lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Ni AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.
Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.
Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??
Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!
Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.
TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.
Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Najua utashambuliwa sana ila ushindi wa Sugu msela dhidi ya Msigwa unaonesha hali halisi ya jinsi uongozi katika taifa letu unavyochukuliwa kimchezo mchezo. Siku tu ya mdahalo Sugu alishindwa kujizuia akamtusi mdada aliyemhoji kwa kumwambia "hovyoo".
Hata hivyo ni haki ya kila mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi kama ana vigezo, tatizo ni kwa wanamchagua.
Hata hivyo ni haki ya kila mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi kama ana vigezo, tatizo ni kwa wanamchagua.