Mchungaji Hananja: Wachungaji KKKT wakihoji vitendo vya viongozi kuuza Mali za kanisa, wanafukuzwa, asema na yeye alisimamishwa mwaka mmoja

Mchungaji Hananja: Wachungaji KKKT wakihoji vitendo vya viongozi kuuza Mali za kanisa, wanafukuzwa, asema na yeye alisimamishwa mwaka mmoja

Mchungaji Hananja akihojiwa na Bongo5 (ingia YouTube, kaongea nusu saa nzima) ameeleza uonevu mkubwa wanaofanyiwa na viongozi wakuu wa kanisa, na anasema yeye aliandikiwa barua na kiongozi mkuu wa kanisa kumsimamisha kazi bila mshahara kwa mwaka mzima, bila sababu yoyote ile.

Shida yako unaleta uongo na siasa. Unamtumia mchungaji Hananja kuongea uongo. Taja jengo moja la mamilioni ya fedha alilojenga Kimaro.
 
Kuna sehemu nimesema shoo na malasusa ni matahira wanaotembea

Shoo kaingiaje hapa?. KKKT inajiongoza kidayosisi. Dayosisi ndio ina mamlaka yote. Halafu taahira unamjua au unajisemea. Viongozi waogope kufanya maamuzi kisa matusi yako. Wewe baking kutukana maana ndio hadhi yako.
 
Mchungaji Hananja akihojiwa na Bongo5 (ingia YouTube, kaongea nusu saa nzima) ameeleza uonevu mkubwa wanaofanyiwa na viongozi wakuu wa kanisa, na anasema yeye aliandikiwa barua na kiongozi mkuu wa kanisa kumsimamisha kazi bila mshahara kwa mwaka mzima, bila sababu yoyote ile.

Hananja anasema alikataa barua ya kiongozi mkuu wa kanisa kwa kuwa si muajiri wake,

Hananja ameeleza kwamba kanisa linapitia maumivu makubwa kwa sababu ya unyanyasaji na roho mbaya sana, na visasi walivyonavyo viongozi wakuu wa kanisa Hilo.

Hananja ameeleza kwamba viongozi wakuu wako katika wimbi kubwa la kuuza viwanja vya kanisa, na wachungaji wanapohoji, wanafukuzwa na kunyanyaswa sana.

Kuna taarifa kwamba mchungaji Kimaro, kupitia Utumishi wake, kijitonyama imenunua viwanja vya mamia ya mamilioni, na kujenga majengo ya thamani kubwa, na kuna hisia kwamba wakuu wa kanisa wanataka kuviuza waweke Hela mfukoni.

Kanisa pia lilikuwa na hotel huko matema beach, hotel ambayo viongozi wakuu wa kanisa waliweka dhamana ili kupata mkopo wa mabilioni wa kujenga chuo kikuu, mkopo ulitolewa na fedha yote ikabebwa na wakuu wakanisa, benki walivyoanza kudai deni, wakuu wa kanisa harakaharaka wakatafuta mteja waiuze kwa bei ya kutupa. Mwaikali alipokataa hoteli isiuzwe, alitengenezewa zengwe na kufukuzwa kama mbwa, yaani askofu anafukuzwa kama mbwa na kulazwa rumande!

Pia yamekuwepo malalamiko kwamba shule za kanisa zinadorora, ada na fedha za wafadhili zimefanya wakuu wa kanisa wawe mabilionea wakiogelea kwenye fahari kuu. Na hata hospitali ya seliani Sasa ni mlango wa kuzimu, kwa kuwa haina huduma nzuri, na ukipelekwa pale, ni sawa na kusaini hati ya kifo

Wewe tapeli maneno ni yako halafu unadanganya ya Hananja.
 
Mazito gani? Zaidi ya kulalamika kwamba alisimamishwa mwaka mzima. Ukumbuke kwa Sasa Hananja sio MKKKT anaweza kuongea lolote ilimradi alichafue kanisa.
KKKT Sasa ni nyumba ya shetani
 
Ili la Kimaro timing imekosewa.Wataumbuka Sana.
Hakuna mtu anaweza kuliumbua kanisa, hii ya Kimaro imekwisha na acheni kujifariji.

Mwaikali na kundi lake walidhani wana watu na wakadhani wakihama watahama na waumini wote wa Dayosisi ya Konde, kiko wapi leo?

Kimaro ametii mamlaka yake na kiapo chake, acheni kelele. Hata kama akiamua kwenda na kuanzisha huduma binafsi, atakwenda na ataliacha kanisa.

Mungu hawezi kukubali kanisa liumbuke kama mnavyodhani, umaarufu si kitu mbele za Mungu.
 
Mchungaji Hananja alinyimwa mshahara mwaka mzima, imagine, wanaomnyima mshahara ndio wanahubiri amani na upendo, kusamehe mara sabini.

Bila shaka kikombe hiki atakipitia mchungaji Kimaro mbele ya hawa watu wasio na huruma.

Mwenye connection na Dk. Kimaro amuulize atupe namba tumchangie wakati huu ambao viongozi wake wa kanisa wamejiapiza kumtesa yeye na familia yake.
 
