Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Mondi lazima achovye wahuni sio watu wazur na mwanamke sku zote huwa sio mtu wa kujisimamiaJuzi anasema Mond anafaa kuwa Mchungaji.
Satanic!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mondi lazima achovye wahuni sio watu wazur na mwanamke sku zote huwa sio mtu wa kujisimamiaJuzi anasema Mond anafaa kuwa Mchungaji.
Satanic!!
Anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile Ni Jina Lake. Sasa Alipata Cheo Cha Urais ataitwa Rais Mbarikiwa. Kwa Kuwa Sasa ni Mchungaji hivyo anaitwa Mchungaji Mbarikiwa.Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Waswahili wanasema HATA SAA MBOVU KUNA MUDA HUSEMA MAJIRA VZRHuyo mchungaji anayejiita mbarikiwa na yeye ni mchungaji uchwara tu, nyuma ya pazia ana makando kando yake maovu mengi tu..
Yeye anafuatilia maisha ya wengine kama nani?
Mtu kaamua kuachana na mmewe yeye ina muhusu nini?
Hawa wachungaji uchwara wanojivika uungu mtu ndio waovu wakubwa.
Mtu wa aina hii asipokemewa, wanawake Walio katika NDOA, watakuwa wakipata changamoto kidogo wanavunja NDOA,Malaya ni kama Kunguru hafugiki..na atawapata Malaya wenzake Makunguru yasiyofugika
Eeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Huyo Majina aliyoyazoea ni Mawazo, Shida, Tabu, Majuto, nk nk.Mbarikiwa ni jina hilo mzee kama wewe yalivyo majina mengine tu kama Joseph, Ally, Hawa n.k
kwani mondi hawezi kuwa mchungaji au hafai ?Juzi anasema Mond anafaa kuwa Mchungaji.
Satanic!!
Mchungaji wa illuminati labda.kwani mondi hawezi kuwa mchungaji au hafai ?
Misemo uchwara hii...Waswahili wanasema HATA SAA MBOVU KUNA MUDA HUSEMA MAJIRA VZR
Hakuna mama mchungaji hapoEeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Daaa nimekumbuka Muinjilist mmoja wa Kisabato niliwahi onana nae Kanda ya ziwa akiitwa MPENDA WALI.Anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile Ni Jina Lake. Sasa Alipata Cheo Cha Urais ataitwa Rais Mbarikiwa. Kwa Kuwa Sasa ni Mchungaji hivyo anaitwa Mchungaji Mbarikiwa.
Huwezijua kwanini kakataa kuitwa Mchungaji na kuamua aitwe Madam, labda ni maagano ya hilo kanisa lake, nani ajuaye?[emoji1745]mwalim, mchungaji, mtume , nabii, mwinjilisti......hakuna tittle MADAM kanisan achague mmojawapo
Huo ndio ukweli, bila kumumunya manenoSalaam,Shalom!!
Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.
Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.
Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.
Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.
Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.
Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.
NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.
Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.
Karibuni🙏
Malaya ni kama Kunguru hafugiki..na atawapata Malaya wenzake Makunguru yasiyofugika
Mkuu, kwani yule mkeo mliyetengana ni Shusho nini? Mbona kama umemkamia sana?Sawa sawa, Malaya ni Malaya tu , ni sawa na kunguru, kunguru hafugiki
Muda mwingine inabid tuanze kwa maneno kumleta mtu karibu. Kuna mbegu inajipanda ndani ya diamond kwa maneno kama hayo. Wapo watu walikuwa wakengeufu lakini walibadilika.Mchungaji wa illuminati labda.
Roho ya Yezebel hiyo.Huwezijua kwanini kakataa kuitwa Mchungaji na kuamua aitwe Madam, labda ni maagano ya hilo kanisa lake, nani ajuaye?[emoji1745]
Asikilizwe nawambieni....hata kama kuna umalaya ndani yake lakini mtu akiwa anaikimbia ndoa asikilizwe nasisitiza wapendwa....kwa manufaa ya mwanamke na mwanaume na nduguzaoOsinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma
Chifu jazia nyama kidogo maana wengine hatumfahamu huyo Kungwi.Nina Mashaka Sana na Yule Kungwi Maarufu wa Arusha na Kifo Cha Mume wake.
Huenda Kuna namna hakufurahia Maendeleo ya huduma ya Ukungwi wa Mke wake.