Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Huyu ndio mtafuna watu wale wa maporini auš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndio mtafuna watu wale wa maporini auš¤
Naunga mkono hoja.Mwanasiasa akikwambia sasa hivi ni usiku na giza limeingia na umo ndani, toka nje ujiridhishe!
Hamalizi hata mwezi,Kauli zake siyo za mtu anayejali chama tena.
Aina hii ya fisi ndiyo walilengwa kwenda kumtafuna Sativa.
Pimbi alikuwa a ajidanganya mwenyewe. Sikuzote masikini hana kiapo,kaonyeshwa nusu bilioni mwenyewe kalegeaUjumbe wake huu hapa
---
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini mchungaji Peter Msingwa amesema hana mpango wa kukihama Chama cha CHADEMA baada ya kutoshinda uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.
Msigwa ameyasema haya kutokana na baadhi ya Watu kuamini kuwa kuitisha kwake mkutano na Wanahabari wa Iringa leo kulikua na nia ya kutangaza kukihama Chama hicho.
āNajua Wabaya wangu wengi leo walikuwa wanajua nahama, mimi siondoki niko CHADEMA mliokuwa mnafikiri na bado nipo ,sihami Chadema tunapambana humuhumu yule anayetaka kunyofoa Watu atanyofolewa mwenyewe na hatutoogopa Mtuā
PIA SOMA