Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

If you read between the lines you know something is about to happen. Kuna watu wanasema atahamia CCM ila ukweli ni kuwa wazee aka mafounders are backing out.
 
Wanataka wampe kinana agombee Urais

Wameanza kumsafisha [emoji3]

Ila Chadema wasisahau hatuna sera za uraia pacha Tanzania
Dah..we jamaa unaona mbali Sana.. However Mimi nafikir watampa Membe but campaign manager atakua Kinana,wanahisi KAZI aliyofanya kuwapatia ushindi Marais wawili waliopita kutawapatia edge.

Angalizo: inabidi wawe makini manake CCM ni vinara na hodari Sana wa Siasa kweli kweli..mara nyingi wanafanya hesabu za miaka 10 mbele.
 
Mkuu hao wepesi sana Mtu tishio alikuwa Lowasa, yule Mzee sitakuja kumsahau
Dah..we jamaa unaona mbali Sana.. However Mimi nafikir watampa Membe but campaign manager atakua Kinana,wanahisi KAZI aliyofanya kuwapatia ushindi Marais wawili waliopita kutawapatia edge.

Angalizo: inabidi wawe makini manake CCM ni vinara na hodari Sana wa Siasa kweli kweli..mara nyingi wanafanya hesabu za miaka 10 mbele.
 
Kiukweli wengine tulijua Chadema ingeyumba after 2015 lakini kinachoendelea na pengine more worse to come Inasikitisha. Tunaonekana wengine hatuipendi Chadema lakini inasononesha kazi kubwa kujenga chama inavyobomoka kama hakuna kitu kinachotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa watu tuliokuwa tumeiweka chadema kwenye damu, usaliti wa 2015 ndiyo ulikuwa turning point ya maumivu.

Ki ukweli naanza kuwa na hofu huenda ccm ikawa na miaka mingi sana ya kutawala huko mbeleni. Maana upinzani mbali na kudhoofishwa na dola wao pia ni dhaifu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakusema yeye ila aliambiwa hivyo na watu wa Bandari kutokana na kukosekana kwa nyaraka za mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app

UONGO huohuo ukaja kurudiwa na bosi wa takukuru ili kumlinda bwana mkubwa.

Mitambo ya treni ina gharama kubwa sana. Haiwezi kutengenezwa bila order maalum.

Serikali ya JK iliagiza mitambo hiyo lakini bwana mkubwa akaamua kudanganya umma ili kupata kiki ya kisiasa.

Bwana mkubwa ana tabia mbaya ya kusema UONGO.
 
Duuuh siasa siasani...

Nijuavyo mimi wengi huwa wanasema baada ya kustaafu siasa, kusema leo wakati bado uko active kwenye siasa amechemka cos wapinzani wake watatumia kama fimbo kumchapa na hawezi kuaminika tena katika siasa za Tanzania.
 
Eti kinana au membe awe mgombea urais hehehe, nani wa kuchagua mitumba T2020JPM
 
Sasa kafanya homework kwa miaka zaidi ya sita kujua kinana sio jangili?
I am sure kuna homework zingine hajamaliza.
Tuendelee kusubiri.
Sasa kama alikuwa anafanya polepole ili asinh'amuliwe?
 
Nimeangalia ile facial expression wakati anaongea ikanifikirisha sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni swala la Muda tu, binafsi ningependa huko wanakoenda wakapambane kwenye kura za maoni kwa nguvu zao bila usaidizi.

Hata hivyo inauma sana kuona Upinzani hasa Chadema ukimomonyoka kama mkate kwenye chai wakati chama kimejengwa kwa jasho na damu.
 
..mbona bwana mkubwa alisema UONGO kuwa vichwa vya treni alivyovikuta bandarini vilikuwa havina mwenyewe?

..wakati ukweli ni kwamba vichwa hivyo vilinunuliwa na serikali ya JK?

..bwana mkubwa mpaka leo hajakiri UONGO wake.
Hahahahah.. Wakuu hivi huu huwa ni ujinga tu au ni makusudi?

Unajiita mbadala wa ccm, ukikosea unasema mbona hata kule kuko hivi,! Sasa utofauti wenu ni ccm ni upi hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA kuweni makini na huyu mtu, kabakiza mwili tu roho tayari ipo CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
inaweza kuwa haendi ccm ila kinana anaenda chadema pengine na timu membe hivyo hii ni njia kwanza kumsafisha ili akienda isitumike kama agenda ya ccm kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa ya lowasa ...

Nawaza tu lakini na inaeweza pia uwa ni uungwana tu wa kuona ulimkosea mtu unamuomba radhi
 
Safari ya kuelekea Lumumba imeanza.

Atafuatia J J Mnyika kumuomba radhi mzee Kikwete kwa kumkosea adabu na kumwita dhaifu!

HUYU AJIITAYE MCHUNGAJI HANA NIA YA KWENDA CCM ILA KWA VILE ANAAMINI KINANA HAPATANI NA JPM NAONA NJIA YA KUONYESHA KUWA KWENYE KUTOPATANA HUKO JPM NDIYE MKOSAJI BASI NI HERI ASEME KINANA NI MWADILIFU.

HAWA JAMAA WATAMUUNGA MKONO KILA ANAYEPINGANA NA JPM NA WATAMTUKANA KILA ANAYEPATANA NA JPM. KUMBUKA JINSI WALIVYOWAPENDA LOWASSA, GWAJIMA nk.

SASA WANAONYESHA KUSAPOTI JPM WANAONEKANA SIO WATU TENA. TUTAONA MENGI SANA KABLA YA UCHAGUZI MWAKA HUU
 
Back
Top Bottom