Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Zamani enzi za mkoloni tukimaliza shule tulikuwa tunapewa leaving certificate,
sasa si hicho nacho ni cheti,au siku hizi hamna leaving certificate?,
mi kinachonitia shaka huyu makonda atakuaje Daud Bashije wakati bashije sidhani kama ni jina la kisukuma?,
hapa kuna watu wataumbuka wakifanya mchezo,kama makonda ni DAUD ALBERT BASHIJE na alichukua cheti cha PAUL CHRISTIAN,then jina makonda lilitoka wapi?,
babake na huyu mkuu wa mkoa anaitwa ALBERT BASHIJE au anaitwa MAKONDA?,
So mimi kuamini hii hekaya mpaka nilipate jina la babake na huyu mkuu wa mkoa,vinginevyo hapa kuna usanii
sasa si hicho nacho ni cheti,au siku hizi hamna leaving certificate?,
mi kinachonitia shaka huyu makonda atakuaje Daud Bashije wakati bashije sidhani kama ni jina la kisukuma?,
hapa kuna watu wataumbuka wakifanya mchezo,kama makonda ni DAUD ALBERT BASHIJE na alichukua cheti cha PAUL CHRISTIAN,then jina makonda lilitoka wapi?,
babake na huyu mkuu wa mkoa anaitwa ALBERT BASHIJE au anaitwa MAKONDA?,
So mimi kuamini hii hekaya mpaka nilipate jina la babake na huyu mkuu wa mkoa,vinginevyo hapa kuna usanii