dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Wakimkanda wanasema wanamuoneaa malasusa alikuwa sahih Sana kumpiga bitiIñjili ya huyu jamaa aisee...
Halafu eti ni rahisi ngamia [emoji247] kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
Haswaa wahuni Sana na matapeli wake za watuUkimuona mtu anaitwa Petro au Peter sio wa kumuamini.
Hawachelewi kukupiga tukio
Uko sahhi Sana Dr [emoji23]Ukiristo unaelekea mwishoni Kabisa ndo maana watu wanaingia kanisani wakiwa nusu uchi
Acha kufananisha kkkt na mabo ya teusi kwa hyo ulitaka wale walimu wauteme mshara ya milion Tisa wakapambne na kina samia na Sera mbovuKatika kitu KKKT wamefeli ni hili
Kimaro ni Mkubwa kuliko KKKT
Kimaro na Katibu wa CWT(aliegomea teuzi) hawana tofauti
Mkono mtupu haulambwi,Kanisa linaweza ajiri Kwa pesa za tajiriAmekosea... kila mtu ana umuhimu wake.
Hao anaosema ni maskini ndo huwa wanatenga mda wa kuja kudeki kanisani na kufanya usafi wa mazingira.
Apewe tena likizo ya mwaka huyu.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Ni upuuz mkubwa mno malasusa amekozea sna krwjesha mtu yule pale kijitonyama alipazwa apelekwe kisarae akawe mwalimu kwenye shule za kkkt kule au head master kbsaOgopa sana Kanisa likianza kujikita katika kutafuta pesa kuliko kusimamia misingi yake. Kupenda fedha kunavuruga misingi ya kila kitu.
Wenyewe wanafahamu walifanya makosa makubwa sana kumrudisha Kijitonyama. Ni udhaifu mkubwa sana.
Catholic Church inaheshimika sana kwasababu haingalii mtu usoni, likisema limesema ni barua moja, unahamia huko Katavi.
Sasa wenzetu hawa, sadaka zimepungua kidogo usharikani, watu wenye pesa usharikani wamepandisha mabango ya mchungaji mjini na waumini wamepungua kanisani eti wanaamua kusema beleshi ni kijiko kikubwa.
Acha kufananisha kkkt na mabo ya teusi kwa hyo ulitaka wale walimu wauteme mshara ya milion Tisa wakapambne na kina samia na Sera mbovu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata wewe hueleweki ulichoandika.Mchungaji Kimario aeleze dini ya Kristo ilienezwa na akina nani duniani - masikini au matajiri. Mahubiri ya namna hii yanaweza kupotosha waumini wasiokuwa na uelewa mpana wa dini au wasiokuwa na tabia ya kujisomea. Maandiko ya Kikristo yameandikwa katika lugha nyingi duniani. Hata biblia, tofauti na Quran tukufu, imetafsiriwa katika lugha nyingi.
Mdogo mdogoMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Huyu Kimaro mdogo mdogo amekuwa mfuasi wa Oral Roberts! Anahubiri prosperity Gospel. Hiyo sio Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo, ni injili ya Oral Roberts.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Mhmmmmmmm...umekosea sana, Kwani walioambiwa na Yesu ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano ni matajiri au maskini?Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Amesinamia maandiko yapi .Huwezi kutumia hoja bila kueleza mazingira ya wakati huo na Sasa yanatofautiana kiasi Gani. ?Umeropoka maneno mengi na wala hujaelewa hoja ya mchungaji Kimaro imejikita wapi.
Zaidi umeropoka uharo tu humu kujaza server.
Hoja ya mchungaji usiwachukie matajiri kwa kuwa tajiri ndo aliyejitolea kuhifadhi mwili wa Yesu
Pumbavu sana shetani .Amesahau kisa cha Yule kikongwe na Senti zake mbili??
Amesahau kisa cha Masikin na Tajiri kwenye maombi yao, Mungu akakubali ya Masikin.
Kasahau hata Yesu alisema Tajiri kukuona ufalme ni sawa na Ngamia kuoenya Tundu la sindano?.
Wakati Kimaro anafundisha Utajiri wa Mali, Yesu anataka uwe Tajiri wa Roho
Huyu naye tuko naye motoni tu [emoji1787][emoji1787]
Waumini wa kijikonya wasipochukua tahadhali, huyu Kimaro anaweza jitangaza kuwa yeye ni yesu wao. Shetani anajipenyeza mdogo mdogo.Ashaanza kulewa sifa, mapinduzi makubwa katika kitabu cha matendo na uzihirisho wa roho Mtakatifu walifanya matajiri? Shida ni jina Kimaro.
Wakili msomi anayepanda boda na mwendokasi.Tangu lini mngoni akawa muhaya? We endelea kutukuza umaskini tu
Misifa imemlewesha kwa sasa amechukua njia ya Yuda Iskariote.Kimaro pamoja na kusoma kote Biblia ameshindwa kuelewa kuwa mara tu baada ya Kristo kutiwa nguvuni na wenye mamlaka wakati huo, wafuasi wake wakiwemo wanafunzi walikuwa wakiwindwa na wengi walitawanyika kukimbia mkono wa chuma wa Herode...