Mchungaji Masanja Mkandamizaji baada ya kupitia majaribu ya shetani amemzawadia mkewe Monica zawadi ya Gari


hiv mnae komaa kumwita huyu mwehu mchungaji na kumpamba kila day mko sawa akilini kweli
 
Kwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.
Kweli kabsa
 
Mkumbusheni huyo pasta kwamba,mwanamke akiolewa hafuati magari au ugali.
Usipompa hicho alichofuata kwako wewe mume ujue atakipewa na jamaa zako wa karibu.
Siku zote ogopa mwanamke Kama humtoshelezi kimapenzi. Hata umpe Nissan mbili bila kujituma kwenye 6*6 anakuona Kama beberu lililo hasiwa.
 
Leo.wamefanya ibada nnzur sna wasafi worship Sunday nimewaaelewaa sanan
 
Mwenyewe anajua mapungufu yake ukute anamruhusu mkewe kuridhishwa na wengine. Tuache makasiriko
 
Mchungaji kama hampelekei moto mkewe basi ataendelea kusaidiwa na makatibu wake gari pekee haitoshi kumtuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…