Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati wa Awamu ya 5 walinunuliwa kwa vyeo na hela,lakini CDM kilibaki na bado ndiyo chama mbadala ambacho kinategemewa na wananchi.
 


Msiwajibu hivyo warudishe mwenye mada ya Kuwaleta Wakorea kuvua Samaki wakati kuna chuo cha uvuvi na wahitimu wapo maelfu watoto wa Kitanganyika .

mama anawaleta watu wa mashariki na magharibi tena kwa kuchukua lesa kwao na kuwawekea mazingira mazuri waje wachote samaki wapeleke kwao. Deni walipe wastaafu kwa Tozo zao na kikokotoo.
 
Tanzania bara bado sana upinzani, hat umone profesa lkn likija swala la hela huyo sio mwenzio. ndio maana kila siku wanahama vyama tofauti na upande wa pili wa shilingi
Hakuna marefu yasiyo na ncha.
 
Naona moyo wako unaumia sana na kuweweseka sana kwa kupata mkopo huo mkubwa na wa masharti nafuu kabisa. Kiu na tamaa yako unatamani usikie habari za sisi kama Taifa kunyimwa mikopo na kusaidiwa pale tunapo hitaji msaada au mkopo. Wangapi wanakopa? Kwani umesikia kuwa huo mkopo tunapewa kama zawadi? Kwani hufahamu kuwa tutalipa taratibu taratibu kama ilivyo kawaida Duniani kwote? Japani wenyewe wanakopa na wana mikopo sembuse sisi? Nchi tu za Ulaya zimekopa sana tena sana katika kujenga uchumi wake na kuchochea maendeleo yake.

Acheni roho za Kwanini na chuki za kijinga jinga tu.
 
Japani wana rasilimali zipi ukilinganisha na sisi.

wao ni lazima wakope ili waje kuwarubuni mafala wa dunia wawape raw material kwa bei nafuu kisha wakuuzie bidhaa kwa bei wanayotaka wao.
Sisi tunakopaje bila kuwa na akiba ya dhahabu,almasi,tanzanite iliyohifadhiwa benki kuu. Ni lini umesikia Kuwa tuna akiba hata tani ishirini za Dhahabu ili wanaotukopesha washike adabu na dola zao. Nani anakwamisha zoezi la kiweka akiba ya dhahabu kama sio wao na mawakala wao.

Nchi inayeweza kuzalisha chakula cha kulisha nchi zote za kiarabu lakini tunakopa kwao halafu waje tena kulima wao wakajiuzie wao badala ya kuwawezeha wakulima wetu.

Nchi yenye ngombe wengi kwa namba ikiifuata Ethiopi lakini tunashindwa kuoanisha kilimo na mbolea inayotokana na mifugo badala yake tunakimbizana na bei ya Mbolea za kemikali na kuwafilisi kabisa wakulima huku makampuni yanyoagiza mbolea yakizidi kujikusanyia mabiloni ya dola.
Kuna akili hapo au ni matope na makamasi.
 
Chama kinaendeshwa kihuni huni sana.ndio maana ni ngumu sana kuungwa mkono na wenye akili Timamu na wanaojitambua.
Tunaomba mawazo yako mkuu ili CHADEMA kisife, wafanyeje? Maana kikifa hiki Chama nchi itabaki na Chama kimoja tu, CCM.
 
Tunaomba mawazo yako mkuu ili CHADEMA kisife, wafanyeje? Maana kikifa hiki Chama nchi itabaki na Chama kimoja tu, CCM.
Ni bora CHADEMA ife tu hata leo ili kike chama makini na kilicho siriasi ,kuliko CHADEMA hii ya usaka Tonge na uchumia tumbo.
 
mbona haka kajamaa kanahangaika
 

Mbona ela za kumtoa jela alichukua?

Angeziacha na zile ndio tungeamini
 
Chama kinaendeshwa kihuni huni sana.ndio maana ni ngumu sana kuungwa mkono na wenye akili Timamu na wanaojitambua.
wewe una AKILI TIMAMU? ULISHAWAHI KUKUTANA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU LINI NA WAPI> MLIONGEA JUU YA MAMBO GANI. NITHIBITISHIE KAMA UNA AKILI TIMAMU HAPA
 
wewe una AKILI TIMAMU? ULISHAWAHI KUKUTANA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU LINI NA WAPI> MLIONGEA JUU YA MAMBO GANI. NITHIBITISHIE KAMA UNA AKILI TIMAMU HAPA
Ungekuwa na akili timamu usinge andika kwa herufi kubwa.
 
Ungekuwa na akili timamu usinge andika kwa herufi kubwa.
mm niliyeandika kwa herufi kubwa bila kuandika namba yangu ya simu na wewe uliyeandika kwa herufi ndogo kutwa kucha unaandika namba zako za simu ili upate uteuzi nani anayeweza kuwa hana akili TIMAMU?
 
mm niliyeandika kwa herufi kubwa bila kuandika namba yangu ya simu na wewe uliyeandika kwa herufi ndogo kutwa kucha unaandika namba zako za simu ili upate uteuzi nani anayeweza kuwa hana akili TIMAMU?
Namba ya simu ipo wapi hapo ewe mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo
 
Msigwa hana akili za kibiashara kama Mbowe. Alikataa fursa adimu na sasa hivi anaenda kufukuzwa kama mbwa na mmiliki wa CHADEMA. Bora angejiondoa mapema kuliko kusubiri hii aibu. Kwa sasa ni kama condom iliyotumika. Atakuwa anajuta sana
 
Kwahiyo sasa ameshakubali kupewa Uwaziri na pesa ???
 
Msigwa hana akili za kibiashara kama Mbowe. Alikataa fursa adimu na sasa hivi anaenda kufukuzwa kama mbwa na mmiliki wa CHADEMA. Bora angejiondoa mapema kuliko kusubiri hii aibu. Kwa sasa ni kama condom iliyotumika. Atakuwa anajuta sana
Atakuwa anajuta na kububujikwa na machozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…