Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile Ni Jina Lake. Sasa Alipata Cheo Cha Urais ataitwa Rais Mbarikiwa. Kwa Kuwa Sasa ni Mchungaji hivyo anaitwa Mchungaji Mbarikiwa.
 
Huyo mchungaji anayejiita mbarikiwa na yeye ni mchungaji uchwara tu, nyuma ya pazia ana makando kando yake maovu mengi tu..

Yeye anafuatilia maisha ya wengine kama nani?

Mtu kaamua kuachana na mmewe yeye ina muhusu nini?

Hawa wachungaji uchwara wanojivika uungu mtu ndio waovu wakubwa.
Waswahili wanasema HATA SAA MBOVU KUNA MUDA HUSEMA MAJIRA VZR
 
Malaya ni kama Kunguru hafugiki..na atawapata Malaya wenzake Makunguru yasiyofugika
Mtu wa aina hii asipokemewa, wanawake Walio katika NDOA, watakuwa wakipata changamoto kidogo wanavunja NDOA,

Atasababisha viburi Kwa wanawake ndani ya NDOA, watamwona kama shujaa wao,

Shetani na ashindwe.

Shusho afanye usanii wake, kamwe asijifiche madhabahuni.
 
Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏
Huo ndio ukweli, bila kumumunya maneno
 
Mchungaji wa illuminati labda.
Muda mwingine inabid tuanze kwa maneno kumleta mtu karibu. Kuna mbegu inajipanda ndani ya diamond kwa maneno kama hayo. Wapo watu walikuwa wakengeufu lakini walibadilika.
Na kwa imani Kristo alikuja kwa ajili ya wenye dhambi. Sioni Tatizo kabisa kama kuna mtu anatoka kutumia madawa , mlevi kupindukia anabadilika na anakuwa mtu mzuri.
Diamond anaweza kuwa mchungaj na anafaa kabisa wala hakuna cha ajabu
 
Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma
Asikilizwe nawambieni....hata kama kuna umalaya ndani yake lakini mtu akiwa anaikimbia ndoa asikilizwe nasisitiza wapendwa....kwa manufaa ya mwanamke na mwanaume na nduguzao
 
Nina Mashaka Sana na Yule Kungwi Maarufu wa Arusha na Kifo Cha Mume wake.

Huenda Kuna namna hakufurahia Maendeleo ya huduma ya Ukungwi wa Mke wake.
Chifu jazia nyama kidogo maana wengine hatumfahamu huyo Kungwi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom