Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mada iliyopo inamhusu bwana mkubwa?..mimi nazungumzia UONGO wa bwana mkubwa.
..hayo ya kuwa mbadala umeyaleta wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada iliyopo inamhusu bwana mkubwa?..mimi nazungumzia UONGO wa bwana mkubwa.
..hayo ya kuwa mbadala umeyaleta wewe.
Kama maandishi huwezi kusoma, tazama walau picha!Kumbe ndio mgombea wenu?
Huwezi waona hapa, lbd kama bandiko linge husu kuchafuliwa Mh. Raisi.Naona Mshana jr pekee yake mdo anajitutumua, akina sky, salary G sam wako kimya hawachangii hapa.
Ndio mgombea wenu huyo bwasheeKama maandishi huwezi kusoma, tazama walau picha!
Wafundishe vijana wa Lumumba, hawaelewi jinsi upepo unavyobadilisha kauli za wanasiasa... HAWA JAMAA WATAMUUNGA MKONO KILA ANAYEPINGANA NA JPM NA WATAMTUKANA KILA ANAYEPATANA NA JPM.
Usisahau fidia aliyoitaka kinana inaweza fikia mabillion ya Tanzania shillings, angezitoa wapi, kapiga hesabu kaona afadhali akampigie magoti Kinana, naye Kinana kawa muungwana , kamuinua kijana na akampaa mawaidha na kikombe cha chai na viholoso vya Ramadhani, basi yakaisha.Mch Msigwa bhana......hujui nyuma ya pazia, ungeacha tu kuomba radhi, wala wafipa wa huku ndani wasiombwe radhi.
Hata j.mukya?Next!!!! Mbowe utabakia wewe na wanao tu yaani kwenye hiyo SACCOS hata mademu wako wote very soon wataunga SERIKALI mkono.
Sawa ndugu tinasubiri utabili wako. Mambo ni mazuri, inaonekana kinana anaendelea na juhudi zake za kukiimarisha chama chakeNinachokuambia Msigwa amehakikishiwa jimbo baada ya mpinzani wake kurip.
Mnyika naye ameshaaga Kibamba atakuwa mbunge wa mkoani zamu hii...
Unadhani ni raia wa wapi kama siyo Lumumba!Kwani unadhani Kinana ni wa Lumumba?
Kwahiyo kumbe hawa wanasiasa wa upinzani na ccm wote ni waongo?..inahusu kusema UONGO.
..mimi nimeletwa huku kwasababu moderators wameunganisha mada zaidi ya moja.
..lakini mada yetu sisi inazungumzia UONGO.
Endelea tu kumuhesabu kwenye orodha ya wanachamaUnadhani ni raia wa wapi kama siyo Lumumba!
Wewe naye wale wajinga wanaovalishwa mabomu na kutumwa kujilipua. Huna Busara hata kidogi na utaendelea kutumikaKinana ni terrorist/ hila kumuomba mtu msamaha sio lazima uwe na hatia kinana ni terrorist
Kabisa mkuu!Sawa ndugu tinasubiri utabili wako. Mambo ni mazuri, inaonekana kinana anaendelea na juhudi zake za kukiimarisha chama chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kumbe hawa wanasiasa wa upinzani na ccm wote ni waongo?
Basi tuendelee kuchagua ccm tu maana wote ni wale wale.
Sent using Jamii Forums mobile app