Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Masanja kakosa sifa za kuwa askofu.1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach;
AlijinyongaYa kumchomoa hewani katibu.
Sasa badala ya "kuhubili"ni mwendo wa matukio tu,sasa Swala la mama mchungaji kuzawadiwa gari,linahusika vipi na ukuaji wa kiroho wa waumini?mambo ya kijinga sana hayaTukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
View attachment 2395868
Sasa badala ya "kuhubili"ni mwendo wa matukio tu,sasa Swala la mama mchungaji kuzawadiwa gari,linahusika vipi na ukuaji wa kiroho wa waumini?mambo ya kijinga sana haya
Ndio hiyo hiyo kamekaa kama chura hiviJuke.....sidhani kama kuna Nissan Duke.
Aisee😂😂😂 eti askofu mkuu masanja 😂😂😂😂😂 mbona naona kundi la wahuni hapo 😂😂🏃🏃🏃🏃
Nipo poa ila inawezekana kabisa nikawa sio mdogo kwako.Kwema mdogo wangu. Nakuona uko poa
Nina uhakika wewe ni mdogo kwangu😅Nipo poa ila inawezekana kabisa nikawa sio mdogo kwako.
😀😀
Vice versa.Nina uhakika wewe ni mdogo kwangu😅
Napinga kwa nguvu zote.Vice versa.
Anyway nakubali sana comments zako,keep it up dear.Napinga kwa nguvu zote.
Anyway nakubali sana comments zako,keep it up dear.
Mkuu huyo sio mchungaji wako hadi umpangie cha kufanya. Kanisa ni lake kaanzisha yeye mwenyewe...ukipenda kuwa chini yake utamuita mchungaji. Usipopenda unamuita masanja comedian maisha yanaendaKama Mchungaji amwambie mkewe awe anavaa mavazi ya heshima.
Mke wa mchungaji kuvaa mavazi ya kuonyesha mapaja na kurembua rembua mbele ya waumini ni fedheha sana.
Mwanamke akiwa siriaz hawezi tongozwa hata kidogo, hasa kama ni mke wa mchungaji.
Na hata ningekuwa mimi ningemtongoza tu.
Katibu wa Mchungaji Masanja kajiua, mchungaji hajawahi kutoa kauli ya kuombeleza kifo cha katibu wake wala kusikitika.
Yeye kabaki kumsifia mkewe tu. Mtoto wa Mungu kafa yeye anajichekesha tu na kumpamba mkewe.
Ni jambo la aibu sana.
Masanja na mkewe wajiheshimu kama wanataka kuhudumu huduma ya Kristo.
La sivyo waamue kuwa waimbaji wa Bongofavor.
Uchungaji una maadili yake.
Basi kapewa sana jamaaKweli libwata lipo.........