Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,713
- 3,559
si sheria za chama zina mruhusu kukata rufaa. Tunaimba sana kuhusu demokaria, ila mchakato wake ukianza kelele lazima ziwe nyingiKabla kusikiliza hiyo rufaa kamati ya nidhamu ya Chadema imuite na imhoji mchungaji Msigwa Kwa Nini aliita vyombo vya habari kusema atakata rufaa?