Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Muda mwingine inabid tuanze kwa maneno kumleta mtu karibu. Kuna mbegu inajipanda ndani ya diamond kwa maneno kama hayo. Wapo watu walikuwa wakengeufu lakini walibadilika.
Na kwa imani Kristo alikuja kwa ajili ya wenye dhambi. Sioni Tatizo kabisa kama kuna mtu anatoka kutumia madawa , mlevi kupindukia anabadilika na anakuwa mtu mzuri.
Diamond anaweza kuwa mchungaj na anafaa kabisa wala hakuna cha ajabu
Arudi Kwa mumewe wayamalize, ndipo atoke kushuhudia wengine.

Kiongozi, lazima uwe na maisha yenye ushuhuda.
 
Huyo mchungaji anayejiita mbarikiwa na yeye ni mchungaji uchwara tu, nyuma ya pazia ana makando kando yake maovu mengi tu..

Yeye anafuatilia maisha ya wengine kama nani?

Mtu kaamua kuachana na mmewe yeye ina muhusu nini?

Hawa wachungaji uchwara wanojivika uungu mtu ndio waovu wakubwa.
Watanzania waache kufuatlilia maisha ya watu na maamuzi yao. Ilimradi hajavunja sheria za nchi ana haki ya alichokifanya kama anaona kinampa amani. Wengine tuna makandokando kibao lakini tunaona tu maboriti ya Wengine. Hakuna aliyemkamilifu kwenye hii dunia.
 
Asikilizwe nawambieni....hata kama kuna umalaya ndani yake lakini mtu akiwa anaikimbia ndoa asikilizwe nasisitiza wapendwa....kwa manufaa ya mwanamke na mwanaume na nduguzao
Ameshindwa kutafuta viongozi huko wayasuluhishe Hadi anayaleta media kutafuta justification?

Mumewe ana BUSARA sana, ameamua kunyamaza.
 
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Ni jina kama jina lingine ulilowahi kusikia wala hajiiti.
Wewe ukizaliwa wazazi wakakupa jina masumbuko/Shida/tabu/tajiri haina maana utakuwa na masumbuko/Shida/tabu/tajiri ila ni jina umepewa.
Simple maths
 
Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏
Mkishamaliza kulumbana

Hubirini injili

Maana kwa sasa injili imekumbwa na udalali wa kufa mtu
 
Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏
Mbona yule aliesema mashoga wabarikiwe kanisani hamkumkemea?
Haya ni madhara ya kuona kibanza kwa mwenzako, ukashindwa kuona boriti kwako.
 
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Mbarikiwa ni jina la mtu kama wewe unavyoitwa Jameson.
 
Kasema ukweli kabisa.anataka kuhalalisha umalaya wake kwenye umma wa watu.kwanza kashachoka.hiyo ni namba A wakati Kwa Sasa tupa E safi kabisa.akae na umalaya wake wa namba iliyopitwa na wakati sisi atuachie new model namba E
 
Kwamba diamond ndio ana dhambi sana Mungu hawezi kumbadilisha?
At least zake zinaonekana wakati kuna wengine wetu dhambi zetu zingewekwa wazi tungejikimbia.
We should stop judging others.
Hakuna mtu hafai kutumika na Mungu.
Arudi kutengeneza NDOA na mumewe kabla ya kutaka kutengeneza maigizo.

Hujasoma, Kuna urafiki Gani kati ya Giza na Nuru?
 
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Acha ukahaba wenu na shusho,, Mbarikiwa ni jina lake.
 
Back
Top Bottom