LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
ndio jina lake anaitwa mbarikiwa mwakipesileHata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.