi/waumini wake waliokuwa wakishangilia inabidi wapimwe akili. Yaani utadhani sio kanisa bali ni kijiwe flani hivi.
Mambo kama haya yanawafanya watu makini kuendelea kumtilia mashaka na utumishi wake kila leo. Na uhakika kabisa kuwa hatutaacha kusikia mengine kumhusu yeye. He doe not behave like a Man of God.
Jmabo jingine kwa kweli wafuasi/waumini wake waliokuwa wakishangilia inabidi wapimwe akili. Yaani utadhani sio kanisa bali ni kijiwe flani hivi.
Mambo kama haya yanawafanya watu makini kuendelea kumtilia mashaka na utumishi wake kila leo. Na uhakika kabisa kuwa hatutaacha kusikia mengine kumhusu yeye. He doe not behave like a Man of God.