Mchungaji Masanja "Mkandamizaji" Hebu uwe hofu ya Mungu

Mchungaji Masanja "Mkandamizaji" Hebu uwe hofu ya Mungu

Jealous tu hizi. Kamuona Mkandamizaji anapiga pesa, kama vipi na wewe tafuta kanisa ufanye biashara
 
Inabidi siku atoe MTU mapepo tuamin uchungaji wake
 
Uchungaji ni wito na wenine wanakuwa wameitwa na Bwana, Lakini wengine wamegeuza kuwa ni Fursa. Wanatafuta pesa kukabiliana na changamoto za maisha
 
Mbona unatoa Taarifa kinaga-ubaga,
Fatilia vyema Mkandamizaji kashajipatia Elimu yake ya uchungaji bwana::Anijinadi kama a Street pastor.

Kabla ya kuwa pastor!
"Mnataka kukandamiza mamuchele na machipisi Ugali hamutaki "-Ugali Masanja Mkandamizaji

Baba Mchungaji endelea kuokoa kizazi hiki cha Nyoka.....TEHE TEHE.
 
Miluzi mingi humpoteza mbwa heeee heeee nawaza pale mlango wa peponi patakua peupeee foleni upande wa pili maana waamini na wachungaji wao mstari mmoja kulekea microwave ya Mungu uko ndani full harufu ya mishikaki [emoji39]
 
Acha apige pesa kama wateja anapata,wewe unafikiri ataki kuwa bilionea kama mwingira?
 
Uchungaji ni taaluma??tangu lini??mi nnavyofahamu uchungaji ni kujitolea tu kuwa hubiria watu kama watakupenda watakuckiliza na watakufuata hai hitaji elimu kuwa mchungaji kinachotakiwa ni uwezo wako tu,labda utuletee mambo ya RC huko na ushemasi.
 
Raha ya kucunga kondoo hupati tabu. Muache akamue.
 
Back
Top Bottom