Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Ukiwa tajiri humlalamikii Mungu, wewe ukiomba ni unamshukuru Mungu tu.
 

Maria Magdalena alikuwa kahaba?

Historia inayozunguka Maria Magdalena ni ngumu sana na kuijibu kwa hakika, kwani kuna habari mbalimbali ambazo zimekuja kuunganishwa na kusambazwa katika kipindi cha miaka mingi. Lakini kwa ufupi, hakuna ushahidi wowote wa moja kwa moja unaothibitisha kuwa Maria Magdalena alikuwa kahaba.

Maria Magdalena anajulikana katika Biblia kama mmoja wa wanafunzi wa Yesu na mwanamke aliyetolewa pepo saba. Pia anasemekana kuwa alikuwa mmoja wa wanawake waliomsaidia Yesu wakati wa huduma yake na alikuwa pamoja naye wakati wa kusulubiwa kwake na kufufuka kwake.

Hata hivyo, baadhi ya watafiti na waandishi wa historia wanaamini kuwa taarifa hizo zilichanganywa na hadithi za wanawake wengine katika Biblia, na ndipo zikazua uvumi kwamba Maria Magdalena alikuwa kahaba.

Kwa hivyo, kwa muhtasari, hakuna uthibitisho wa moja kwa moja unaoonyesha kuwa Maria Magdalena alikuwa kahaba, na hadithi hiyo inaweza kuwa ni uvumi tu uliozushwa kwa sababu za kisiasa au dini katika kipindi cha miaka mingi iliyopita
 
Ni miongoni mwa wachungaji waliojaa kiburi&kukosa hekima katika kusema.
 
Nashukuru kwa kunikumbusha moja ya verse Bora ktk muziki wa Hip-hop ya bongo.
 
Ndio maana sisali tena. Pale.

Jamaa anapotosha mandiiko.

Petro ndio msiingi wa kanisa. Na hakua tajiri.

Hiyo ya Arimathaya ni sadaka kama nyingine tu.

Hapo kijito washarika wana pesa na wanamhudumia hivyo lazima awapaishe.
Sasa wakiwa na pesa we kinakuuma nini? Si utafute za kwako?
 
Una chuki zako na matajiri tu. Mchungaji yuko sahihi na hajapotosha popote
 
Hajui lolote huyu. Kajaa chuki tu
 
Petro alimpigania Yesu akiwa hai

Hadi alitoa Kisu akakata sikio la mtu aliyemvamia Yesu

Yusuf wa Alimataya aliheshimu Maiti ya Yesu akina Petro walimpigania Yesu akiwa hai

Hawakuwa wakila na kulala tu

Petro alitoa hadi.mtumbwi wake Yesu autumie kuhubiria alimkuta akivua sanaki

Petro akatoa mtumbwi wake akahubiria maelfu akiwa kakaa kwenye mtumbwi

Kabla Kufa hatuoni huyo Yusufu wa Akimataya alitoa nini kama kwa Yesu akiwa hai

Waheshimu maiti mbona hadi leo wako wengi tu mtu akiumwa akalazwa hawatoi chochote akifa wa kwanza kutoa michango.mikubwa na kugharimia majeneza na Usafiri watu kama hao ni wafuasi wa Yusufu wa Alimataya
 
Najua hata hujala leo ulivyo maskini. Omba msaada tu usaidiwe
Mimi wewe hunisumbui kwakua nakufahamu vyema tu.

Namna ulivyopata hiyo ajira uliyonayo kwa Sasa hapo ofisi ya mawakili jinsi ulivyoo maskini.

Yaani kama sio yule Rafiki Yako aliyepo serikalini kukutafutia ajira bado ungebakia pale mwenge kwenye ile ofisi walikua wanakulipa laki tatu kwa mwezi wakili mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…