Mchungaji Kimaro amelewa urafiki wake na matajiri

"kimaro kumfuataa Makonda"!!??
 
Mungu yupi huyo anayepokea hela? ulikutana naye wapi ukaona anavyobagua hela.Aacheni uongo bhana.Mungu yupo ila ahitaji hela yako, Mungu anataka hela ili imsaidie nini??
 
Yesu alikuja kwa ajili ya wanyonge
ambao wanyonge na maskini wakiwepo lakini utajiri sio mbaya ila usichukue nafasi kubwa ukamsahau
aliekupa .
 
Amewananga maskini na kuwapa sifa kubwa na nyingi matajiri wa kanisa lake, nadhani ndio waliompigania kwenye sakata lake la kibri, jeuri, na dharau kwa wakristo
Haikuwa dharau kwa wakristo ila aliongea ukweli tu
 

Kanisani mmezidi ubaguzi wa tajiri na maskini. Acheni ubishi. Ndio maana kimaro akamdiss petro na kumpamba tajiri.
 
Tafuta hela acha stress ndg

Akafanye ufisadi? Maana njia nyepesi ya kupata pesa ni ufisadi. Si ku hizi kanisani ni pesa tu hakuna injili. Kutukana watu wenye uwezo wa kawaida wakati nchi yetu ni maskini.
 
Inabidi tuukatae umasikini kwa nguvu zetu zote; ulishawahi kuona wapi, mazishi ya masikini yakaongozwa na askofu?
Maskini lazima wawepo tu, na ndio wengi. Nchi yenyewe maskini halafu mnataka kila mtu awe tajiri, huo ni unafiki. Kanisa linapotea kwa kasi limekuwa sehemu ya mipasho na sio kuutafuta uso wa Mungu.
 
Umasikini sio sifa wala si kitu cha kujivunia

Hakuna aliyesema ni sifa , lakini kumtukana maskini na kumuona hafai kwa umaskini wake hilo ni kosa kubwa. Nchi ya kimaskini halafu mnawadharau maskini huo ni unafiki. Tuache injili ya ubaguzi kanisani.
 
Maskini lazima wawepo tu, na ndio wengi. Nchi yenyewe maskini halafu mnataka kila mtu awe tajiri, huo ni unafiki. Kanisa linapotea kwa kasi limekuwa sehemu ya mipasho na sio kuutafuta uso wa Mungu.
Ukizifuatilia sana hizi dini utagundua, sehemu kubwa hutumika kama fursa za watu
 
Kimaro na mashabiki wake nawaona hawana maana. Wapo kanisani kama maagenti. Mtu kila siku ni kuongea maneno ya ukakasi. Mchungaji ni wa wote sio wa baadhi ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…