Mchungaji Hananja akihojiwa na Bongo5 (ingia YouTube, kaongea nusu saa nzima) ameeleza uonevu mkubwa wanaofanyiwa na viongozi wakuu wa kanisa, na anasema yeye aliandikiwa barua na kiongozi mkuu wa kanisa kumsimamisha kazi bila mshahara kwa mwaka mzima, bila sababu yoyote ile.

Hananja anasema alikataa barua ya kiongozi mkuu wa kanisa kwa kuwa si muajiri wake,

Hananja ameeleza kwamba kanisa linapitia maumivu makubwa kwa sababu ya unyanyasaji na roho mbaya sana, na visasi walivyonavyo viongozi wakuu wa kanisa Hilo.

Hananja ameeleza kwamba viongozi wakuu wako katika wimbi kubwa la kuuza viwanja vya kanisa, na wachungaji wanapohoji, wanafukuzwa na kunyanyaswa sana.

Kuna taarifa kwamba mchungaji Kimaro, kupitia Utumishi wake, kijitonyama imenunua viwanja vya mamia ya mamilioni, na kujenga majengo ya thamani kubwa, na kuna hisia kwamba wakuu wa kanisa wanataka kuviuza waweke Hela mfukoni.

Kanisa pia lilikuwa na hotel huko matema beach, hotel ambayo viongozi wakuu wa kanisa waliweka dhamana ili kupata mkopo wa mabilioni wa kujenga chuo kikuu, mkopo ulitolewa na fedha yote ikabebwa na wakuu wakanisa, benki walivyoanza kudai deni, wakuu wa kanisa harakaharaka wakatafuta mteja waiuze kwa bei ya kutupa. Mwaikali alipokataa hoteli isiuzwe, alitengenezewa zengwe na kufukuzwa kama mbwa, yaani askofu anafukuzwa kama mbwa na kulazwa rumande!

Pia yamekuwepo malalamiko kwamba shule za kanisa zinadorora, ada na fedha za wafadhili zimefanya wakuu wa kanisa wawe mabilionea wakiogelea kwenye fahari kuu. Na hata hospitali ya seliani Sasa ni mlango wa kuzimu, kwa kuwa haina huduma nzuri, na ukipelekwa pale, ni sawa na kusaini hati ya kifo
Mshana Jr
 
Hakuna mtu anaweza kuliumbua kanisa, hii ya Kimaro imekwisha na acheni kujifariji.

Mwaikali na kundi lake walidhani wana watu na wakadhani wakihama watahama na waumini wote wa Dayosisi ya Konde, kiko wapi leo?

Kimaro ametii mamlaka yake na kiapo chake, acheni kelele. Hata kama akiamua kwenda na kuanzisha huduma binafsi, atakwenda na ataliacha kanisa.

Mungu hawezi kukubali kanisa liumbuke kama mnavyodhani, umaarufu si kitu mbele za Mungu.
Kanisa au Saccos ya akina Malasusa?
 
Mchungaji Hananja akihojiwa na Bongo5 (ingia YouTube, kaongea nusu saa nzima) ameeleza uonevu mkubwa wanaofanyiwa na viongozi wakuu wa kanisa, na anasema yeye aliandikiwa barua na kiongozi mkuu wa kanisa kumsimamisha kazi bila mshahara kwa mwaka mzima, bila sababu yoyote ile.

Hananja anasema alikataa barua ya kiongozi mkuu wa kanisa kwa kuwa si muajiri wake,

Hananja ameeleza kwamba kanisa linapitia maumivu makubwa kwa sababu ya unyanyasaji na roho mbaya sana, na visasi walivyonavyo viongozi wakuu wa kanisa Hilo.

Hananja ameeleza kwamba viongozi wakuu wako katika wimbi kubwa la kuuza viwanja vya kanisa, na wachungaji wanapohoji, wanafukuzwa na kunyanyaswa sana.

Kuna taarifa kwamba mchungaji Kimaro, kupitia Utumishi wake, kijitonyama imenunua viwanja vya mamia ya mamilioni, na kujenga majengo ya thamani kubwa, na kuna hisia kwamba wakuu wa kanisa wanataka kuviuza waweke Hela mfukoni.

Kanisa pia lilikuwa na hotel huko matema beach, hotel ambayo viongozi wakuu wa kanisa waliweka dhamana ili kupata mkopo wa mabilioni wa kujenga chuo kikuu, mkopo ulitolewa na fedha yote ikabebwa na wakuu wakanisa, benki walivyoanza kudai deni, wakuu wa kanisa harakaharaka wakatafuta mteja waiuze kwa bei ya kutupa. Mwaikali alipokataa hoteli isiuzwe, alitengenezewa zengwe na kufukuzwa kama mbwa, yaani askofu anafukuzwa kama mbwa na kulazwa rumande!

Pia yamekuwepo malalamiko kwamba shule za kanisa zinadorora, ada na fedha za wafadhili zimefanya wakuu wa kanisa wawe mabilionea wakiogelea kwenye fahari kuu. Na hata hospitali ya seliani Sasa ni mlango wa kuzimu, kwa kuwa haina huduma nzuri, na ukipelekwa pale, ni sawa na kusaini hati ya kifo
Acha uchochezi.
 
Back
Top Bottom