Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo Baraza sijui lingekuwa na mawaziri wangapi 🤣🤣🤣 Ila ndo hivo marehemu hajitetei, wanamsingizia tu
Kila mtu anasema alitaka kupewa Uwaziri.hadi heche naye alisema aliahidiwa uwaziri. Sugu naye alisema aliahidiwa sijuwi nini huko.
 
Katika muendelezo wa kutupa makombora, vijembe, hasira na kuonyesha namna CHADEMA ilivyojaa ubabaishaji na uhuni uhuni pamoja na kukosa viongozi wenye kuheshimika na kutoa muongozo.

Mchungaji Peter Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini na mwenyekiti wa kanda ya Nyasa na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA amesema ya kuwa, Hayati Magufuli alisemaga aende CCM na kwamba atampatia Ubunge, pesa pamoja na Uwaziri juu. Anasema alifuatwa hadi Segerea na wasaidizi wa Hayati Magufuli na kupewa simu ili azungumze na Rais lakini bado alikataa.

Anasema kwa sasa wapo ambao wakiitwa na Rais Wanakimbia mbiombio kwenda kwa Rais.lakini yeye alimkatalia Rais.amesema yeye akitaka kuondoka CHADEMA anaweza tu kuondoka bila kutafuta visingizio.anasema maana hakuna wa kumzuia.

Rai yangu ni kuwaomba wana CHADEMA wanaojitambua na wenye akili Timamu kuhama haraka sana ndani ya CHADEMA na kuingia CCM kwa kishindo, maana kwa sasa CHADEMA inaendeshwa kihuni huni sana na kibabe kibabe tu. CHADEMA imejaza vijana wa hovyo hovyo na ambao akili zao zilishavurugika na kukosa muelekeo, imejaa vijana malimbukeni waliokosa adabu na malezi mazuri ya wazazi wao, imejaa vijana waliozibuka kiakili na kuwa utafikiri wanatumia vitu vinavyoharibu mfumo wao wa ubongo na fahamu.

CHADEMA nzima limebaki kama genge fulani tu hivi la watu walioshindikana na kulaaniwa na walimwengu. Wao wenyewe tu hawana umoja wala mshikamano wala kuheshimiana. Uchaguzi tu unawatoa roho? Vipi wangekuwa na madaraka? Si wangetoana roho na kuuwana? CHADEMA kumejaa watu waropokaji na wenye mihemuko hovyo hovyo, ni watu wa kukurupuka tu na kutapika maneno machafu machafu tu yaliyokosa staha na adabu.

Mchungaji Msingwa nakukaribisha sana ndani ya CCM, huko CHADEMA fahamu ya kuwa utakufa kwa presha tu maana watakuwa wanakutenga na kukunyanyapaa muda wote. Kumbuka huko umechanganyikana na ma vijana yaliyokosa adabu na malezi mazuri, utatukanwa na kushushiwa heshima yako.utaporomoshewa matusi mpaka unuke. Njoo CCM chama chenye upendo, umoja na mshikamano.chama kinachoheshimu mawazo ya kila mtu.

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama alikataa uwaziri na pesa kwanini alikubali kujenga orofa karibu na alipojenga ASAS, JK na JPM hapo Iringa mjini?

Alilipiwa milioni 76 na JPM ili kutoka gerezani, akasimama hadharani kisiasa kudai alikataa kulipiwa wakati wala hakutoa uthibitisho wa kuzirudisha pesa zilizolipwa mahakamani!!!!

Msigwa is a chronic deceptive liar and is time receded to be furthermore politically trusted to contest for any administrative post at the constituency, zonal, and country levels. Let him practice priesthood if at all he is sanctified to proclaim the word of God.

He has been misled by Tundu Antipas Lissu-Atheist (VC for the opposition party) as within CDM, two long-standing swelling bowls may burst at any time to expose the questionable integrity among the bigwigs.
 
CHADEMA limekuwa genge la wasaka Tonge tu kwa ajili ya matumbo yao.
Hakika, na wameshakiri hayo wakati wakiranda randa kwenye "Maandamano" yao nchi nzima.


Ushauri wangu tu kwa Watanzania wenzangu....

