OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mtumishi huyu inafaa umtolee tamko zitoJuzi anasema Mond anafaa kuwa Mchungaji.
Satanic!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumishi huyu inafaa umtolee tamko zitoJuzi anasema Mond anafaa kuwa Mchungaji.
Satanic!!
Sisi ni chumvi ya Dunia, chumvi ikiharibika, utaweka nini ndani yake Ili irudi kuwa sawa?Mtumishi huyu inafaa umtolee tamko zito
Usipaniki.. hayo ni majina wanajipa kama wasanii wa muziki. Kuna mbarikiwa, kuhani, bulldozer, nabii mkuu, mzee wa upako, na wengine wengi.Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Akigeuka malaya wewe ina kuhusu nini?Huyo mwanamke huhitaji kujiuliza mara mbili kuwa amegeuka malaya
Way back alificha tabia
Yule ni Jina lake kabisa,Usipaniki.. hayo ni majina wanajipa kama wasanii wa muziki. Kuna mbarikiwa, kuhani, bulldozer, nabii mkuu, mzee wa upako, na wengine wengi.
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate, uutupilie mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na miguu miwili lakini ukatupwa katika moto wa milele.Arudi Kwa mumewe wayamalize, ndipo atoke kushuhudia wengine.
Kiongozi, lazima uwe na maisha yenye ushuhuda.
Halafu tunakosea, huyu malaya anaitwa christina hilo shusho ni jina la aliyekuwa mumewe mzee Shusho nae ni mchungaji.Mtu wa aina hii asipokemewa, wanawake Walio katika NDOA, watakuwa wakipata changamoto kidogo wanavunja NDOA,
Atasababisha viburi Kwa wanawake ndani ya NDOA, watamwona kama shujaa wao,
Shetani na ashindwe.
Shusho afanye usanii wake, kamwe asijifiche madhabahuni.
Mnashindwa kukemea ufisadi, ubadhirifu na uhujumu uchumi wa nchi yenu ambao unaleta madhara makubwa kwenye maisha yenu kama wananchi.Sisi ni chumvi ya Dunia, chumvi ikiharibika, utaweka nini ndani yake Ili irudi kuwa sawa?
Hapa lazima tumkemee vilivyo, Ili wanaomsikikiza waweze kujua amekosea wapi na kuepuka haya.
Yale mavazi ya kubana yenye kuonyesha maungo yote ndio huduma Ile?Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate, uutupilie mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na miguu miwili lakini ukatupwa katika moto wa milele.
Wewe kwanini unahitimisha kwamba yeye ni malaya? Kwanini malaya asiwe mume wake? Kama mtu anajaribu kukukwamisha katika imani yako huna budi kuachana naye iwe kwa gharama yoyte at the end of the time Imani ni suala la mtu binafs na si mume au baba au mama au mke anasema nn.
Yupo sahihi kabisa
MmmmmmEeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Wewe Pepo ushindwe. Ninakujua u nani!!Mnashindwa kukemea ufisadi, ubadhirifu na uhujumu uchumi wa nchi yenu ambao unaleta madhara makubwa kwenye maisha yenu kama wananchi.
Mnang'ang'ana na maisha ya mtu mmoja ambaye hana impact yeyote kwenye maisha ya jamii.
Unafikiri ndoa ni lazima kwa kila binti?
tupe wewe muongozo wa mavazi according to bible wanasema kwamba uvaaje?Yale mavazi ya kubana yenye kuonyesha maungo yote ndio huduma Ile?
Ujue matumizi ya maandiko. Pale hamna huduma.
Wewe mpumbavu, mzee shusho ni mchungaji na anajulikana kwa uadilifu wake toka akiwa bàndari tanga 2005.Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate, uutupilie mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na miguu miwili lakini ukatupwa katika moto wa milele.
Wewe kwanini unahitimisha kwamba yeye ni malaya? Kwanini malaya asiwe mume wake? Kama mtu anajaribu kukukwamisha katika imani yako huna budi kuachana naye iwe kwa gharama yoyte at the end of the time Imani ni suala la mtu binafs na si mume au baba au mama au mke anasema nn.
Yupo sahihi kabisa
Jibu hoja acha viroja wewe.Wewe Pepo ushindwe. Ninakujua u nani!!
NDOA Si muhimu kule kwenu kuzimu ulikotokea.Jibu hoja acha viroja wewe.
Naku uliza hivi, unafuatilia maisha ya wengine wewe kama nani?
Mnapenda kufuatilia maisha ya mtu binafsi kuliko kufuatilia maisha yenu na haki zenu za msingi.
Kwa nini una ingilia uhuru wa mtu alioamua mwenyewe kutokuwa na ndoa?
Aliyekwambia ndoa ni lazima ni nani?
ni nani mpumbavu kati yako mimi na wewe?Wewe mpumbavu, mzee shusho ni mchungaji na anajulikana kwa uadilifu wake toka akiwa bàndari tanga 2005.
Unafikiri hii dunia yote ina ongozwa na imani yako hiyo inayosema ndoa ni amri?NDOA Si muhimu kule kwenu kuzimu ulikotokea.
Kwetu NDOA ni amri, na kifo tu ndicho kitatenganisha NDOA.