Vundu emrarie mughothi ngwa Pengo?!!! hahahahah Gwajima hai hai hai hai tehe tehe tehe ahahahahahahahahahahaha nampenda and im falling in love with him sijui ntampataje View attachment 477339
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vundu emrarie mughothi ngwa Pengo?!!! hahahahah Gwajima hai hai hai hai tehe tehe tehe ahahahahahahahahahahaha nampenda and im falling in love with him sijui ntampataje View attachment 477339
Vundu emrarie mughothi ngwa Pengo?!!! hahahahah Gwajima hai hai hai hai tehe tehe tehe ahahahahahahahaha[/QUOTE
]
Nakumbuka hata alipo mvua nguo hadharani, aliekua rafiki wake wa karibu Dr Slaa.Mie tokea nilisikiliza ile clip ya kumtukana Askofu Pengo, mmmmmh!
kweli ni mtoto aliyezaliwa kutoka katika kiuno cha mwanamme!! sina hamu naye
Ukweli unauma Ila hakuna namnaGwajima siyo mchungaji wala askofu bali ni MJASIRIA DINI TU.
mi naanza wiki ijayo kwenda huko kwa gwajimaMe huwa najiuliza,hawa waumini wa kanisa la gwajima huwa ni binadamu wa kawaida au misukule!
hahahahahNakumbuka hata alipo mvua nguo hadharani, aliekua rafiki wake wa karibu Dr Slaa.
Ama hakika Gwajima sio mtu wa kumuamini hata kidogo, maana hachelewe kujifanya rafiki na kumbe anajisogeza ili apate undani wa mtu
Hata alivyomtesa Mbasha kwa my wife wake FlorahNakumbuka hata alipo mvua nguo hadharani, aliekua rafiki wake wa karibu Dr Slaa.
Ama hakika Gwajima sio mtu wa kumuamini hata kidogo, maana hachelewe kujifanya rafiki na kumbe anajisogeza ili apate undani wa mtu
Naona vichwa vyao bendera fwata upepo tuuMe huwa najiuliza,hawa waumini wa kanisa la gwajima huwa ni binadamu wa kawaida au misukule!
Kumbe ukiwa na urafiki na Gwajima usimueleze hadi ya chumbani kwako! hahahahahahahhahahahah
hahah gwajima ni muhuni mmoja hivi mwehu nampendaKumbe ukiwa na urafiki na Gwajima usimueleze hadi ya chumbani kwako! hahahahahahah
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza kujichunguza. kuchukua muda mrefu kujichunguza wewe kwanza kabla hujaanza kumchunguza yeye na kuangalia udhaifu wake.
Tumemuona mara kadhaa Gwajima akisimama kuzungumza anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Tumwona akimsema Laiyekuwa Rais wa Awamu iliyopita, tulimwona akisema Serikali iyopita kwa Ujasiri na kupelekea kupata matatizo kadhaa. Hakuishia hapo tu. aliwasema hata Viongozi wengine ambao aliamini walikengeuka kwa sababu moja au nyingine pasipo hofu kuwa nao wana jamii kubwa na yenye nguvu nyuma yao. Miaka ya nyuma alikuwepo Mchungaji Mtikila. huyu alikuwa na Roho hii pia miaka hiyo. alizungumza alichoamini pasipo kujali jamii kubwa inayomzunguka ina aamini nini.
Kuna haja ya Kujua Mchungaji Gwajima ni nani? ametokea wapi, ameishi katika mazingira gani, anaamini nini, ana elimu gani na kwa nini anajiamini.
tukifaham historia ya gwajima tutajiuliza ni kwa nini alitajwa kwenye uhusika wa kuuza au kujihusisha na madawa ya kulevya? alijiamini nini kusema kuwa akipimwa hata akikutwa ana kemikali za sigara/tumbaku au pombe iitwe ni madawa ya kulevya? wakati wa kupimwa walikuwepo akina nani?
habari zote kuwahusu viongozi mbalimbali au data zao na ujasili alio nao anaupata wapi? watu wa namna hii huongea yale ambayo wengine hawawezi kuongea. huamini kuwa wao ni chachu katika jamii fulani kwa maana ya kuwa wana mchango mkubwa sana. Ukienda kanisani kwa Gwajiama ana waumini wasomi, wasio na elimu dunia kubwa, walio na elimu dunia kubwa,matajiri na maskini. ukiacha waumini wa kanisani kwake. kuna ambao si waumini wa imani yake ila ni watu wanaoamini msimamo wake. na msimamo wa gwajima ni msimamo wa nyundo. hii ni karba au hulka ya watu ambao wao huamini katika kugonga kila amabcho kitakuwa kimewekwa chini yao. gwajima ni nyundo.
Gwajima huwezi ku dela naye kwa vitisho. unahitaji ku deal naye kwa hekima sana na maarifa. unapomtisha yeye huongeza mapambano. huyu ni aina ya watu ambao unaweza ukadhani ni wadogo sana lakini wana ushawishi fulan katika jamii. penda usipende wapo watu wa namna hii.
Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.Mwisho nimalizie na wewe mchungaji, tulipokutana mara ya kwanza nilikuchukulia kama kaka na kama mlezi wetu wa kiroho!! Lakini umegeuka shetani mwenye pembe saba, umeparaganyisha familia yangu, umeleta maumivu makali kwenye ukoo!! Nakuonya tena kwa mara nyingine, muache mkewangu!! Huyo ni mkewangu, nilimtolea mahali mimi mwenyewe na wazazi wake waliniamini na kunikabidhi!!! Nasema niachie mkewangu!! Wewe ni nyoka, imefika time watanzania wakujue ukweli wako wewe mbwa mwitu mkali uliyevaa ngozi ya kondoo!!! Umedanganya watu vya kutosha na umefarakanisha ndoa nyingi sana kwa sababu ya kiburi cha pesa zako chafu za sembe!! Umeudhalilisha ulokole kiasi cha kutosha imefika time tuwaeleze watanzania ukweli na wakufahamu kuwa wewe ni nyoka!!
Sitakubali kuona ukiendelea kuitesa familia yangu, nitapambana na nitakushinda!!! Siogopi fedha zako wala connection ulizonazo, ni bora nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti! Nitapambana na wewe mpaka mwisho ili historia isomeke vizuri ili hata wanangu wakiwa wakubwa wajue kuwa baba yao sikuwa lofa kiasi cha kupiga magoti na kuelekeza shingo kibla kuruhusu mdhalimu kama wewe uichinje familia yangu, bali licha ya umasikini wangu nilisimama kiume na kupigana kutetea familia yangu!!!
Narudia tena mchungaji, nitapambana na nitakushinda.."
- The bold
hahah gwajima ni muhuni mmoja hivi mwehu nampenda
.kumbe wewe ni kehahaha nampenda and im falling in love with him sijui ntampataje View attachment 477339
hahahaha si shogarhaaaa..
.kumbe wewe ni ke