Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msigwa akamatie hapo hapo mpk Mbowe abadilike
Kama kashindwa Dk Slaa na Mashindi, Summaye akaweze msigwa? kesho utamuona anatembea tembea katika media, mara Ayo Tv, Mara CLOUD anamsema Mbowe akisha kuchoka anarudi kanisani na kuuza mitumba
 
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia Kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa Siri za michango ya Nairobi hospital

Mungu wa mbinguni inusuru TLP or sorry Chadema!

Kwako Lucas 😂🔥
Oops
screenshot_2024-01-27-12-30-12-1-png.2884533

Msigwa kwa Vijembe.

Wale mabilionea wa Erythrocute washaiteka CHADEMA. Loh😅🙌🏾
 
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia Kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa Siri za michango ya Nairobi hospital

Mungu wa mbinguni inusuru TLP or sorry Chadema!

Kwako Lucas 😂🔥
Yule maranja sijui anajikuta nani pale chadema!
 
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia Kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa Siri za michango ya Nairobi hospital

Mungu wa mbinguni inusuru TLP or sorry Chadema!

Kwako Lucas 😂🔥
🤓🤓🤓🤓🤓 Wanatetea ugali wa watoto wao kama afanyavyo Mwaashambwa na atakupongeza kwa kumsogezea mic.
 
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia Kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa Siri za michango ya Nairobi hospital

Mungu wa mbinguni inusuru TLP or sorry Chadema!

Kwako Lucas 😂🔥
Bahati nzuri wanaoumia ni FC lumumba
 
Back
Top Bottom