Mchungaji Kimaro amelewa urafiki wake na matajiri

Mchungaji Kimaro amelewa urafiki wake na matajiri

Bila maskini matajiri hawawezi kuwepo.

Kila mtu ana umuhimu wake.

Unaweza kuwa tajiri lakini Kuna vitu kamwe huwezi Fanya akavifanya maskini.

Mungu haangalii mali anaangalia moyo.

Unaweza toa milioni 200 wanadamu wakakusifu ila mwingine akatia mia Tano yake Mungu akaiona na kuipokea kuliko yale makaratasi ya milioni 200.v
 
Wasalaam JF,

Hekima na busara ni speed governor ya kuzuia kuropoka na kufoka, dhana ya matajiri na maskini ndani ya kanisa si yenye afya, kanisa ni pahala jumuishi, uchakataji wa jumbe za injili unahitaji maandalizi , busara, hekima na ukomavu katika madhabahu.

Yawezekana KKKT imemfanya Mch. Kimaro awe tajiri na ana enjoy raha na utamu wa kuwa sehemu ya kundi la watu matajiri.

Ni kwa neema ndio watu hupata vyote na vyote havigawiki.

Diversity is strength especially in a well coordinated way of thinking and looking at issues squarely.

How do you reach out the message may be so catastrophic.

Nyakati muhimu katika kuishi Imani maarifa yake Mungu ndani yetu yawe nguzo ya vinywa vyetu nyakati za uwakilisho na uwasilisho.

Wadiz
Bila shaka wewe ni maskini sisi matajiri kwetu raha tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Waislam ni matajiri sana lakini huwezi kusikia mahubiri ya kibaguzi kabisa.

Kuna watu wanaufanya ukristo uwe dini ya hovyo sana wakati haiko hivyo.Ndio maana utakuta watoto wa kike wa Kikristo akiwa mzuri ni bora adange kwa matajiri kuliko kuolewa na mume aliye na kipato cha kawaida.
Arusi zetu zimejaa matumizi makubwa ya anasa yasiyo ya lazima na hawa hawa wachungaji ndio wanayapenda.

Naamini wachungaji wengi ni wafuasi waaminifu wa illuminat na wanajitahidi kuhamasisha vijana wapende pesa hata kama ikibidi kuua.Maana hawa hawa illuminat wameweka mifumo migumu katika tawala nyingi ili kupata utajiri iwe ni lazima kukiuka utu na ubinadamu kwanza.
Wao wanasema uoga wako ndio umaskini wako.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Umeandika ukweli mtupu maana imani haina tajiri wala maskini . Huwezi kuta hii kwa waislamu na ndiyo maana hata ukiingia msikitini uwe maskini au tajiri mnachanganyikana huwezi kuta eti mtoa sadaka kubwa mbele mtoa sadaka ndogo nyuma. Hii nayo haijakaa sawa.
 
Unajua nini mkuu vitu vizuri vina changamoto sana , hebu fikiri :

1. Mdada mzuri anapopata changamoto ya kutongozwa kila wakati na vishawishi kibao vya kuvutia

2.Mkaka HB kutwa kutongozwa na majimama na vidada

3.Mwana siasa MA billions yanavyopita Mbele yake

4.Watu wenye nafasi kama wachungaji na mashekhe kila muhumini anataka awe karibu naye na sadaka na asante za kutosha


TUNAPO ONA WATU WANAFANYA VITU VISIVYO FAA , TUSIWE WEPESE KUWA JUDGE . KWA KUWA HATUJUI NINI WANAPITIA
 
Malasusa alionesha udhaifu mkubwa sana kumrudisha kimaro pale.
Sasa ndio kiburi na kejeli vitakuwa 100*
Mchungaji Hananja alikuwa sahihi kabisa Uongozi wa juu ndio dhaifu unaruhusu mchungaji ajimilikishe usharika.
Huo upuuzi RC huwezi kuupata hata kwa darubini
 
Waislam ni matajiri sana lakini huwezi kusikia mahubiri ya kibaguzi kabisa.

Kuna watu wanaufanya ukristo uwe dini ya hovyo sana wakati haiko hivyo.Ndio maana utakuta watoto wa kike wa Kikristo akiwa mzuri ni bora adange kwa matajiri kuliko kuolewa na mume aliye na kipato cha kawaida.
Arusi zetu zimejaa matumizi makubwa ya anasa yasiyo ya lazima na hawa hawa wachungaji ndio wanayapenda.

