Pre GE2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kabla kusikiliza hiyo rufaa kamati ya nidhamu ya Chadema imuite na imhoji mchungaji Msigwa Kwa Nini aliita vyombo vya habari kusema atakata rufaa?

Kwani taratibu kichama si angeweza kata rufaa moja Kwa moja bila kuita vyombo vya habari

Kwani ndivyo katiba ya Chadema ndivyo inavyosema kuwa mtu akitaka kukata rufaa ndani ya chama lazima apitie kwanza kwenye vyombo vya habari Kwa kuitisha press conference?
Uhuru wa kuongea kwa Chadema ni jambo la kwanza, hakuna anayezuiliwa kuongea atakacho na hasa kwenye masuala ya Haki na Demokrasia
 
Namuona Mchungaji Msigwa nje ya CHADEMA. Hizo rufaa ni mwanzo wa safari yake kutoka CHADEMA. Kote atasema hajatendewa haki. Usiku ule na hotuba ile aliyoitoa, alisifiwa kwa political maturity aliyoionyesha. Nini tena kimempata? Anatafuta sababu na cha kusema akijiondoa CHADEMA..
YUPO na KUNDI behind SIO yeye
 
Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)

Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa

Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Ugomvi wa nyumbu hatuingilii 😁😁
 
Kabla kusikiliza hiyo rufaa kamati ya nidhamu ya Chadema imuite na imhoji mchungaji Msigwa Kwa Nini aliita vyombo vya habari kusema atakata rufaa?

Kwani taratibu kichama si angeweza kata rufaa moja Kwa moja bila kuita vyombo vya habari

Kwani ndivyo katiba ya Chadema ndivyo inavyosema kuwa mtu akitaka kukata rufaa ndani ya chama lazima apitie kwanza kwenye vyombo vya habari Kwa kuitisha press conference?
Mchungaji Msigwa ndio anaondoka

Chadema hawasikilizagi Rufaa 🐼
 
Ni AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.

Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.

Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??

Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!

Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.

TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.

Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Huyuhuyu mvuta bangi mabalozi wanamtembelea kwake siyo yeye kwenda kwa mabalozi.

Sugu ndiye mgombea aliongoza kwa kura za ubunge 2010 ina maana hao wote waliompigia kura hawana akili?
 
Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)

Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa

Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Ingekuwa vyema mkatujuza kwenye huu uenyekiti wa kanda kuna siri gani ya kimaslahi iliyojificha?

Inawezekana kuna kitu sisi hatukijui.
 
Kama si lazima awe kiongozi, huko Chadema anakaa ili iweje? Kumbuka Msigwa keshashika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chadema sasa leo ukisema akae tu kama Mwanachama wa kawaida wakati umri na uwezo wa kuongoza bado anao ni kumkosea heshima.
Kwahiyo kuna watu uongozi ni haki yao? Siyo wengine wapate hizo post?
 
Itakuwa anatafuta sababu ya kuhama hicho chama.

Kapuuzwa toka mwanzo kuhusu tuhuma kwa msimamizi,kutakuwa na jipya?
 
Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)

Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa

Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Wameanza? Mpaka wafike uchaguzi hawatoelewana
 
Maskini Msigwa akikata rufaa kupinga tajiri Sugu hawezi fanikiwa angekaa kimya tu

Chadema Toka kuanzisha kwake lilikuwa chama Cha wenye Pesa sio malofa Msigwa ashukuru kuwa alipenya

Lakini Chadema Toka kuaasisiwa kiliasisiwa na Matajiri Watupu na wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje

Lofa Msigwa aridhike tu na alichopata miaka hiyo

Chadema ni capitalist party sio socialist party chama Cha malofa na wanyonge

Ni vizuri na Lisu alijue Hilo ndio maana hakuna maskini awe Lisu au yeyote aweza kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa
Hi
 
Ni AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.

Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.

Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??

Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!

Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.

TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.

Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Umeongea pumba na inaonyesha una chuki na Sugu, Sugu ni kipe zi cha watu, aliwaikuweka rekodi ya kupata kura nyingi kama mbunge, hivyo usishangae kumbwaga msigwa
 
Mwenyekiti wa Kanda ni Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema

Hivyo ana Mgao wa Moja kwa Moja kwenye Keki ya Ruzuku 😂
Sidhani kama Chadema inaweza kuwaacha domant watu kama Msigwa watapewa post za teuzi, ninachokiona kuna watu wanaamini wao ndio wanastahili.

Itapendeza pia mtu kama Sugu aambiwe afanye kazi za chama alizoomba swala la ubunge wagombee watu wengine yeye asimamie mchakato wa kupata wagombea ubunge.
 
Back
Top Bottom