Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Si walienda mpaka kwenye mdahalo star tv kwa odembaNi yeye anasema hivi, au wewe?
Maswali:
Angeshinda yeye angelalamika?
Ushindi wa ndani ya chama Ni kwa faida ya Nani?
Yeye kaongoza muda wake Ni vyema sasa Ni muda Sasa aachie akili mpya iongoze nyasa
NB.
Eg. Kikwete vs mkapa mwaka 1995 mbio za uraisi alitoa speech nzurii Nanukuu ""Tunatoka hapa TUKIWA wamoja zaidi""
Msigwa alitakiwa aseme TUMEMALIZA UCHAGUZI NA TUMETOKA HAPA TUKIWA WAMOJA ZAIDII