Pre GE2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Salaam, Shalom!!

Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo CHADEMA, kimeendelea kuonyesha ukomavu wake katika DEMOKRASIA baada ya Mshindi wa pili wa uchaguzi wa Kanda ya Nyasa ndugu Msigwa kuitisha press na kusema hadharani kuwa hajarishishwa na mchakato wa uchaguzi uliompanushindi sugu hivyo kudhamiria kukata RUFAA.

Amedai Kuna Hila zilitumika kuwaondoa watu waliokuwa wakimuunga mkono hivyo kuchangia kushindwa kwake,

Katika hili nitasimama na Mchungaji Msigwa, Kwa maana Hila hazitakiwi katika chaguzi, HAKI Inatakiwa itawale.

Rai yangu Rabbon ni kuwa CHADEMA iwe makini kuhakikisha HAKI inatendeka na chaguzi zinazoendelea hazikigasi chama kuelekea uchaguzi.

Mungu Mbariki Mchungaji Msigwa,

Mungu ibariki CHADEMA,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏

Source: MWENE Online Tv.
 
Kama si lazima awe kiongozi, huko Chadema anakaa ili iweje? Kumbuka Msigwa keshashika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chadema sasa leo ukisema akae tu kama Mwanachama wa kawaida wakati umri na uwezo wa kuongoza bado anao ni kumkosea heshima.
Kumbe anataka akae kama kiongozi? Then he is stupid. Hakuumbwa kuwa kiongozi. Kama ameshindwa ameshindwa.
 
Kama unachagua mbunge ambaye hawezi kukupigania kwenye national cake then ukapimwe akili. Pengine kichwa kina kamasi badala ya akili
Utakuwa unatumia ngada wewe. Kwahiyo unataka mbunge akakupiganie? Huu ni uwendawazimu.

Mbunge kazi yake ni kupeleka mipango na matakwa ya wananchi kwa watawala. Siyo kupigana.
 
Hivi ukitaka kukata rufaa sharti uite vyombo vya habari?
 
Pimbi wewe hata kuandika hujui muna ndiyo nini?

Kwa taarifa yako mkoa wa Mbeya ungekuwa mbali Sana ila vilaza wa ccm wale wasafwa wanywa mchujo ndiyo wanarudisha maendeleo nyuma

Na mlivyo vilaza nasikia huyo mnyakyusa amejenga pale Uyole ili mjue ni mkazi wa Mbeya mjini wakati kwao ni Rungwe

Atleast sugu kakulia sae pale anaweza kuwa na uchungu na jimbo
 
Msigwa ameongoza kanda miaka 10 hajatosheka mpaka akate rufaa?
Msigwa heshimu maamuzi ya wapiga kura, kuendelea kuongelea uchaguzi huo ni kujivunjia heshima.
 
Utakuwa unatumia ngada wewe. Kwahiyo unataka mbunge akakupiganie? Huu ni uwendawazimu.

Mbunge kazi yake ni kupeleka mipango na matakwa ya wananchi kwa watawala. Siyo kupigana.
Wewe ni m-senge, hujitambui
 
Wewe pimbi soma tena upya nilichoandika kwenye post yangu. Unasema sijui kuandika wakati wewe hujui kusoma.

Tunaongelea jimbo la Mbeya mjini, wewe unaongelea mkoa wa Mbeya. Hakuna mbunge wa Mkoa

Mimi siwakubali wote wawili awe Sugu au Tulia. Tunataka mawazo mapya
 
Uko serious unataka mbunge anayepigana bungeni? Utakuwa na utoko kichwani wewe.
Akipigana bungeni atashughulikiwa kwa vile kuna Polisi wa Bungeni. Ila akili yako imejaa mavi ndiyo maana unajielekeza vibaya.

Nenda kasome post yangu tena hii hapa
Kama unachagua mbunge ambaye hawezi kukupigania kwenye national cake then ukapimwe akili. Pengine kichwa kina kamasi badala ya akili
 
Reactions: G4N
Kukata Rufaa ndio unaitisha Press nyumbani kwako?

Huyo ameshaaga 🐼
Yeye aage.Sisi tunaamini anakata rufaa kwasababu ni haki yake kama kaona kuna namna hakutendewa haki.ila kama ana nia nyingine yakukimbia chama wala hana haja yakusumbua watu.aage kistaarabu aende Kwasababu sio watu wote watakaifikisha chadema nchi ya ahadi.wako watakaoshukia njiani kwasababu mbalimbali.Chamsingi ni kwamba akishuka huyu anapanda yule safari inaendelea.
 
Mhimili wa mkoa wa Mbeya ni Mbeya mjini. Hilo limkoa lenu jau Sana
Toka lini jiji likawa shaghala baghala hivyo? Mnachagua viongozi kwa mihemuko

Tangu mbunge apolisye mwaisege mpaka huyu wa Sasa atleast Sugu japo maCCM walikuwa wanamhujumu
 
Rushwa
 
Namkubali sana Mchungaji Msigwa,na nataka nimtahadharishe jambo moja, CCM wanafuatilia kwa karibu hili sakata lake na siyo kama wanataka ahamie huko,la hasha,wanachochoea huu mtafaruku halafu ukifika kwenye peak wanamuua kisha waiangushie Chadema jumba bovu. Niliwahi kumuonya Marehemu Chacha Wangwe wakati ule kuwa hii interest ya CCM kwenye huu ugomvi inaweze ikawa ndiyo umauti wake. Na kweli ugomvi ulivyo kolea wakafanya yao halafu wakaandaa watu wa kusambaza uvumi kuwa ni Mbowe na Chadema ndiyo wamemuua. Moja ya watu waliopewa kandarasi ya kueneza uvumi huo alikuwa Marehemu Mtikila. Ajihadhari sana sana na CCM hawa kutoa roho ya mtu ili kufikia malengo yao ni jambo dogo sana. Tafadhali popote ulipo Mchungaji Msigwa just take extra care. CCM ni mumiani kabisa hawa.
 
Kuna ukweli kwenye jambo hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…