Naamini wachungaji wengi ni wafuasi waaminifu wa illuminat na wanajitahidi kuhamasisha vijana wapende pesa hata kama ikibidi kuua.Maana hawa hawa illuminat wameweka mifumo migumu katika tawala nyingi ili kupata utajiri iwe ni lazima kukiuka utu na ubinadamu kwanza.
Wao wanasema uoga wako ndio umaskini wako.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hawataki KUELEWA kuwa Kanisa limempokea shetani mapema sana kabla ya Kristo kuja.

Ni uhakika kabisa kuwa Kimaro angekuwepi enzi za Pilato na Serikali ya Kirumi asingekua mfuasi wa Yesu .

Ukitaka kumjua mfuasi na mtumishi wa Kristo ni lazima ujiukize kuwa je, angekuwepi wakati wa Kristo angemfuata au hata kumsikiliza?

Yesu alikua ni mwanaharakati aliyeponga na kuikosoa sana serikali ya Kikoloni pamoja na unafiki wa Viongozi wa dini ya Kiyahudi. Mtu yeyote Aliyekua anapenda anasa za Dunia na maisha ya kifahari kamwe asingeweza kumfuata Mwanaharakati kama huyo mana alikua anahatarisha maisha yake mbele ya Serikali ya Kirumi na Wakuu wa dini.

Msaka Utajiri siku zote anakwenda na upepo wa watawala.
Nakumbuka Kimaro wakati wa Bomoa Bomoa ya Kimara na kibamba hakuwa hata siku Moja kuikosoa serikali au hata kuishauri njia Gani ingetumika zaidi alikua akiisifia serikali ya Awamu ya Tano Kwa kila jambo.

Hivi Dr. Kimaro anaweza kutuonyesha matajiri hata mia moja TU kwenye kanisa lake ?
Mana Tajiri ni mtu aliye na watumishi au watumwa wengi wanaofanya kazi zake na yeye Hana wa kumsimamia juu yake.

Dunia hii ina matajiri WASIOZUDI 20 % wengine wote ni wahangaikaji wa kupangiwa kazi za kufanya.

Hata Kakobe sio Tajiri mana asipoingia Kanisani mwezi mmoja kanisa linakufa na wanaompa pesa ni watu wa kawaida mana matajiri ni wachache.

KKKT ilikua na matajiri kule Arusha na Moshi ,akina Mengi na watu walimpenda , akina Ndesamburo na watu walimpenda na wengineo ambao pia watu waliwapenda sana mana walikua ni wafanyabiashara bila kuhujumu fedha za umma kupitia ajira za umma.
Hao matajiri wanaochukiwa ni wale wanaotumia ofisi za umma kuwa kama Mali zao. Unafika ofisi ya Mkurugenzi una shida unadai pesa zako za kazi halali uliyoifanya halafu wanakutizama kama kebichi lililooza . Halafu pesa walizotakiwa wakulipe wamezikwapua na kwenda kujenga nyumba zao za kupangisha au hoteli baadae wanatoa michango kanisani Kwa sifa kubwa. Yule aliyedhulumiwa alichukia anaonekana ana chuki na matajiri. Hawa sio matajiri ni wezi. Hakuna mtu hata mbwa anayependa mwizi.

Tajiri hawezi kuwa mtumwa mana mfanyakazi wa kuajiriwa ni mtumwa akiyepewa Jina zuri la mfanyakazi. Sasa mtumwa anatumia Mali za bosi kuhujumu wengine halafu ategemee kupendwa wakati Mali anazochezea ni za wote lakini amepewa TU uangalizi.

Tumesikia Polisi wameiba mpaka RAMBIRAMBI na kukwapua pesa za Polisi wanaoumia kazini huku wakiwa wamelipa pesa kidogo kuliko kiwango kilichoanishwa na SHERIA. Sasa hapa watu Huko mitaani wanaonekana ni matajiri na wanakesha kwenye baa na Wanawake kila Kona ,Jumapili wapo inadani Kwa Kimaro wanatoa shukrani ya kukamilisha wizi wao bila kukamatwa halafu waliodhulimiwa Mali zao wasiwachukie .

Pumbavu sana shetani ,
 
Wasalaam JF,

Hekima na busara ni speed governor ya kuzuia kuropoka na kufoka, dhana ya matajiri na maskini ndani ya kanisa si yenye afya, kanisa ni pahala jumuishi, uchakataji wa jumbe za injili unahitaji maandalizi , busara, hekima na ukomavu katika madhabahu.

