Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Uhuru wa kuongea kwa Chadema ni jambo la kwanza, hakuna anayezuiliwa kuongea atakacho na hasa kwenye masuala ya Haki na DemokrasiaKabla kusikiliza hiyo rufaa kamati ya nidhamu ya Chadema imuite na imhoji mchungaji Msigwa Kwa Nini aliita vyombo vya habari kusema atakata rufaa?
Kwani taratibu kichama si angeweza kata rufaa moja Kwa moja bila kuita vyombo vya habari
Kwani ndivyo katiba ya Chadema ndivyo inavyosema kuwa mtu akitaka kukata rufaa ndani ya chama lazima apitie kwanza kwenye vyombo vya habari Kwa kuitisha press conference?
Hiyo ni porojo tuKuna Siri kubwa inaendelea Kati ya mchungaji Msigwa, Tundu Lisu na Lema πΌ
YUPO na KUNDI behind SIO yeyeNamuona Mchungaji Msigwa nje ya CHADEMA. Hizo rufaa ni mwanzo wa safari yake kutoka CHADEMA. Kote atasema hajatendewa haki. Usiku ule na hotuba ile aliyoitoa, alisifiwa kwa political maturity aliyoionyesha. Nini tena kimempata? Anatafuta sababu na cha kusema akijiondoa CHADEMA..
Kama si lazima awe kiongozi, huko Chadema anakaa ili iweje? Kumbuka Msigwa keshashika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chadema sasa leo ukisema akae tu kama Mwanachama wa kawaida wakati umri na uwezo wa kuongoza bado anao ni kumkosea heshima.angekubali tu kushindwa. si lazima awe kiongozi
Ugomvi wa nyumbu hatuingilii ππAkiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)
Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa
Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Mchungaji Msigwa ndio anaondokaKabla kusikiliza hiyo rufaa kamati ya nidhamu ya Chadema imuite na imhoji mchungaji Msigwa Kwa Nini aliita vyombo vya habari kusema atakata rufaa?
Kwani taratibu kichama si angeweza kata rufaa moja Kwa moja bila kuita vyombo vya habari
Kwani ndivyo katiba ya Chadema ndivyo inavyosema kuwa mtu akitaka kukata rufaa ndani ya chama lazima apitie kwanza kwenye vyombo vya habari Kwa kuitisha press conference?
Huyuhuyu mvuta bangi mabalozi wanamtembelea kwake siyo yeye kwenda kwa mabalozi.Ni AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.
Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.
Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??
Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!
Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.
TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.
Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Ingekuwa vyema mkatujuza kwenye huu uenyekiti wa kanda kuna siri gani ya kimaslahi iliyojificha?Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)
Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa
Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Mzigo wa Uhuru pale Nairobi haukumfikia TAL πΌHiyo ni porojo tu
Kwahiyo kuna watu uongozi ni haki yao? Siyo wengine wapate hizo post?Kama si lazima awe kiongozi, huko Chadema anakaa ili iweje? Kumbuka Msigwa keshashika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chadema sasa leo ukisema akae tu kama Mwanachama wa kawaida wakati umri na uwezo wa kuongoza bado anao ni kumkosea heshima.
Mwenyekiti wa Kanda ni Mjumbe wa Kamati kuu ya ChademaIngekuwa vyema mkatujuza kwenye huu uenyekiti wa kanda kuna siri gani ya kimaslahi iliyojificha?
Inawezekana kuna kitu sisi hatukijui.
Nairobi waliwahi kuchagua muhuni kuwa Gavana Wao alichowatenda kwenye Hazina yao hawamsahau hadi kiama.ππKwahiyo kuna watu uongozi ni haki yao? Siyo wengine wapate hizo post?
Wameanza? Mpaka wafike uchaguzi hawatoelewanaAkiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)
Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa
Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
HiMaskini Msigwa akikata rufaa kupinga tajiri Sugu hawezi fanikiwa angekaa kimya tu
Chadema Toka kuanzisha kwake lilikuwa chama Cha wenye Pesa sio malofa Msigwa ashukuru kuwa alipenya
Lakini Chadema Toka kuaasisiwa kiliasisiwa na Matajiri Watupu na wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje
Lofa Msigwa aridhike tu na alichopata miaka hiyo
Chadema ni capitalist party sio socialist party chama Cha malofa na wanyonge
Ni vizuri na Lisu alijue Hilo ndio maana hakuna maskini awe Lisu au yeyote aweza kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa
Umeongea pumba na inaonyesha una chuki na Sugu, Sugu ni kipe zi cha watu, aliwaikuweka rekodi ya kupata kura nyingi kama mbunge, hivyo usishangae kumbwaga msigwaNi AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.
Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.
Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??
Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!
Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.
TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.
Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Sidhani kama Chadema inaweza kuwaacha domant watu kama Msigwa watapewa post za teuzi, ninachokiona kuna watu wanaamini wao ndio wanastahili.Mwenyekiti wa Kanda ni Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema
Hivyo ana Mgao wa Moja kwa Moja kwenye Keki ya Ruzuku π