ndio jina lake anaitwa mbarikiwa mwakipesileHata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Toa uchawi wako hapa.
Mkuu endelea kuwapa ukweli hao wanaokwambia tuachane nae wakati yeye ana kundi kubwa la watu anaowashawishi kwa huu upumbavu wake.(Luke 16:18)
Amwachaye mke/ mume.....azini.
Sorry kama una mama mwenye sifa hiyo.
Mchungaji Mbarikiwa ametumia maandiko.
amekuwa na shepu nzuri sana na sura ipo, mashaallah kaumbika kisawasawa kila idara kakamilika, sijui kama fisi watamuacha!Jamaa Yuko sahihi , huyo manzi shape inamzuzua wahuni watapiga saaana
Ogopa sana kuishi kwa kufurahisha watu au kwa kufungwa na mikatale ya kijamii huku kinafsiya, kisaikolojia (na hata kimwili) unateketea. Kama ndoa kufa na ife ali mradi ubakie huru na salama.Ndoa aslimia kubwa zimeshakufa, watu wanaishi tu eti kuogopa jamii. Ambao sio wanafiki ndio wamekua na ujasiri wa kuzivunja . Mimi sikutaka kuwa mnafiki nikaivunjilia mbali.
damu changa wenyewe wanamtaka, wale vijana ni walafi hawatamuachaShape inamzuzua yeye na Marioo, werevu hatuwezi kubabaishwa na gari namba A ilihali namba E zimejaa tele mitaani "age gone/uhenga vs damu changa"
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Dhambi Huwa inakemewa, Si kuficha.Mkuu endelea kuwapa ukweli hao wanaokwambia tuachane nae wakati yeye ana kundi kubwa la watu anaowashawishi kwa huu upumbavu wake.
Tukinyamazia haya, IPO siku mke ataaga kuwa anaenda kulala Kwa boyfriend kama walivyo wazungu,Hamna kupaka rangi maneno ni ukweli na uwazi.
pamoja na makandokando yake uyaonayo anastahili kuukemea umalaya/ukahaba.Huyo mchungaji anayejiita mbarikiwa na yeye ni mchungaji uchwara tu, nyuma ya pazia ana makando kando yake maovu mengi tu..
Yeye anafuatilia maisha ya wengine kama nani?
Mtu kaamua kuachana na mmewe yeye ina muhusu nini?
Hawa wachungaji uchwara wanojivika uungu mtu ndio waovu wakubwa.
Shusho kakataa kuitwa mama mchungaji na kasema anachukia sana kuitwa hivyo.Eeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Anashindwaje ku ukemea huo ukahaba bila kutaja jina/majina ya watu?pamoja na makandokando yake uyaonayo anastahili kuukemea umalaya/ukahaba.
Madhabahu takatifu ni yako? Wewe una utakatifu gani ndugu yangu?Ikiwa ameamua kukengeuka,
Aache kutumia madhabahu takatifu kuhalalisha UOVU wake,
Akiendelea kukaa hapo, lazima apigwe ipipasavyo.
huoni anayetajwa jina kafanya uharibifu mkubwa kwa maadili ya ndoa?Anashindwaje ku ukemea huo ukahaba bila kutaja jina/majina ya watu?
Kwa nini afanye personal attack ya kukemea ukahaba wa mtu mmoja mmoja na kumtaja jina kabisa?
Kwani asiende Riverside,
mwana nyamala au uwanja wa fisi akafanye kazi ya kukemea makahaba na malaya?
Mama yake au dada yake huyo "mchungaji uchwara anaye jiita mbarikiwa" kama na wao ni malaya, Ataweza kuwataja majina na kuwa kemea live kwenye ibada zake hizo?
Au anataka kiki tu kwa vile Christina shusho ni staa?
Acha kupotosha..Mbarikiwa ni jina lake sio la kupachikwa,kwa wakristo ni jina la ubatizo,kama wengine wanavyoitwa John ,Christian, Jesus na wengine.Usipaniki.. hayo ni majina wanajipa kama wasanii wa muziki. Kuna mbarikiwa, kuhani, bulldozer, nabii mkuu, mzee wa upako, na wengine wengi.
Hoja yangu haihusiani na mada ya Shusho bali sentensi yako hii.Hao wachungaji wengine wote hawana maovu na madhambi yao?
Nimetumia mafundisho ya dini ya wachungaji ingawa mimi siya amini.Hoja yangu haihusiani na mada ya Shusho bali sentensi yako hii.
Unatumia kigezo Gani kujua hii ni dhambi au uovu!!
Umejuaje kuwa Kuna dhambi au uovu!!??
Kavunja ndoa yake sio ndoa za wengine.huoni anayetajwa jina kafanya uharibifu mkubwa kwa maadili ya ndoa?