Yawezekana KKKT imemfanya Mch. Kimaro awe tajiri na ana enjoy raha na utamu wa kuwa sehemu ya kundi la watu matajiri.

Ni kwa neema ndio watu hupata vyote na vyote havigawiki.

Diversity is strength especially in a well coordinated way of thinking and looking at issues squarely.

How do you reach out the message may be so catastrophic.

Nyakati muhimu katika kuishi Imani maarifa yake Mungu ndani yetu yawe nguzo ya vinywa vyetu nyakati za uwakilisho na uwasilisho.

Wadiz
Ameongea kweli

Ukubali ukatae huo ni uamuzi wako
 
Elimu itolewe watu tuelewe. Kuwa tajiri sio dhambi. Kwa nini walala hoi tunakuwa na chuki na matajiri? Wao sio walio wanaosababisha tuwe na mafukara hivyo kuwa wenye chuki dhidi yao. Ni uvivu wetu umetufikisha hapa. Tuige mbinu gani halali wametumia kuupata utajiri nasi tuwe matajiri kama Wao.
Tunasahau kuwa matajiri ndio wanaotufanya kuonekana watu na maisha haya ya masikini jeuri. Tunavaa tunapendeza kwa viwanda vya nguo zao. Tunatumia simu za viwanda vyao kuingia jf . Tunatumia ndege na magari ya viwanda vyao kutanulia mjini. Maskini mimi hata vijiti vya kuchokonolea meno sijawahi kutengeneza. Naanzia wapi mkulima wa msata kumchukia tajiri.?
Ameongea facts
 
Elimu itolewe watu tuelewe. Kuwa tajiri sio dhambi. Kwa nini walala hoi tunakuwa na chuki na matajiri? Wao sio walio wanaosababisha tuwe na mafukara hivyo kuwa wenye chuki dhidi yao. Ni uvivu wetu umetufikisha hapa. Tuige mbinu gani halali wametumia kuupata utajiri nasi tuwe matajiri kama Wao.
Tunasahau kuwa matajiri ndio wanaotufanya kuonekana watu na maisha haya ya masikini jeuri. Tunavaa tunapendeza kwa viwanda vya nguo zao. Tunatumia simu za viwanda vyao kuingia jf . Tunatumia ndege na magari ya viwanda vyao kutanulia mjini. Maskini mimi hata vijiti vya kuchokonolea meno sijawahi kutengeneza. Naanzia wapi mkulima wa msata kumchukia tajiri.?
Hata Japani Bado matajiri hawazidi 20 wengine wote ni watumwa wao.

Hivi Kuna mtu alikua anamchukia Mengi ambaye alikua ni mluteri kindakindaki. Au nani Aliyekua anamchukia Marehemu NDESAMBURO . Au nani anamchukia Bahressa au Mo. ?

Nenda marangu kule Kwa kina Dar Express utaona waluteri matajiri waliojenga makanisa Kwa nguvu za matajiri wachache na kukamilisha kila kitu.

Tajiri ni mfanya biashara mkubwa aliyeajiri watu wengi na yeye hua Hana mtu juu yake wa kumsimamia
Sio mtu anadamkia kabiashara ka duka kila siku na akiugua au akisafiri TU wiki kanakufa naye anaitwa Tajiri Kwa sababu . Au mhasibu wa Wizara naye anaitwa Tajiri Kwa sababu kuna madili wanaocheza nayo kwenye pesa za umma . Lakini akifukuzwa kazi mwaka mmoja anachakaa.

Kiufupi ni kwamba Makanisani wengi wanoutwa matajiri ni watu wa kawaida mana wameajiriwa na kama sio wengi kujihusisha na ufisadi wangekua na maisha ya kawaida na pia umaskini ungepungua.
Pakiwa na wezi wa Mali za umma umaskini unaongezeka mana biashara ndogo zinakua ngumu na Kodi inakuwa kubwa.

