Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ujumbe wake huu hapa
---
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini mchungaji Peter Msingwa amesema hana mpango wa kukihama Chama cha CHADEMA baada ya kutoshinda uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.
Msigwa ameyasema haya kutokana na baadhi ya Watu kuamini kuwa kuitisha kwake mkutano na Wanahabari wa Iringa leo kulikua na nia ya kutangaza kukihama Chama hicho.
“Najua Wabaya wangu wengi leo walikuwa wanajua nahama, mimi siondoki niko CHADEMA mliokuwa mnafikiri na bado nipo ,sihami Chadema tunapambana humuhumu yule anayetaka kunyofoa Watu atanyofolewa mwenyewe na hatutoogopa Mtu”
PIA SOMA
---
Msigwa ameyasema haya kutokana na baadhi ya Watu kuamini kuwa kuitisha kwake mkutano na Wanahabari wa Iringa leo kulikua na nia ya kutangaza kukihama Chama hicho.
“Najua Wabaya wangu wengi leo walikuwa wanajua nahama, mimi siondoki niko CHADEMA mliokuwa mnafikiri na bado nipo ,sihami Chadema tunapambana humuhumu yule anayetaka kunyofoa Watu atanyofolewa mwenyewe na hatutoogopa Mtu”
PIA SOMA