Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Unafikiri hii dunia yote ina ongozwa na imani yako hiyo inayosema ndoa ni amri?

Kama ndoa ni amri, ulishawahi kusikia mtu amefungwa jela kwa vile hana ndoa?

Au unaleta na kufosi imani yako uchwara inayo kuaminisha ndoa ni amri kwa kila mtu?
NDOA ni muhimu sana lakini si lazima . Ila ina umuhimu sababu ni foundation nzuri ya kutengeneza jamii na taifa.
Huyo jamaa analazimisha vtu
 
FACT
 
Mwacheni aishi maisha anayoyapenda!!
 
Kila Mtu Atauchukua Mzigo Wake Mwenyewe
 
Watanzania Ni wapumbavu sna Bado kuna mijitu inawai kanisani kwake asbh ibada za kipuuzi za shusho ,
Mwenyewe ukimutazama unaona kbsa Malaya tu
M
 
Mwacheni aishi maisha anayoyapenda!!
Ikiwa ameamua kukengeuka,

Aache kutumia madhabahu takatifu kuhalalisha UOVU wake,

Akiendelea kukaa hapo, lazima apigwe ipasavyo.
 
Jamaa Yuko sahihi , huyo manzi shape inamzuzua wahuni watapiga saaana
Wakipiga wewe inakudhuru nini?

Au na wewe unataka upewe upige?

Kitumbua si chake?

Kwa nini umpangie namna ya kukitumia?
 
Watanzania Ni wapumbavu sna Bado kuna mijitu inawai kanisani kwake asbh ibada za kipuuzi za shusho ,
Mwenyewe ukimutazama unaona kbsa Malaya tu
M
ibada za kipuuzo na ambazo si za kipuuzi zinakwaje? Na kwa mujibu wa kitu gani tunasema ibada hii ni ya kipuuzi na hii si ya kipuuzi?
Watanzania ni watu wapumbavu sana na wanaongozwa kwa mihemko.
 
Watanzania Ni wapumbavu sna Bado kuna mijitu inawai kanisani kwake asbh ibada za kipuuzi za shusho ,
Mwenyewe ukimutazama unaona kbsa Malaya tu
M
Hao wachungaji wengine wote hawana maovu na madhambi yao?

Kwa nini umuandame shusho tu ilhali kila mtu ana maovu yake nyuma ya pazia?

Uovu wa TB Joshua uliofichuliwa na BBC kuna mtu aliujua kabla?

Mbona watu walikuwa wanafurika kwa TB Joshua ilhali na yeye alikuwa ni mzinzi na mnyanyasaji wa wanawake kingono.
 
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Jina lako lenyewe ni pombe
 
Hil
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Hilo mbona jina la kwaida tu,harafu mbona maoni yake yamekukela Sana hakuna uchungaji b8la mume au mke,labda wewe sio mkristo labda use padri au sister
 
Kama alikuwa ananyanyasika, mlitqka afe na tai shingoni? Sie wanaume wa kiafrika, tunajuana, tunapenda wanawake wawe chini yetu kama watumwa!
Wajameni, ukiwa, na, mke mama wa, nyymbni, jinsi unavyomtuma akuletee ghahawa, chai, chakula, akupelekee maji bafuni, siku akiwa CEO wa, kampuni, au awe tajiri kama bskheresa, jinsi ya kuwasiliana nae lazima iwe tofauti
 
Ndoa aslimia kubwa zimeshakufa, watu wanaishi tu eti kuogopa jamii. Ambao sio wanafiki ndio wamekua na ujasiri wa kuzivunja . Mimi sikutaka kuwa mnafiki nikaivunjilia mbali.
 
Kwani utajiri wa mwanamke unambadili kuwa Mwanaume?
 
Nani asiye malaya kwenye hii dunia bwana??? Sisi sote ni MALAYA tuache kunyooshea watu vidole.

Wengine humu wameoa n kuolewa lakini kutwa kucha unawakuta mabandani wanafukuliwa mitaro na kubaka watoto na wake za watu!!

Sisi sote ni MALAYA, ndioo kutomba na kutombwa ni tamu sana nani asiyependa?

Alaaaah!

Cc Lamomy Dronedrake drake Mzee wa kupambania adriz Mufti kuku The Infinity Poor Brain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…