Nenda kule Halmashauri Kuna walimu wanadai malimbikizo yao miaka nenda Rudi Tena Hela kidogo TU mil. 2 au tatu . Lakini Kuna mtu pale anazikwapua na kwenda kujenga nyumba yake ya kupangisha na jioni amekaa kwenye baa anamwagilia moyo bila kufanya biashara yoyote na kulipa kodi. Hajui kitu faida na hasara. Yule anayedai anahangaika na Mikopo ya saccos ambapo anaweka mpaka Kadi ya Benki . Anajua kabisa Hawezi kupewa madai yake mpaka awe anajulikana au atoe rushwa. Pesa anayodai anaitolea tena rushwa na wanaopokea rushwa Wanakwenda kutoa sadaka Kwa Kimaro na KUONEKANA niatajiri na SUTI za maana .

Pumbavu sana shetani.
 
Hata Japani Bado matajiri hawazidi 20 wengine wote ni watumwa wao.

Hivi Kuna mtu alikua anamchukia Mengi ambaye alikua ni mluteri kindakindaki. Au nani Aliyekua anamchukia Marehemu NDESAMBURO . Au nani anamchukia Bahressa au Mo. ?

Nenda marangu kule Kwa kina Dar Express utaona waluteri matajiri waliojenga makanisa Kwa nguvu za matajiri wachache na kukamilisha kila kitu.

Tajiri ni mfanya biashara mkubwa aliyeajiri watu wengi na yeye hua Hana mtu juu yake wa kumsimamia
Sio mtu anadamkia kabiashara ka duka kila siku na akiugua au akisafiri TU wiki kanakufa naye anaitwa Tajiri Kwa sababu . Au mhasibu wa Wizara naye anaitwa Tajiri Kwa sababu kuna madili wanaocheza nayo kwenye pesa za umma . Lakini akifukuzwa kazi mwaka mmoja anachakaa.

Kiufupi ni kwamba Makanisani wengi wanoutwa matajiri ni watu wa kawaida mana wameajiriwa na kama sio wengi kujihusisha na ufisadi wangekua na maisha ya kawaida na pia umaskini ungepungua.
Pakiwa na wezi wa Mali za umma umaskini unaongezeka mana biashara ndogo zinakua ngumu na Kodi inakuwa kubwa.

Nenda kule Halmashauri Kuna walimu wanadai malimbikizo yao miaka nenda Rudi Tena Hela kidogo TU mil. 2 au tatu . Lakini Kuna mtu pale anazikwapua na kwenda kujenga nyumba yake ya kupangisha na jioni amekaa kwenye baa anamwagilia moyo bila kufanya biashara yoyote na kulipa kodi. Hajui kitu faida na hasara. Yule anayedai anahangaika na Mikopo ya saccos ambapo anaweka mpaka Kadi ya Benki . Anajua kabisa Hawezi kupewa madai yake mpaka awe anajulikana au atoe rushwa. Pesa anayodai anaitolea tena rushwa na wanaopokea rushwa Wanakwenda kutoa sadaka Kwa Kimaro na KUONEKANA niatajiri na SUTI za maana .

Pumbavu sana shetani.
Pole mkuu
 
Huyo mngempeleka Tandahimba uko, muone kama ataendeleza hizo mbwembwe zake.... KKT mnafeli wapi?
Kuna wachungaji kama yeye wanafanya kazi kubwa sana Huko vijijini lakini Wana maisha magumu sana.

Au yeye na Mlinzi wa Kanisa anayefanya kazi ngumu ni nani?

Kwa ni hawezi kumshukuri Mungu Kwa kuwaweka wengine juu na wengine chini Kwa mapenzi yake Mwenyewe. ?
Haoni hekima ya Mungu ndiyo iliyomfanya Mlinzi wa Kanisa anayefanya kazi kubwa kuliko Kimaro halafu anadharaulika na KUONEKANA asiye na maono Wala mipango na mara nyingine anaonekana kama mtu mvivu ?
Ni nchi Gani yenye matajiri hata 40% au akifika Marekani na kuona majumba marefu kama Peponi Kwa Zumaridi ndio anajua kila mtu ni Tajiri? Hivi hajui kuwa nchi anazosema zimeendelea ndio ambazo watu ni maskini mapaka wanaona wanaume Kwa wanaume mana hawana hata uwezo wa kulea watoto mana hawawezi kusavaivu Kwa miezi mtano ya ujauzito na Mitatu ya kunyonyesha nje ya ajira. Matajiri wachache sana ndio wanaotumikisha watu kama watumwa Duniani .