Chagua kwa Umakini 2025

KIDUUMU!
 
Hakika, na wameshakiri hayo wakati wakiranda randa kwenye "Maandamano" yao nchi nzima.


Ushauri wangu tu kwa Watanzania wenzangu....

Chagua kwa Umakini 2025

KIDUUMU!
Wananchi wanachagua moja tu katika chaguzi zote zinazo.ambalo ni lazima kila mtanzania mzalendo mwenye akili Timamu ni lazima aipigie CCM kura ya ndio.maana CCM ndio bima ya mtanzania kwa kila kitu.
 
Mwashambwa wananchi wengi wananitumia msg wakitaka nitoe ufafanuzi kuhusu Msigwa kuhamia CCM. Naona niko bize sana kwahiyo ukitoa ufafanuzi wewe ndo utatumika kama msimamo wa JF kuhusu hili sakata.
 
Kuna mtu wakati Msigwa anatoa haya maneno aliandika kwamba,"HAYA NI MANENO YAKUJIBRAND ILI DAU LIPANDE LAKUHAMIA CCM"
 
Katika muendelezo wa kutupa makombora, vijembe, hasira na kuonyesha namna CHADEMA ilivyojaa ubabaishaji na uhuni uhuni pamoja na kukosa viongozi wenye kuheshimika na kutoa muongozo.

Mchungaji Peter Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini na mwenyekiti wa kanda ya Nyasa na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA amesema ya kuwa, Hayati Magufuli alisemaga aende CCM na kwamba atampatia Ubunge, pesa pamoja na Uwaziri juu. Anasema alifuatwa hadi Segerea na wasaidizi wa Hayati Magufuli na kupewa simu ili azungumze na Rais lakini bado alikataa.

Anasema kwa sasa wapo ambao wakiitwa na Rais Wanakimbia mbiombio kwenda kwa Rais.lakini yeye alimkatalia Rais.amesema yeye akitaka kuondoka CHADEMA anaweza tu kuondoka bila kutafuta visingizio.anasema maana hakuna wa kumzuia.

Rai yangu ni kuwaomba wana CHADEMA wanaojitambua na wenye akili Timamu kuhama haraka sana ndani ya CHADEMA na kuingia CCM kwa kishindo, maana kwa sasa CHADEMA inaendeshwa kihuni huni sana na kibabe kibabe tu. CHADEMA imejaza vijana wa hovyo hovyo na ambao akili zao zilishavurugika na kukosa muelekeo, imejaa vijana malimbukeni waliokosa adabu na malezi mazuri ya wazazi wao, imejaa vijana waliozibuka kiakili na kuwa utafikiri wanatumia vitu vinavyoharibu mfumo wao wa ubongo na fahamu.

CHADEMA nzima limebaki kama genge fulani tu hivi la watu walioshindikana na kulaaniwa na walimwengu. Wao wenyewe tu hawana umoja wala mshikamano wala kuheshimiana. Uchaguzi tu unawatoa roho? Vipi wangekuwa na madaraka? Si wangetoana roho na kuuwana? CHADEMA kumejaa watu waropokaji na wenye mihemuko hovyo hovyo, ni watu wa kukurupuka tu na kutapika maneno machafu machafu tu yaliyokosa staha na adabu.

Mchungaji Msingwa nakukaribisha sana ndani ya CCM, huko CHADEMA fahamu ya kuwa utakufa kwa presha tu maana watakuwa wanakutenga na kukunyanyapaa muda wote. Kumbuka huko umechanganyikana na ma vijana yaliyokosa adabu na malezi mazuri, utatukanwa na kushushiwa heshima yako.utaporomoshewa matusi mpaka unuke. Njoo CCM chama chenye upendo, umoja na mshikamano.chama kinachoheshimu mawazo ya kila mtu.

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

===

Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Hata hapa ulivyoanza kumsifia Msigwa nilijua tayari kuna tatizo.

Unavyomsifia Mbowe hapa saa hizi ukifikiri wote ni wajinga jua fika tunafahamu agenda zenu Mbowe atafanyiwa kile alichofanyiwa Moi June 2002.
 
Back
Top Bottom