Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Kinana amekipigania sana chama kwa jasho na damu nakumbuka mwaka 2014 jinsi alivyozunguka nchi na kujibu hoja za wananchi nilikutana naye Arusha hakuwa mropokaji kama nape ila alijitahidi kukirudisha chama kwenye misingi leo anatukanwa na vijawa wahuni wa ccm very sad mambo kwa hakika yana-change!

Leo Magufuli anamfanya kama mtoto wacha aende tu ni mtu ambaye amekitumikia chama kwa umakini mkubwa bila kuropoka kama wenzie wakina Nape na sasa Bashiru na Polepole.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni ana uhuru wa kufanya maamuzi anayoona yanafaa bila uhuru wake kuingiliwa!
 
System ndiyo inafanya kazi. Kinana anajua nguvu ya T, hawezi kujiung na walevi
 


Wafia vyama wote mnamtukana, mnazidiana wadhfa tu.
Hapa anaeomba msamaha kwa kumsemea uwongo ni kada wa ccm au chadema?
Mnakera sana na siasa zenu za mashambulizi dhidi ya utu.
 
Mzee huyu hawezi kbs kwenda kwa chama 'marehemu' yaani chama ambacho m/kiti anafanya juhudi za makusudi kukiua yeye mwenyewe kwa kulilia lockdown...!!
 
Maa
Nimemsikia Mch Msigwa akimsafisha Mzee Kinana kuhusiana na kashafa ya Ujangili Pembe za ndovu. Je hii inaweza kuwa mbinu ya kuandaa mazingira mazuri ya kumkaribisha Mzee Kinana aliyewahi kuwa Katibu mkuu wa CCM kuelekea Chadema?
Maandalizi ya kubadili gia angani. Na wafuasi wao walivyo malofa wataunga hoja mkono, kuhoji fikra za wenyeviti ni shida kubwa kwao.

Tujiandae kudeki lami na kuzungusha mikono huku push ups zikitamalaki
 
Alifanya makusudi tu, Mchungaji muongo huyu.
 
UONGO wa hila, ni uuaji.
Msigwa AVULIWE KIAPO CHA UCHUNGAJI.
 
Kinana kuhamia CHADEMA ni haki yake,kama Lijualikali kuhamia CCM na hii ndio demokrasia.
 
wanasema ikivuma sana ujue inkaribia kutoboka...
 
Umeongea safi sana nilitaka kuandika kitu umemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ndio Mchungaji Msigwa, kipindi cha Lazaro Nyalandu akiwa waziri wa utalii na yeye Msigwa akiwa ndio waziri kivuli basi alikuwa akimkosoa na kueleza ufisadi wa Lazaro ila baadaye alifika bei na akawa rafiki yake Lazaro na hatukusikia tena akieleza ufisadi wa Lazaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…