Hata hivyo hakuna mtu anayewachukia matajiri kwenye Biashara zao mana wanatoa ajira.
Lakini wale wanaoiba fedha za umma Kwa kudhulumu haki za watu hakika sio TU kuchukiwa ila inatakiwa ipangwe siku maalumu ya kusoma albadiri Kwa nchi nzima kulaani wale wote wanaoiba fedha za umma na kusababisha mateso kwawengine.

Pumbavu sana shetani !
Pumbavu sana bwana wewe .
 
Wasalaam JF,

Hekima na busara ni speed governor ya kuzuia kuropoka na kufoka, dhana ya matajiri na maskini ndani ya kanisa si yenye afya, kanisa ni pahala jumuishi, uchakataji wa jumbe za injili unahitaji maandalizi , busara, hekima na ukomavu katika madhabahu.

Yawezekana KKKT imemfanya Mch. Kimaro awe tajiri na ana enjoy raha na utamu wa kuwa sehemu ya kundi la watu matajiri.

Ni kwa neema ndio watu hupata vyote na vyote havigawiki.

Diversity is strength especially in a well coordinated way of thinking and looking at issues squarely.

How do you reach out the message may be so catastrophic.

Nyakati muhimu katika kuishi Imani maarifa yake Mungu ndani yetu yawe nguzo ya vinywa vyetu nyakati za uwakilisho na uwasilisho.

Wadiz

Nyie acheni wake zenu waende kwa wachungaji ambao wanawaamini na kuwatii kuliko nyie wanaume wao
 
Tena ni vizuri Matajiri wakatengewa sehemu yao maalum ya kusalia,na hakuna kuwachanganya na Masikini,au unasemaje ndg!!??
Vibe la kanisa ni maskini mkuu.
Waimbaji wengi ni Vijana wa kawaida na mara nyingi Bado hawajapata kazi au shughuli zinazowabana.
Waombaji na waaofunga ni maskini na watu wa kawaida?
Walinzi wa Kanisa ni watu maskini .
Hata wahudumu wa ofisi ya Mchungaji ni watu wa kawaida .

Hata wainjilisti ni watu wa kawaida .
Kiufupi Kimaro amejikweza kama Lusifa na amepoteza hekima .
Shetani alikua juu kuliko Kimaro lakini kiburi kilipomwingia alinyangwanywa hekima na maarifa na kushushwa mpaka kuzimu akabaki na ujanja ujanja na Hila Kwa kuwashawishi watu kupitia Mali na Fedha.
Kimaro amekwisha anguka katika Ulimwengu wa roho.


Pumbavu sana shetani .
 
Bila maskini matajiri hawawezi kuwepo.

Kila mtu ana umuhimu wake.

Unaweza kuwa tajiri lakini Kuna vitu kamwe huwezi Fanya akavifanya maskini.

Mungu haangalii mali anaangalia moyo.

Unaweza toa milioni 200 wanadamu wakakusifu ila mwingine akatia mia Tano yake Mungu akaiona na kuipokea kuliko yale makaratasi ya milioni 200.v
Mungu hua anaangalia kile kilichobaki sio kilichotolew.

Ndio maana anasema zaka iwe ni fungu la Kumi Kwa maana kwamba mwenye kuku watano akitoa mmoja ametoa zaidi ya yule mwenye kuku Elfu Moja akatoa Kumi badala ya kuku mia moja.

Hekima ya Mungu ni kubwa sana . Kimaro ameingiwa na roho ya Lusifer ya kujikweza na kudharau hekima kubwa ya Mungu.
Yesu alikua hekima kubwa ya Mungu na jinsi Mali zinavyosababisha kiburi ,majivuno, dharau na hata kufuru Kwa wengine na kujiona kuwa wamepata uzima kupitia Mali zao badala kushukuru na kujishusha na kudhukuru Kwa neema na huruma ya Mungu.
 
Pole mkuu
Pole ni nyie makristo vipofu mnaofundishwa na walimu vipofu nawote mtaanguka shimoni . Ni maneno ya Yesu sio mimi.
Hamtaki kusoma Biblia na kuitafakari Bali mnapenda hadithi za wahubiri wanaotunga na kuzisimulia Kwa Ustadi mkubwa Kwa Lengo la kushawishi akili kama ilivyo watu wa tamthilia nyinginezo za kidunia.

Pumbavu sana Shetani .
 
Inabidi tuukatae umasikini kwa nguvu zetu zote; ulishawahi kuona wapi, mazishi ya masikini yakaongozwa na askofu?
 
Back
Top Bottom